12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Katika “Kitabu cha ukumbusho” kumeandikwa matendo mema <strong>ya</strong> “wale wenye kuogopa<br />

Bwana, na kufikiri juu <strong>ya</strong> jina lake.” Kila jaribu lililostahimiliwa, kila uovu uliozuiwa, kila<br />

neno la huruma lililoonyeshwa, kila tendo la (kafara), kila huzuni iliyovumiliwa kwa ajili <strong>ya</strong><br />

Kristo imeandikwa. “Umehesabu kutangatanga kwangu; Utie machozi <strong>ya</strong>ngu ndani <strong>ya</strong> chupa<br />

<strong>ya</strong>ko; Ha<strong>ya</strong> si katika kitabu chako?” Malaki 3:16; Zaburi 56:8.<br />

Mukusudi <strong>ya</strong> Siri<br />

Hapo kunakuwa pia ukumbusho wa zambi za watu. “Kwa maana Mungu ataleta kila kazi<br />

hukumuni, pamoja na kila neno la siri, kama likiwa jema ao kama likiwa ba<strong>ya</strong>.” Kila neno la<br />

bure watu watakalolisema. watatoa hesabu <strong>ya</strong> neno hili siku <strong>ya</strong> hukumu.” “Kwa masemo <strong>ya</strong>ko<br />

utahesabiwa haki, na kwa masemo <strong>ya</strong>ko utahukumiwa.” Makusudi <strong>ya</strong> siri <strong>ya</strong>naonekana katika<br />

kitabu, kwa maana Mungu “atatia nuru maneno <strong>ya</strong>liyofichwa katika giza, na kuonyesha<br />

makusudi <strong>ya</strong> mioyo.” Muhubiri 12:14; Matayo 12:36,37; 1 Wakorinto 4:5. Mbele <strong>ya</strong> kila jina<br />

katika vitabu v<strong>ya</strong> mbinguni kunaingia kila neno ba<strong>ya</strong>, kila tendo la choyo, kila mapashwa<br />

<strong>ya</strong>siyotimizwa, na kila zambi <strong>ya</strong> siri. Maonyo <strong>ya</strong>liyotumwa na mbingu ao makaripio<br />

<strong>ya</strong>siyojaliwa, n<strong>ya</strong>kati zilizotumiwa bure, mvuto uliotumiwa kwa wema ao kwa uba<strong>ya</strong> pamoja<br />

na matokeo <strong>ya</strong> mwisho wake wa mbali, <strong>ya</strong>naandikwa yote kwa taratibu na malaika<br />

mwandishi.<br />

Kipimo cha Hukumu<br />

Sheria <strong>ya</strong> Mungu ni kipimo katika hukumu. “Ogopa Mungu, na shika amri zake; maana<br />

maneno ha<strong>ya</strong> ni yote inayofaa mtu kufan<strong>ya</strong>. Kwa maana Mungu ataleta kila kazi hukumuni.”<br />

“Semeni ninyi, na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria <strong>ya</strong> uhuru.” Muhubiri<br />

12:13,14; Yakobo 2:12.<br />

Wale “wanaohesabiwa kuwa wamestahili” watakuwa na sehemu katika ufufuko wa wenye<br />

haki, Yesu akasema: “Lakini wale watakaohesabiwa kuwa wamestahili kupata dunia ile na<br />

kufufuka kutoka wafu,... ni wana wa Mungu, wakiwa wana wa ufufuo.” “Wale waliofan<strong>ya</strong><br />

mema watafufuka kwa ufufuko wa uzima.” Luka 20:35,36; Yoane 5:29. Wafu wenye haki<br />

hawatafufuliwa hata baada <strong>ya</strong> hukumu ambayo watakayohesabiwa kuwa wamestahili kwa<br />

“ufufuo wa uzima.” Kwa sababu hiyo hawatakuwako katika nafsi wakati vilivyoandikwa juu<br />

<strong>ya</strong> vingali na chunguzwa kesi zao kukatwa.<br />

Yesu atatokea kama mwombezi wao, kutetea kwa ajili <strong>ya</strong>o mbele <strong>ya</strong> Mungu. “Na Kama<br />

mtu yeyote akitenda zambi, tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo mwenye haki.” “Kwa<br />

sababu Kristo hakuingia katika Pahali patakatifu palipofanywa kwa mikono, ndio mfano wa<br />

kweli, lakini aliingia mbinguni zenyewe, aonekane sasa mbele <strong>ya</strong> Mungu kwa ajili yetu.”<br />

“Naye, kwa sababu hii anaweza pia kuwaokoa wanaokuja kwake Mungu kwa njia <strong>ya</strong>ke;<br />

maana yeye ni hai siku zote apate kuwaombea.” 1 Yoane 2:1; Waebrania 7:25; 9:24.<br />

Wakati vitabu v<strong>ya</strong> ukumbusho vinapofunguliwa katika hukumu, maisha <strong>ya</strong> wote<br />

walioamini kwa Yesu <strong>ya</strong>nakuja katika ukumbusho mbele <strong>ya</strong> Mungu. Kuanzia kwa wale<br />

197

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!