21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

kusimamisha kazi, na watu wenye ibada ya sanamu wakaharakishwa kuipinga. “Hiyo<br />

haiwezi kuwa injili ya Kristo,” wapadri wakashurutisha, “kuona kuihubiri hakuwezi kuleta<br />

amani, bali vita.”<br />

Akaenda mji kwa mji, kuteseka na njaa, baridi, na kuchoka,na mahali pote katika ajali ya<br />

maisha yake. Akahubiri sokoni, ndani ya makanisa, mara zingine katika mimbara ya<br />

makanisa makubwa. Zaidi kuliko mara moja akapigwa karibu kufa. Lakini akaendelea<br />

mbele. Mwishowe akaona miji mikubwa na midogo iliokuwa ngome <strong>za</strong> kanisa la Katoliki<br />

yakafungua milango yao kwa injili.<br />

Farel alitamani kusimamisha bendera ya Waprotestanti katika Geneve. Kama mji huu<br />

ungaliwe<strong>za</strong> kupatikana, ungalikuwa mahali pa kubwa kwa ajili ya Matengenezo katika<br />

Ufransa, Uswisi, na Italia. Miji mingi iliyokuwa kandokando ya miji midogo ikaamini.<br />

Pamoja na rafiki mmoja akaingia Geneve. Lakini akaruhusiwa kuhubiri mara mbili tu.<br />

Mapadri wakamwalika mbele ya bara<strong>za</strong> la kanisa, wakaja na silaha zilizofichwa chini ya<br />

makanzu yao, wakakusudia kutoa maisha yake. Inje ya chumba kulikuwa na watu wengi<br />

wenye hasira kuhakikisha kifo chake kama akiepuka bara<strong>za</strong>. Kuwako kwa waamzi na<br />

waaskari, ingawa hivyo wakamwokoa. Mapema sana asubuhi akapelekwa karibu ya ziwa<br />

mahali pa salama. Ndivyo ilivyokuwa mwisho wa juhudi yake ya kwan<strong>za</strong> ya kuene<strong>za</strong> injili<br />

huko Geneve.<br />

Kwa kusikilizwa mara ya pili, wakachagua chombo ki<strong>za</strong>ifu sana; alikuwa kijana<br />

munyonge kwa sura hata akapokelewa bila furaha na marafiki wanaojidai kusimamia<br />

Matengenezo. Lakini mtu wa namna hii angewe<strong>za</strong> kufanya nini mahali Farel alikataliwa?<br />

“Mungu alichagua vitu <strong>za</strong>ifu vya dunia kupatisha vitu vya nguvu haya.” 1 Wakorinto 1:27.<br />

Froment Mwalimu<br />

Froment akaan<strong>za</strong> kazi yake kama mwalimu. Kweli alizofundisha watoto chuoni<br />

wakayakariri nyumbani mwao. Mara wa<strong>za</strong>zi wakasikia Biblia ilipokuwa ikielezwa. Agano<br />

Jipya na vitabu vidogo vikatolewa bure. Baada ya mda mtumikaji huyu pia alipashwa<br />

kukimbia, lakini kweli alizofundisha ikaingia mioyoni mwa watu. Matengenezo<br />

yakapandwa. Wahubiri wakarudi, na ibada ya Kiprotestanti ikaanzishwa katika Geneve.<br />

Miji ulikuwa ukmekwisha kutangazwa kuwa upande wa Matengenezo wakati Calvin,<br />

alipoingia katika milango yake. Alikuwa njiani kwenda Basel alipolazimishwa kupitia njia<br />

ya kuzunguka zunguka kupitia Geneve.<br />

Katika kuzuru huku Farel akatambua mkono wa Mungu. Ingawa Geneve ilikubali imani<br />

ya Matengenezo, lakini kazi ya kuongoka ilipaswa kutendeka ndani ya moyo kwa uwezo wa<br />

Roho Mtakatifu, si kwa amri <strong>za</strong> mabara<strong>za</strong>. Wakati watu wa Geneve walipokataa mamlaka<br />

ya Roma, hawakuwa tayari kabisa kuacha makosa yaliyositawishwa chini ya amri yake.<br />

92

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!