12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Sura 28. Hukumu Nzito<br />

“Nikaangalia hata viti v<strong>ya</strong> enzi vilipowekwa, na mmoja aliye mzee wa siku akaketi:<br />

mavazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>likuwa meupe kama theluji, na nywele za kichwa chake kama sufu safi, kiti<br />

chake cha enzi kilikuwa ndimi za moto, na magurudumu <strong>ya</strong>ke moto unaowaka. Na mto wa<br />

moto ukatoka, ukapita mbele <strong>ya</strong>ke, elfu <strong>ya</strong> maelfu wakamutumikia, na elfu kumi mara elfu<br />

kumi walisimama mbele <strong>ya</strong>ke: hukumu ikawekwa, vitabu vikafunguliwa.” Danieli 7:9,10.<br />

R.V.<br />

Ndivyo ilivyoonyeshwa kwa njozi <strong>ya</strong> Danieli siku kubwa wakati maisha <strong>ya</strong> watu inapopita<br />

katika mkaguo mbele <strong>ya</strong> Mwamzi wa dunia yote. Mzee wa Siku ni Mungu Baba. Yeye,<br />

chemchemi <strong>ya</strong> viumbe vyote,kisima cha sheria yote, anapaswa kuongoza katika hukumu. Na<br />

malaika watakatifu kama wahuduma na washuhuda, wanahuzuria.<br />

“Na tazama, pamoja na mawingu <strong>ya</strong> mbingu alikuja mmoja aliye mfano wa mwana wa<br />

watu, akakaribia huyu Mzee wa Siku, wakamuleta karibu mbele <strong>ya</strong>ke. Akapewa mamlaka, na<br />

utukufu, na ufalme, ili watu wote, mataifa yote, na lugha zote wamutumikie; mamlaka <strong>ya</strong>ke<br />

ni mamlaka <strong>ya</strong> milele, isiyopita kamwe, na ufalme wake ufalme usioweza kuangamizwa.”<br />

Danieli 7:13,14.<br />

Kuja kwa Kristo kunakoelezwa hapa si kuja kwake kwa mara <strong>ya</strong> pili duniani. Anakuja<br />

kwa Mzee wa Siku katika mbingu kupokea ufalme ambao utatolewa kwake wakati wa<br />

mwisho wa kazi <strong>ya</strong>ke kama mpatanishi. Ni kuja huko, na si kuja kwake kwa mara <strong>ya</strong> pili<br />

dunianini, ile iliyopashwa kufanyika kwa mwisho wa siku 2300 katika mwaka 1844. Kuhani<br />

wetu Mkuu anaingia Pahali patakatifu pa patakatifu kushughulika katika kazi <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwisho<br />

kwa ajili <strong>ya</strong> mtu.<br />

Katika huduma <strong>ya</strong> mfano ila wale ambao zambi zao zilihamishwa kwa Pahali patakatifu<br />

walikuwa na sehemu katika Siku <strong>ya</strong> Upatanisho. Vivyo hivyo katika upatanisho kubwa wa<br />

mwisho na hukumu <strong>ya</strong> uchunguzi kesi zilizoangaliwa ni zile za watu wa Mungu<br />

wanaojulikana. Hukumu <strong>ya</strong> waovu ni kazi iliyotengwa na itafanywa baadaye. “Hukumu<br />

inapashwa kuanza katika nyumba <strong>ya</strong> Mungu.” 1 Petro 4:17.<br />

Vitabu v<strong>ya</strong> ukumbusho katika mbingu vianapaswa kuamua matokeo <strong>ya</strong> hukumu. Kitabu<br />

cha uzima kinakuwa na majina <strong>ya</strong> wote walioingia daima kwa kazi <strong>ya</strong> Mungu. Yesu aliambia<br />

wanafunzi wake: “Lakini furahini kwa sababu majina yenu <strong>ya</strong>meandikwa katika mbingu.”<br />

Paulo anasema juu <strong>ya</strong> watumishi wenzake, “Walio na majina <strong>ya</strong>o katika kitabu cha uzima.”<br />

Danieli anatangaza kwamba watu wa Mungu watakombolewa, “kila mtu atakayeonekana<br />

ameandikwa katika kitabu.” Na mfumbuaji anasema kwamba wale tu watakaoingia Mji wa<br />

Mungu ambao majina <strong>ya</strong>o “walioandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo.”<br />

Luka 10:20; Wafilipi 4:3; Danieli 12:1; Ufunuo 21:27.<br />

196

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!