12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 14. Ukweli Unaendelea Katika Uingereza<br />

Wakati Luther alipokuwa akifungua Biblia iliyofungwa kwa watu wa Ujeremamy,<br />

Tyndale akasukumwa na Roho wa Mungu kufan<strong>ya</strong> tendo lilelile katika Uingereza. Biblia <strong>ya</strong><br />

Wycliffe ilitafsiriwa kutoka kwa Kilatini, ambamo mulikuwa makosa mengi. Bei <strong>ya</strong> kurasa<br />

zilizoandikwa ilikuwa juu sana na kwa hiyo mtawanyiko wake ulikuwa wa shida.<br />

Kwa mwaka 1516, kwa mara <strong>ya</strong> kwanza Agano Jip<strong>ya</strong> likachapwa katika lugha <strong>ya</strong> asili <strong>ya</strong><br />

Kigiriki. Makosa mengi <strong>ya</strong> tafsiri <strong>ya</strong> kwanza <strong>ya</strong>kasahihishwa, na maana <strong>ya</strong>karudishwa vizuri<br />

zaidi. Nakala zile zikaletea watu waliojifunza ufahamu bora kwa kweli na zikatoa mwendo<br />

mp<strong>ya</strong> kwa kazi <strong>ya</strong> matengenezo. Lakini sehemu kubwa <strong>ya</strong> watu walikosa Neno la Mungu.<br />

Tyndale alipaswa kutimiza kazi <strong>ya</strong> Wycliffe katika kutoa Biblia kwa watu wa inchi <strong>ya</strong>ke.<br />

Akahubiri bila woga mambo <strong>ya</strong> hakika <strong>ya</strong>ke. Kwa tangazo la Papa kwamba ni kanisa<br />

lililotoa Biblia, na ni kanisa pekee linaloweza kuieleza, Tyndale akajibu: “Kamwe<br />

haukutupatia Maandiko, ni wewe uliye<strong>ya</strong>ficha kwetu; ni wewe uliyewachoma wale<br />

walio<strong>ya</strong>fundisha, na kama ungaliweza, ungalichoma Maandiko yenyewe.”<br />

Mahubiri <strong>ya</strong> Tyndale <strong>ya</strong>kaamsha usikizi kubwa. Lakini mapadri wakajitahidi kuharibu<br />

kazi <strong>ya</strong>ke. “Ni kitu gani kinapaswa kufanywa?” akapaza sauti. “Siwezi kuwa po pote. Ee!<br />

kama Wakristo wangalikuwa na Maandiko matakatifu katika lugha <strong>ya</strong>o wenyewe,<br />

wangaliweza wao wenyewe kushindana na wenye kutumia maneno madanganyifu hawa. Bila<br />

Biblia haiwezekani kuimarisha watu katika kweli.”<br />

Nia mp<strong>ya</strong> ikaja katika mawazo <strong>ya</strong>ke. “Injili haitasema lugha <strong>ya</strong> Ungereza miongoni<br />

mwetu? ... Kanisa linapaswa kuwa na nuru ndogo kwa wakati wa azuhuri kuliko wakati wa<br />

mapambazuko <strong>ya</strong>ke? ... Wakristo wanapashwa kusoma Agano Jip<strong>ya</strong> katika lugha <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong><br />

kuzaliwa.” Ila tu kwa njia <strong>ya</strong> Biblia watu waliweza kufikia ukweli.<br />

Mtaalamu mmoja wa Katoliki katika mabishano pamoja naye akapaza sauti <strong>ya</strong> mshangao,<br />

“Ingekuwa vema kutokuwa na sheria za Mungu kuliko kukosa zile za Papa.” Tyndale akajibu,<br />

“Ninazarau Papa na sheria zake zote; na kama Mungu angenipatia maisha, kabla <strong>ya</strong> miaka<br />

mingi nitawezesha kijana anayeongoza jembe la kukokotwa na ngombe kufahamu Maandiko<br />

zaidi kuliko ninyi.”<br />

Tyndale Anatafsiri Agano Jip<strong>ya</strong> kwa Kiingereza<br />

Alipofukuzwa nyumbani kwa ajili <strong>ya</strong> mateso, akaenda Londoni na huko kwa mda<br />

akatumika bila kizuizi. Lakini tena Wakatoliki wakamlazimisha kukimbia. Uingereza wote<br />

ukaonekana wenye kufungwa kwake. Katika Ujeremani akaanza uchapaji wa Agano Jip<strong>ya</strong><br />

kwa lugha <strong>ya</strong> kingereza. Alipokatazwa kuchapa katika mji moja, akaenda kwa mji mwengine.<br />

Mwishowe akasafiri kwenda Worms, ambako, miaka michache mbele, Luther alipotetea injili<br />

mbele <strong>ya</strong> baraza. Katika mji ule kulikuwa rafiki wengi wa Matengenezo. Vitabu elfu tatu v<strong>ya</strong><br />

Agano Jip<strong>ya</strong> vikachapwa, na mchapo mwengine ukafuata.<br />

97

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!