12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

aliyempeleleza chumbani mwake, akamkuta akijifunza kila wakati ao akiomba, na akajulisha<br />

kwamba mpinga imani <strong>ya</strong> dini huyo alikuwa “mtawa sana.”<br />

Katika mkutano, “Eckakapanda na majivuno katika mimbara iliyopambwa vizuri sana,<br />

lakini mnyenyekevu Oecompade, aliyevaa mavazi <strong>ya</strong> kiasi, akalazimishwa kuchukua kiti<br />

chake mbele <strong>ya</strong> mpinzani wake kwa kiti kilichochorwa viba<strong>ya</strong> sana.” Sauti <strong>ya</strong> nguvu <strong>ya</strong> Eck<br />

na majivuno mingi hakumtisha. Mtetezi wa imani alikuwa anatazamia mshahara mzuri.<br />

Wakati alipokosa mabishano bora, akatumia matukano na hata maapizo ama laana.<br />

Oecolampade, mwenye adabu na mwenye kujihazari, akakataa kushiriki katika<br />

mabishano. Ingawa alikuwa mpole na adabu katika mwenendo, akajionyesha mwenyewe<br />

kuwa na uwezo na imara. Mtengenezaji akashikamana kwa nguvu katika Maandiko.<br />

“Desturi,” akasema, “haina uwezo katika Usuisi wetu, isipokuwa kwa sheria; sasa katika<br />

mambo <strong>ya</strong> imani, Biblia ndiyo sheria yetu.”<br />

Utulivu, kutumia akili kwa Mtengenezaji, unyenyekevu na adabu ulioonyeshwa, ikavuta<br />

mafikara na watu wakachukia majivuno <strong>ya</strong> kiburi cha Eck.<br />

Mabishano <strong>ya</strong>kaendelea kwa mda wa siku kumi na mnane. Wakatoliki wakadai ushindi.<br />

Kwa namna wajumbe wengi walikuwa wa upande wa Roma, na baraza ikatangaza kwamba<br />

Watengenezaji walishindwa na pamoja na Zwingli, waondoshwe kanisani. Lakini<br />

mashindano <strong>ya</strong>katokea katika mvuto wa nguvu kwa ajili <strong>ya</strong> Waprotestanti. Baada <strong>ya</strong> mda<br />

mfupi tu, miji mikubwa <strong>ya</strong> Berne na Bâ le ikajitangaza kuwa kwa upande wa Matengenezo.<br />

Sura 10. Maendeleo Katika Ujeremani<br />

Kutoweka kwa ajabu kwa Luther kukaweka Ujeremani wote katika hofu kubwa. Habari<br />

ikatangazwa na wengi wakaamini kwamba aliuawa. Kukawa maombolezo makubwa, na<br />

wengi wakaapa kwa kitisho kulipiza kisasi cha kifo chake.<br />

Ijapo waiishangilia mara <strong>ya</strong> kwanza kwa ajili <strong>ya</strong> kifo kilichozaniwa cha Luther, adui zake<br />

walijazwa na hofu kuwa sasa kwamba amekuwa mfungwa. “Njia moja tu inayotubakilia kwa<br />

kuokoa kesi letu,” akasema mmoja wao, “ni kuwasha mienge, na kumuwinda Luther katika<br />

ulimwengu wote na kumrudisha kwa taifa linalomwita.” Kusikia kwamba Luther alikuwa<br />

salama, ijapo alikuwa mfungwa, jambo hili likatuliza watu, huku wakisoma maandiko <strong>ya</strong>ke<br />

kwa bidii sana kuliko mbele. Hesabu <strong>ya</strong> wale walioongezeka wakajiunga kwa kisa cha<br />

mshujaa aliyetetea Neno la Mungu.<br />

Mbegu ambayo Luther alipanda ikatoa matunda mahali pote. kutokuwapo kwake<br />

kukafan<strong>ya</strong> kazi ambayo kuwako kwake hakungeweza kufan<strong>ya</strong>. Na sasa mwongozi wao mkuu<br />

ameondolewa, watumikaji wengine wakafan<strong>ya</strong> bidii ili kazi <strong>ya</strong> maana sana iliyoanzishwa<br />

isipingwe. Sasa Shetani akajaribu kudangan<strong>ya</strong> na kuangamiza watu kwa kuwapokeza kazi<br />

iliyogeuzwa kwa hila pahali pa kazi <strong>ya</strong> kweli. Kwa namna kulikuwa Wakristo wa uongo kwa<br />

karne la kwanza, ndipo kukatokea manabii wa uongo kwa karne <strong>ya</strong> kumi na sita.<br />

71

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!