12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 35. Uhuru wa Zamiri Unatishwa<br />

Kanisa la Roma sasa linapendelewa sana na Waprotestanti kuliko miaka <strong>ya</strong> zamani. Katika<br />

inchi hizo ambamo Kanisa la Kikatoliki linapata mwendo wa kuunganisha kwa kupata mvuto,<br />

mawazo <strong>ya</strong>naanza kusimamiwa <strong>ya</strong> kwamba hakuna tofauti sana juu <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> lazima<br />

kama ilivyozaniwa na <strong>ya</strong> kwamba ukubali ule mdogo kwa upande wetu utatuongoza katika<br />

mapatano bora pamoja na Roma. Kulikuwa wakati Waprotestanti walifundisha watoto wao<br />

<strong>ya</strong> kwamba kutafuta umoja na Roma kungekuwa kutokuwa na uaminifu kwa Mungu. Lakini<br />

ni tofauti kubwa <strong>ya</strong> namna gani tunaona katika taarifa <strong>ya</strong> sasa!<br />

Watetezi wa dini <strong>ya</strong> Rome (Papa) wanatangaza kwamba kanisa limeshitakiwa uwongo, <strong>ya</strong><br />

kwamba si haki kuhukumu kanisa la leo kwa utawala wake wa mda wa karne nyingi za ujinga<br />

na giza. Wanarehemu ukali wake wakuogopesha kwa ushenzi wa n<strong>ya</strong>kati zile.<br />

Je, watu hawa hawakusahau madai <strong>ya</strong> kutoweza kukosa kulikowekwa na uwezo huu?<br />

Roma inadai <strong>ya</strong> kwamba “kanisa halikukosa kamwe; wala kukosa kwa wakati ujao, kufuatana<br />

na Maandiko, halitakosa daima.”<br />

Kanisa la Roma halitaacha kamwe madai <strong>ya</strong>ke kwa kutoweza kukosa (infallibilité). Acha<br />

vizuizi (amri) vilivyoamriwa sasa na serikali za dunia vitoshwe na Roma irudishwe katika<br />

mamlaka <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kwanza, na hapo kwa upesi ingekuwa uamsho wa uonevu wake na mateso.<br />

Ni kweli <strong>ya</strong> kwamba Wakristo wa kweli wanakuwako katika ushirika wa kanisa la<br />

Kikatoliki la Roma. Maelfu katika kanisa lile wanamtumikia Mungu kufuatana na nuru bora<br />

wanayokuwa nayo. Mungu anatazama na upendo wa huruma juu <strong>ya</strong> nafsi hizi, zilizolelewa<br />

katika imani ile <strong>ya</strong> kudangan<strong>ya</strong> na isiyotosheleka. Ataleta mishale <strong>ya</strong> nuru kupen<strong>ya</strong> giza, na<br />

wengi watakamata misimamo <strong>ya</strong>o pamoja na watu wake.<br />

Lakini Kanisa la Roma kama chama haliko tena katika umoja na habari njema <strong>ya</strong> Kristo<br />

sasa kuliko kwa wakati wa kwanza. Kanisa la Roma linatumia shauri lo lote kwa kupata<br />

utawala wa ulimwengu, kuanzisha tena mateso, na kuharibu mambo yote ambayo<br />

Waprotestanti wamefan<strong>ya</strong>. Kanisa la Kikatoliki liko linapata nafasi kwa pande zote. Angalia<br />

kuongezeka kwa makanisa <strong>ya</strong>ke. Tazama uwingi wa vyuo v<strong>ya</strong>o vikubwa (colleges) na<br />

seminaires, vinavyosimamiwa na Waprotestanti. Tazama usitawi wa utaratibu wa sala katika<br />

Uingereza na maasi <strong>ya</strong> mara kwa mara kwa vyuo v<strong>ya</strong> Wakatoliki.<br />

Mapatano na Ukubali<br />

Waprotestanti wamesaidia ama kupendelea mafundisho <strong>ya</strong> Kanisa la Papa; wamefan<strong>ya</strong><br />

mapatano na mkubaliano ambayo wakatoliki wenyewe wameshangaa ku<strong>ya</strong>ona. Watu<br />

wanafunga macho <strong>ya</strong>o kwa tabia <strong>ya</strong> kamili <strong>ya</strong> Kanisa la Roma. Watu wanahitaji kupinga<br />

maendeleo <strong>ya</strong> adui huyu wa hatari kwa uhuru wa watu na dini.<br />

229

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!