12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Kapernaumu (Luka 4:33-36)--wote waliponyeshwa kwa Mwokozi. Karibu kila mfano, Kristo<br />

akasema pepo mchafu kama kitu chenye akili, kumwagiza kutotesa mtu wake tena. Waabuduo<br />

kule Kapernaumu “wote wakashangaa sana, wakasemezana wao wenyewe wakisema: Neno<br />

gani hili; kwani kwa mamlaka na uwezo anaamuru pepo wachafu, nao wanatoka.” Luka 4:36.<br />

Kwa ajili <strong>ya</strong> kupata uwezo wa ajabu, wengine wakakaribisha mvuto wa Shetani. Mambo<br />

ha<strong>ya</strong> bila shaka ha<strong>ya</strong>kuwa na ugomvi pamoja na pepo wachafu. Kwa kundi hili kulikuwa wale<br />

waliokuwa na pepo <strong>ya</strong> uaguzi--Simon Magus, Elima mchawi yule, na kijakazi mwenye pepo<br />

aliyefuata Paulo na Sila kule Filipi. Tazama Matendo 8:9,18; 13:8; 16:16-18.<br />

Hakuna wanaokuwa katika hatari kubwa kuliko wale wanaokana kuwako kwa Shetani na<br />

malaika zake. Wengi wanajali mashauri <strong>ya</strong>o wanapoona wao wenyewe kuwa wakifuata<br />

hekima <strong>ya</strong>o wenyewe. Kwa namna tunavyokaribia mwisho wa wakati, wakati Shetani<br />

anapashwa kutumika kwa uwezo mkubwa kudangan<strong>ya</strong>, anaeneza mahali pote imani kwamba<br />

yeye hakuwako. Ni kanuni <strong>ya</strong>ke kujificha mwenyewe na namna <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kutumika.<br />

Mwongo mkubwa anaogopa kwamba tutakuwa wenye kutambua mipango <strong>ya</strong>ke. Kwa<br />

kuficha tabia <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kweli akajifan<strong>ya</strong> mwenyewe aonyeshwe kama kitu cha kuchekelea ao<br />

cha kuzarau. Anapendezwa kufafanishwa kama mwenye kuchekesha, mwenye msiba, nusu<br />

mn<strong>ya</strong>ma na nusu mwanadamu. Anapendezwa kusikia jina lake linapotumiwa katika mchezo<br />

na kicheko. Kwa sababu amejificha mwenyewe na akili kamili, swali linaulizwa sana popote:<br />

“Je, kiumbe cha namna hii kinakuwako kweli?” Ni kwa sababu Shetani anaweza kwa upesi<br />

kutawala mawazo <strong>ya</strong> wale wanaokuwa bila kufahamu mvuto wake kwamba Neno la Mungu<br />

linafungua mbele yetu nguvu za siri <strong>ya</strong>ke, kwa hivi kutuweka kwa angalisho.<br />

Tunaweza kupata kimbilio na wokovu katika uwezo mukubwa wa Mkombozi wetu.<br />

Tunachunga vizuri sana nyumba zetu kwa mapingo na kufuli kulinda mali yetu na maisha<br />

kwa watu waovu, lakini ni marahaba kufikiri juu <strong>ya</strong> malaika waovu kushindana na<br />

mashambulio <strong>ya</strong>ke tunayokuwa nayo, katika nguvu zetu wenyewe, hakuna ulinzi. Kama<br />

wakiruhusiwa, wanaweza kuvuta mioyo yetu, kutesa miili yetu, kuharibu mali yetu na maisha<br />

yetu. Lakini wale wanaomfuata Kristo wanakuwa salama chini <strong>ya</strong> ulinzi wake. Malaika<br />

wanaopita katika nguvu wanatumwa kuwalinda. Waovu hawawezi kuvunja ulinzi aliyoweka<br />

Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> watu wake.<br />

Sura 32. Namna <strong>ya</strong> Kumshinda Shetani<br />

Vita kuu kati <strong>ya</strong> Kristo na Shetani ni karibu kuisha, na mwovu huyo anazidisha mara mbili<br />

juhudi zake kwa kuvunja kazi <strong>ya</strong> Kristo kwa ajili <strong>ya</strong> mtu. Kwa kushikilia watu katika giza na<br />

ugumu wa moyo hata upatanishi wa Mwokozi umalizika ndiyo shabaha anayoitafuta<br />

kutimiza. Wakati ubaridi unapokuwa mwingi ndani <strong>ya</strong> kanisa, Shetani hajali. Lakini wakati<br />

roho zinapochunguza, “Nifanye nini nipate kuokolewa?” anakuwa pale kupiganisha uwezo<br />

wake kupinga Kristo pia na kupinga mvuto wa Roho Mtakatifu.<br />

211

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!