12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Giza <strong>ya</strong> kiroho inafika, si kwa sababu <strong>ya</strong> kuondolewa kwa neema <strong>ya</strong> kumungu kwa upande<br />

wa Mungu bila sababu, bali ni kwa upande wa binadamu aliyekataa nuru. Wa<strong>ya</strong>hudi, kwa<br />

kupenda dunia na kumsahau Mungu, walikuwa katika ujinga juu <strong>ya</strong> kuja kwa Masi<strong>ya</strong>. Katika<br />

kutoamini kwao wakamkataa Mkombozi. Mungu hakukatia mbali taifa la Wa<strong>ya</strong>hudi kwa<br />

mibaraka <strong>ya</strong> wokovu. Wale waliokataa kweli waliweka “giza kwa nuru, na nuru kwa giza.”<br />

Isa<strong>ya</strong> 5:20.<br />

Baada <strong>ya</strong> kukataa kwao kwa habari njema Wa<strong>ya</strong>hudi wakaendelea kushika kanuni zao za<br />

zamani, wakati ambapo walikubali kwamba Mungu kakuwa tena kati <strong>ya</strong>o. Unabii wa Danieli<br />

ulionyesha kwa wazi wakati wa kuja kwa Masi<strong>ya</strong> na kutabiri vilevile kifo chake. Kwa hivyo<br />

walitia mashaka majifunzo <strong>ya</strong>ke, na mwishowe wa rabbis wakatangaza laana kwa wote<br />

wangejaribu kukadirisha wakati. Katika upofu na ugumu wa moyo Waisraeli wakati wa karne<br />

zilizofuatana wakasimama, bilakujali zawadi za neema <strong>ya</strong> wokovu, bila akili <strong>ya</strong> mibaraka <strong>ya</strong><br />

habari njema, maonyo nzito na la kutisha kwa ajili <strong>ya</strong> hatari <strong>ya</strong> kukataa nuru kutoka mbinguni.<br />

Yeye anayezuia hakikisho lamapashwa <strong>ya</strong>ke kwa sababu <strong>ya</strong>napingana na tamaa zake<br />

mwishowe atapoteza uwezo wa kuchagua kati <strong>ya</strong> ukweli na kosa. Roho hutengana na Mungu.<br />

Mahali ukweli wa Mungu unakataliwa kwa zarau, kanisa litakuwa katika giza, imani na<br />

upendo vitapunguka, na fitina huingia. Washiriki wa kanisa hutia nguvu zao katika mambo<br />

<strong>ya</strong> kidunia, na wenye zambi hugeuka kuwa wagumu katika ugumu wa moyo wao.<br />

Ujumbe Wa Malaika wa Kwanza<br />

Ujumbe wa malaika wa kwanza wa Ufunuo 14 ulitolewa kwa kutenga wale wanaojidai<br />

kuwa watu wa Mungu kutoka kwa mivuto miba<strong>ya</strong>. Katika ujumbe huu, Mungu alituma kwa<br />

kanisa onyo ambalo kama lingelikubaliwa, lingaliweza kusahihisha maovu ambayo <strong>ya</strong>likuwa<br />

<strong>ya</strong>kiwafunga mbali na yeye. Kama wangalikubali ujumbe, kushusha mioyo <strong>ya</strong>o na kutafuta<br />

mata<strong>ya</strong>risho kwa kusimama mbele <strong>ya</strong>ke, Roho wa Mungu angalionekana. Kanisa lingalifikia<br />

tena umoja ule, imani, na upendo wa siku za mitume, wakati waaminifu “walikuwa na moyo<br />

mmoja” na wakati “Bwana aliongezea kwa kanisa kila siku wale waliokuwa wakiokolewa.”<br />

Matendo 4:32; 2:47.<br />

Kama watu wa Mungu wangalipokea nuru kutoka kwa Neno lake, wangalifikia umoja ule<br />

ambao mtume anaeleza, “umoja wa Roho katika kifungo cha salama”. Anasema, “Mwili ni<br />

mmoja, na Roho mmoja, kama vile mulivyoitwa katika tumaini moja la mwito wenu; Bwana<br />

mmoja, imani moja, ubatizo mmoja.” Waefeso 4:3-5.<br />

Wale waliokubali ujumbe wa kurudi kwa Yesu walikuja kutoka makanisa mbalimbali, na<br />

vizuizi v<strong>ya</strong>o v<strong>ya</strong> dini vikatupwa chini kwa nguvu. Kanuni za imani za mabishano zikavunjika<br />

kwa vipande vipande. Maoni <strong>ya</strong> uwongo juu <strong>ya</strong> kuja kwa mara <strong>ya</strong> pili <strong>ya</strong>kasahihiswa. Makosa<br />

<strong>ya</strong> kanyoshwa, mioyo ikaungana katika upatano wakupendeza. Upendo ukatawala sana.<br />

Mafundisho ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong>ngefan<strong>ya</strong> vile kwa wote, kama wote wangelikubali.<br />

153

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!