12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 16. Kutafuta Uhuru Katika Dunia Mp<strong>ya</strong><br />

Ijapo mamlaka na imani <strong>ya</strong> Roma mambo <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong>likataliwa, kanuni nyingi ziliingizwa<br />

katika ibada <strong>ya</strong> Kanisa la Uingereza. Ilidaiwa kwamba mambo <strong>ya</strong>siyokatazwa katika<br />

Maandiko ha<strong>ya</strong>kuwa na uovu wa hatari. Kwa ku<strong>ya</strong>shika kunafaa kwa kupunguza shimo<br />

kubwa ambalo lilitenga makanisa <strong>ya</strong> matengenezo na Roma, na ilishurtishwa kwamba<br />

wangesaidia Wakatoliki kukubali imani <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong>.<br />

Kundi lingine halikuamua vile. Waliangalia desturi hizi kama dalili <strong>ya</strong> utumwa ambao<br />

walikombolewa. Walifikiri kwamba Mungu katika Neno lake ameimarisha maagizo kwa<br />

kutawala ibada <strong>ya</strong>ke, na kwamba watu hawana uhuru wa kuongeza kwa ha<strong>ya</strong> ao kutosha kwa<br />

ha<strong>ya</strong>. Roma ikaanza kulazimisha <strong>ya</strong>le Mungu hakukataza,na ikaishia kukataza <strong>ya</strong>le aliyo<br />

amuru wazi wazi.<br />

Wengi wakaangalia desturi za Kanisa la Kiingereza kama nguzo za ukumbusho wa ibada<br />

<strong>ya</strong> sanamu, na hawakuweza kujiunga kwa ibada <strong>ya</strong>ke. Lakini Kanisa lilisaidiwa na mamlaka<br />

<strong>ya</strong> serkali, haingeruhusu mafarakano. Mikutano isiyoruhusiwa kwa ajili <strong>ya</strong> ibada ilikatazwa<br />

chini <strong>ya</strong> malipizi <strong>ya</strong> kufungwa, kuhamishwa ao mauti.<br />

Kuwindwa, kuteswa, na kufungwa, watu walioishi maisha safi <strong>ya</strong> unyofu hawakuweza<br />

kutambua ahadi <strong>ya</strong> siku bora. Wengine wakakusudia kutafuta kimbilio katika Uhollande,<br />

wakasalitiwa katika mikono <strong>ya</strong> adui zao. Lakini wakavumilia kwa uaminifu na mwishowe<br />

wakashinda, na wakapata kimbilio katika pwani za urafiki.<br />

Waliacha nyumba zao na mali <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> uchumi. Walikuwa wageni katika inchi <strong>ya</strong> kigeni,<br />

kurudia kwa kazi mp<strong>ya</strong> ili wapate mkate wao. Lakini hawakupoteza wakati kwa uvivu ao<br />

kusikitika. Walimshukuru Mungu kwa ajili <strong>ya</strong> mibaraka waliyopata na wakawa na furaha<br />

katika ushirika wa kiroho wa raha ambao haukusumbuluwa.<br />

Mungu akageuza matokeo<br />

Wakati mkono wa Mungu ulionekana ukiwashota kuvuka bahari kwenda kwa inchi<br />

ambayo wanaweza kupata inchi na kuachia watoto wao uriti wa uhuru wa dini, wakaendelea<br />

katika njia <strong>ya</strong> maongozi <strong>ya</strong> Mungu. Mateso na kujihamisha vilikuwa vikifungua njia kwa<br />

uhuru.<br />

Wakati mara <strong>ya</strong> kwanza walipolazimishwa kujitenga kutoka kwa kanisa la Kiingereza,<br />

Watu walioishi maisha safi wakajiunga waowenyewe kwa maagano kama watu huru wa<br />

Bwana “kwa kutembea pamoja katika njia zake zote zilizojulishwa ao zinazopaswa<br />

kujulishwa kwao.” Hapa ndipo palikuwa na kanuni <strong>ya</strong> maana sana <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong>. Kwa<br />

kusudi hili Wasafiri wakatoka Uholandi kutafuta makao katika Dunia Mp<strong>ya</strong>. Yohana<br />

Robinson, mchungaji wao, katika hotuba <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> kuaga kwenda kwa mahamisho akasema:<br />

115

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!