12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Yule aliyeahidi uzima katika uasi alikuwa mdanganyi mkubwa. Na tangazo la nyoka<br />

katika Edeni--“Hakika hamutakufa”--lilikuwa hubiri la kwanza lililohubiriwa daima juu <strong>ya</strong><br />

kutokufa kwa roho (nafsi). Lakini tangazo hili, la kubaki tu kwa mamlaka <strong>ya</strong> Shetani,<br />

linakaririwa kwa mimbara na kukubaliwa kwa watu wengi kwa upesi kama mbele kwa wazazi<br />

wetu wa kwanza. Hukumu <strong>ya</strong> Mungu, “Nafsi inayofan<strong>ya</strong> zambi itakufa” (Ezekieli 18:20)<br />

inafanywa kwa kutaka kuonyesha, Nafsi inayofan<strong>ya</strong> zambi, haitakufa, lakini itaishi milele na<br />

milele. Kama mtu angalipewa ruhusa <strong>ya</strong> uhuru <strong>ya</strong> kukaribia mti wa uzima, baada <strong>ya</strong> kuanguka<br />

kwake, zambi zingalifanywa kukaa milele. Lakini hakuna hata mtu mmoja wa jamaa <strong>ya</strong><br />

Adamu aliyeruhusiwa kuonja (kutwaa) tunda linalotoa uzima. Kwa hiyo hapo hakuna<br />

mwenye zambi wa kuishi milele.<br />

Baada <strong>ya</strong> Kuanguka, Shetani akaalika malaika zake kufundisha imani katika kutokufa <strong>ya</strong><br />

milele kwa asili <strong>ya</strong> mtu. Akiisha kuingiza watu kukubali kosa hili, ilikuwa ni kuwaongoza<br />

kuzania kama mwenye zambi angeishi katika mateso <strong>ya</strong> milele. Sasa mfalme wa giza<br />

anamuonyesha Mungu kuwa sultani mkali mwenye kutaka kisasi, kutangaza <strong>ya</strong> kama<br />

anatumbukiza katika jehanum wote wasiompendeza, <strong>ya</strong> kama wakati wanapojinyonga katika<br />

ndimi za moto wa milele, Muumba wao anawatazama chini na kurizika. Kwa hivi ibilisi<br />

mukubwa anavika Mtenda mema kwa mwanadamu tabia zake. Ukali ni tabia <strong>ya</strong> Shetani.<br />

Mungu ni mapendo. Shetani ni adui anayejaribu mtu afanye zambi na baadaye<br />

akamwangamiza kama awezavyo. Ni mambo <strong>ya</strong> kuchukiza upendo, rehema, na haki,<br />

mafundisho kwamba wafu waovu wanateseka katika jehanum inayowaka <strong>ya</strong> milele, kwamba<br />

kwa zambi za maisha mafupi <strong>ya</strong> kidunia wanateseka malipizi makali katika maisha yote <strong>ya</strong><br />

Mungu!<br />

Ni mahali gani katika Neno la Mungu mafundisho <strong>ya</strong> namna ile inapatikana? Je, mawazo<br />

<strong>ya</strong> wema wa watu wote <strong>ya</strong>geuzwe kwa ukali waushenzi? Hapana, <strong>ya</strong>le si mafundisho <strong>ya</strong><br />

Kitabu cha Mungu. “Ninavyoishi, Bwana Mungu anasema, sina furaha kwa kufa kwa mwovu;<br />

lakini mwovu aache njia <strong>ya</strong>ke apate kuishi; geukeni, geukeni mukaache njia yenu mba<strong>ya</strong>;<br />

kwani kwa sababu gani munataka kufa?” Ezekieli 33:11.<br />

Je, Mungu anapendezwa katika kushuhudia mateso <strong>ya</strong>siyomalizika? Je, Yeye<br />

anapendezwa na maumivu wala mazomeo na kilio cha nguvu cha viumbe vinavyoteseka<br />

anavyoshikilia katika ndimi za moto? Je, sauti hizi za kuchukiza ziwe sauti za nyimbo katika<br />

sikio la yule ambaye ana Upendo Pasipo Mwisho (Mungu)? Loo, matukano gani <strong>ya</strong> kutiisha!<br />

Utukufu wa Mungu hauongezwe kwa kudumisha zambi kupitiamilele na milele.<br />

Ujushi wa Maumivu Maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Milele<br />

Uovu ulifanyika kwa sababu <strong>ya</strong> ujushi wa maumivu maba<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> milele. Dini <strong>ya</strong> Biblia,<br />

inajaa na upendo na wema, inatiwa giza kwa imani <strong>ya</strong> mambo <strong>ya</strong> uchawi na inavikwa na hofu<br />

kubwa. Shetani amepakaa rangi tabia <strong>ya</strong> Mungu kwa rangi za uwongo. Muumba wetu wa<br />

rehema anaogopwa, na kuhofiwa, hata kuchukiwa. Maoni <strong>ya</strong> kutisha <strong>ya</strong> Mungu ambayo<br />

218

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!