12.04.2023 Views

Kupinga ya Kiprotestanti

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo. Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

Na ni nini itafanyika kwa haki ya mfalme ya kuwashazimisha watu kwa upanga wake kushiriki imani ambayo Kanisa linaamuru, ikidhaniwa kuwa ni imani ya kweli, kwa sababu Kanisa limeiamuru? Hii pia hulipuliwa na kupinduliwa. Kwa hivyo kanuni, iliyoko ndani ya Maandamano, inaweka udhalimu huu vumbini. Mwenyekiti wa Ponti na upanga wa mfalme hupita, na dhamiri inachukua (nafasi) yao. Lakini Maandamano haiipi dhamiri kiongozi wake mwenyewe; dhamiri sio sheria kivyake. Kama vile uhuni-uasi dhidi yake Yeye ambaye ni Bwana wake. Maandamano yatangaza kwamba Biblia ni sheria ya dhamiri, na kwamba Mwandishi wake ni Bwana wake peke yake. Kwa hivyo kuendesha mkondo wake kati ya hatari mbili tofauti, kuepuka machafuko kwa upande mmoja, na udhalimu kwa upande mwingine, Uprotestanti unakuja ukiwa umekunjua machoni pa mataifa, bendera ya uhuru wa kweli. Wote walio huru wanapaswa kukusanyika karibu na bendera hiyo.

Maneno muhimu: maandamano ya Speyer, uhuru wa kidini, puritan, kanisa, Ujerumani, mila, patakatifu, mahujaji, uingereza mpya, mambo ya kale, ukristo, toba, imani peke yake, kristo peke yake, wesley, huss, waldenses, jerome, calvin, luther, wycliffe, knox, askofu.

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Kupinga</strong> <strong>ya</strong> <strong>Kiprotestanti</strong><br />

Alikuwa chini <strong>ya</strong> laana <strong>ya</strong> ufalme; Adui zake walikuwa na uhuru wa kumuua, rafiki<br />

walikatazwa kumlinda. Lakini aliona kwamba kazi <strong>ya</strong> injili ilikuwa katika hatari, na katika<br />

jina la Bwana akatoka bila uwoga kupigana kwa ajili <strong>ya</strong> ukweli. Ndani <strong>ya</strong> barua kwa<br />

mchaguzi, Luther akasema: “Ninaenda Wittenberg chini <strong>ya</strong> ulinzi wa yule anayekuwa juu<br />

kuliko ule wa wafalme na wachaguzi. Sifikiri kuomba usaada wa fahari <strong>ya</strong>ko, wala kutaka<br />

ulinzi wako, ningependa kukulinda mimi mwenyewe. ... Hakuna upanga unaoweza kusaidia<br />

kazi hii. Mungu peke <strong>ya</strong>ke anapashwa kufan<strong>ya</strong> kila kitu.” Katika barua <strong>ya</strong> pili, Luther<br />

akaongeza: “Niko ta<strong>ya</strong>ri kukubali chuki <strong>ya</strong> fahari <strong>ya</strong>ko na hasira <strong>ya</strong> ulimwengu wote. Je,<br />

wakaaji wa Wittenberg si kondoo zangu? Na hainipasi, kama ni lazima, kujitoa kwa mauti<br />

kwa ajili <strong>ya</strong>o?”<br />

Uwezo wa Neno<br />

Makelele haikukawia kuenea katika Wittenberg kwamba Luther alirudi na alitaka<br />

kuhubiri. Kanisa likajaa. Kwa hekima kubwa na upole akafundisha na kuon<strong>ya</strong>: “Misa ni kitu<br />

kiba<strong>ya</strong>; Mungu huchukia kitu hiki; kinapaswa kuharibiwa. ... Lakini mtu asiachishwe kwacho<br />

kwa nguvu. ... Neno ... la Mungu linapasa kutenda, na si sisi. ...Tunakuwa na haki kusema:<br />

hatuna na haki kutenda. Hebu tuhubiri; <strong>ya</strong>nayobaki ni <strong>ya</strong> Mungu. Nikitumia nguvu nitapata<br />

nini? Mungu hushika moyo na moyo ukikamatwa, umekamatika kabisa. ...<br />

“Nitahubiri, kuzungumza, na kuandika; lakini sitamshurutisha mtu, kwani imani ni tendo<br />

la mapenzi. ... Nilisimama kumpinga Papa, vyeti v<strong>ya</strong> kuachiwa zambi, na wakatoliki, lakini<br />

bila mapigano wala fujo. Ninaweka Neno la Mungu mbele; nilihubiri na kuandika--ni jambo<br />

hili tu nililolifan<strong>ya</strong>. Na kwani wakati nilipokuwa nikilala, ... neno ambalo nililohubiri<br />

likaangusha mafundisho <strong>ya</strong> kanisa la Roma, ambaye hata mtawala ao mfalme hawakulifanyia<br />

mambo mengi maba<strong>ya</strong>. Na huku sikufan<strong>ya</strong> lolote; neno pekee lilitenda vyote.” Neno la<br />

Mungu likavunja mvuto wa mwamusho wa ushupavu. Injili ilirudisha katika njia <strong>ya</strong> Kweli<br />

watu waliodanganywa.<br />

Miaka nyingi baadaye ushupavu wa dini ukainuka pamoja na matokeo <strong>ya</strong> ajabu. Akasema<br />

Luther: “Kwao Maandiko matakatifu <strong>ya</strong>likuwa lakini barua yenye kufa, na wote wakaanza<br />

kupaaza sauti, ‘Roho! Roho! ‘ Lakini kwa uhakika sitafuata mahali ambapo roho <strong>ya</strong>o<br />

inawaongoza.”<br />

Thomas Munzer, alikuwa na bidii zaidi miongoni mwa washupavu hawa, alikuwa mtu wa<br />

uwezo mkubwa, lakini hakujifunza dini <strong>ya</strong> kweli. “Alipokuwa na mapenzi <strong>ya</strong> kutengeneza<br />

dunia, na akasahau, kama wenye bidii wote wanavyofan<strong>ya</strong>, kwamba ilikuwa kwake<br />

mwenyewe ambaye Matengenezo ilipashwa kuanzia.” Hakutaka kuwa wa pili, hata kwa<br />

Luther. Yeye mwenyewe akajidai kwamba alipokea agizo la Mungu kuingiza Matengenezo<br />

<strong>ya</strong> kweli: “Ye yote anayekuwa na roho hii, anakuwa na imani <strong>ya</strong> kweli, ijapo hakuweza kuona<br />

Maandiko katika maisha <strong>ya</strong>ke.”<br />

73

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!