12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Jerome akaendelea: “Kwa zambi zote nilizozifan<strong>ya</strong> tangu ujana wangu, hakuna moja<br />

inayokuwa na uzito sana katika akili <strong>ya</strong>ngu, na kuniletea majuto makali, kama ile niliyofan<strong>ya</strong><br />

katika mahali hapa pa kufisha, wakati nilipokubali hukumu mba<strong>ya</strong> sana iliyofanywa juu <strong>ya</strong><br />

Wycliffe, na juu <strong>ya</strong> mfia dini mtakatifu, John Huss, bwana wangu na rafiki <strong>ya</strong>ngu. Ndiyo!<br />

Ninatubu kutoka moyoni mwangu, na natangaza kwa hofu kuu kwamba nilitetemeka kwa<br />

ha<strong>ya</strong> sababu <strong>ya</strong> hofu <strong>ya</strong> mauti, nililaumu mafundisho <strong>ya</strong>o. Kwa hiyo ni naomba ... Mwenyezi<br />

Mungu tafazali unirehemu zambi zangu, na hii kwa upekee, mba<strong>ya</strong> kuliko zote.”<br />

Kuelekeza kwa waamuzi wake, akasema kwa uhodari, “Muliwahukumu Wycliffe na John<br />

Huss ... mambo ambayo walihakikisha, na <strong>ya</strong>siyo <strong>ya</strong> udanganyifu, nafikiri, pia vile vile na<br />

kutangaza, kama wao.” Maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong>kakatwa. Maaskofu wakitetemeka na hasira,<br />

wakapaza sauti: “Haja gani iko pale <strong>ya</strong> ushuhuda zaidi? Tunaona kwa macho yetu wenyewe<br />

wingi wa ukaidi wa wapinga dini!”<br />

Bila kutikiswa na tufani, Jerome akakaza sauti: “Nini basi! munafikiri kwamba naogopa<br />

kufa? Mulinishika mwaka mzima katika gereza la kutisha, la kuchukiza kuliko mauti<br />

yenyewe. ... Siwezi bali naeleza mshangao wangu kwa ushenzi mkubwa wa namna hii juu <strong>ya</strong><br />

Mkristo.” Akahesabiwa Kifungo na Mauti. Tena zoruba <strong>ya</strong> hasira ikatokea kwa nguvu, na<br />

Jerome akapelekwa gerezani kwa haraka. Kwani kulikuwa wengine ambao maneno <strong>ya</strong>ke<br />

<strong>ya</strong>liwagusa na kuwapa mawazo mioyoni na walitamani kuokoa maisha <strong>ya</strong>ke. Alizuriwa na<br />

wakuu wenye cheo na kumuomba sana kutii baraza. Matumaini mazuri <strong>ya</strong>litolewa kama<br />

zawadi.<br />

“Shuhudieni kwangu kwa Maandiko matakatifu kwamba niko katika makosa,” akasema,<br />

“na nitaikana kwa kiapo.”<br />

“Maandiko matakatifu”! akapaza sauti mmoja wao wa wajaribu wake, “je, kila kitu basi<br />

ni kuhukumiwa kwa <strong>ya</strong>le Maandiko? Nani anaweza ku<strong>ya</strong>fahamu mpaka kanisa ame<strong>ya</strong>tafsiri?”<br />

“Je, maagizo <strong>ya</strong> watu <strong>ya</strong>nakuwa na bei kuliko injili <strong>ya</strong> Mwokozi wetu?” akajibu Jerome.<br />

“Mpunga dini!” lilikuwa jibu. “Natubu kwa kutetea wakati mrefu pamoja nanyi. Naona<br />

kwamba unashurutishwa na Shetani”.<br />

Kwa gafula akapelekwa mahali pale pale ambapo Huss alitoa maisha <strong>ya</strong>ke. Alikwenda<br />

akiimba njiani mwake, uso wake ukang’aa kwa furaha na amani. Kwake mauti ilipoteza<br />

kutisha kwake. Wakati mwuaji, alipotaka kuwasha kundi, akasimama nyuma <strong>ya</strong>ke, mfia dini<br />

akapaza sauti, “tieni moto mbele <strong>ya</strong> uso wangu, Kama nilikuwa nikiogopa, singekuwa hapa.”<br />

Maneno <strong>ya</strong>ke <strong>ya</strong> mwisho <strong>ya</strong>likuwa ni maombi: “Bwana Baba Mwenyezi, unihurumie, na<br />

unirehemu zambi zangu; kwa maana unajua kwamba nilikuwa nikipenda sikuzote Ukweli.”<br />

Majifu <strong>ya</strong> mfia dini <strong>ya</strong>kakusanyiwa na, kama <strong>ya</strong>le <strong>ya</strong> Huss, <strong>ya</strong>katupwa katika Rhine. Basi<br />

kwa namna hii wachukuzi wa nuru waaminifu wa Mungu waliangamizwa.<br />

43

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!