21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 38. Ujumbe wa Mungu Ulio wa Mwisho<br />

“Nyuma ya maneno haya nikaona malaika mwingine akishuka kutoka mbinguni,<br />

mwenye mamlaka kubwa; na dunia ikangazwa kwa utukufu wake. Akalia kwa sauti kubwa,<br />

akisema: Umeanguka, umeanguka Babeli ule mkubwa, umekuwa makao ya mashetani, na<br />

boma la kila pepo mchafu na boma la kila ndege mchafu mwenye kuchuki<strong>za</strong>;<br />

Na nikasikia sauti nyingine toka mbinguni ikisema: Tokeni kwake, watu wangu,<br />

musishirikiane na <strong>za</strong>mbi yake, wala musipokee mapigo yake”. Ufunuo 18:1,2,4. Matangazo<br />

yaliyofanywa na malaika wa pili ya Ufunuo 14 (fungu 8) ni ya kukaririwa, pamoja na mtajo<br />

mwingine wa machafuko yaliokuwa yakiingia katika Babeli tangu ujumbe ulipotolewa mara<br />

ya kwan<strong>za</strong>.<br />

Hali ya kitisha inaelezwa hapa. Kwa kila kukataa kwa ukweli akili <strong>za</strong> watu zitakuwa<br />

gi<strong>za</strong> sana, mioyo yao mikaidi <strong>za</strong>idi. Wataendelea kukanyanga mojawapo ya maagizo ya<br />

amri kumi hata wanapotesa wale wanaoishika kuwa takatifu. Kristo anawekwa kwa sifuri<br />

juu ya <strong>za</strong>rau lililowekwa kwa Neno lake na kwa watu wake.<br />

Ungamo la dini litakuwa ni tendo la kudanganya kwa kuficha uovu wa msingi kabisa.<br />

Uaminifu katika imani ya kuwa roho <strong>za</strong> watu waliokufa hurudi na kujionyesha na kuongea<br />

na watu (spiritualisme) inafungua mlango kwa mafundisho ya mashetani, na kwa hivyo<br />

mvuto wa malaika wabaya utaonekana katika makanisa. Babeli umeja<strong>za</strong> kipimo cha <strong>za</strong>mbi<br />

<strong>za</strong>ke, na maangamizo ni karibu kuanguka.<br />

Lakini Mungu akingali na watu katika Babeli, na waaminifu hawa wanapashwa kuitwa<br />

kutoka ili wasishirikiane na <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>ke na “wasipokee mapingo yake”. Malaika anashuka<br />

toka mbinguni kuangazia dunia kwa utukufu wake na kutanga<strong>za</strong> <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> Babeli. Mwito<br />

umesikilika: “Tokeni kwake, watu wangu”. Matangazo haya yanakuwa onyo ya mwisho<br />

kutolewa kwa wakaaji wa dunia.<br />

Nguvu <strong>za</strong> dunia, kuungana kwa vita kupinga amri <strong>za</strong> Mungu, zitaamuru ya kama “wote,<br />

wadogo na wakubwa, na matajiri na masikini na wahuru na wafungwa” (Ufunuo 13:16)<br />

watakubali desturi <strong>za</strong> kanisa kwa kushika sabato ya uwongo. Wote wanaokataa mwishoni<br />

watatangazwa wenye kustahili mauti. Kwa upande mwingine, sheria ya Mungu inaagi<strong>za</strong><br />

siku ya pumziko ya Mungu inaonya hasira juu ya wote wanaovunja amri <strong>za</strong>ke.<br />

Kwa matokeo, ndivyo ilivyoletwa wazi mbele yake, ye yote atakayekanyanga juu ya<br />

sheria ya Mungu na kutii sheria ya kibinadamu anapokea alama ya mnyama, ishara ya<br />

uaminifu kwa uwezo anaouchagua kutii badala ya Mungu. “Mtu awaye yote akimsujudu<br />

huyo mnyama na sanamu yake, yeye naye atakunywa katika mvinyo wa ga<strong>za</strong>bu ya Mungu<br />

iliyotengenezwa, pasipo kuchanganywa na maji, katika kikombe cha hasira yake”. Ufunuo<br />

14:9,10.<br />

252

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!