21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Ndipo waongozi wa kanisa la Papa, mara wakaamshwa kwa hatari iliyohofisha kazi yao,<br />

wakapandisha watoto wengi wa watu bora wa Scotland (Ecosse) kwa kigingi. Washahidi<br />

hawa waliokufa po pote katika inchi wakafurahisha roho <strong>za</strong> watu na kusudi isiyokufa ya<br />

kuvunja minyororo <strong>za</strong> Roma.<br />

Yohana Knox<br />

Hamilton na Wishart, pamoja na mstari mrefu wa wanafunzi wapole, wakatoa maisha<br />

yao kwa kigingi. Lakini kutoka kwenye tuta la kuni moto wa Wishart kukatokea mtu<br />

ambaye ndimi <strong>za</strong> moto hazikumunyamazisha, mtu ambaye, chini ya uongozi wa Mungu<br />

ilipashwa kupinga onyo la mauti kwa kanisa la Papa katika inchi ya Scotland.<br />

John Knox akatupia mbali maagizo ya asili ya kanisa na akajilisha kwa ukweli wa Neno<br />

la Mungu. Mafundisho ya Wishart yakathibitisha kusudi lake la kuachana na Roma na<br />

kujiunga mwenyewe na Watengene<strong>za</strong>ji walioteswa.<br />

Aliposhurutishwa na wen<strong>za</strong>ke kufanya kazi ya kuhubiri, akarudi anapotetemeka mbele<br />

ya madaraka kama hayo. Ilikuwa tu baada ya siku <strong>za</strong> vita kali pamoja naye ndipo akakubali.<br />

Lakini alipokubali, akaendelea mbele na uhodari wa kutisha. Ujasiri huu wa mtengene<strong>za</strong>ji<br />

haukuogopa mtu. Alipoletwa uso kwa uso na malkia wa Scotland, Yohana Knox hakukubali<br />

kushindwa kwa sababu ya kubembelezwa; hakutetemeka juu ya vitisho. Kwamba Malkia<br />

akatanga<strong>za</strong> kwamba alifundisha watu kukubali dini iliyokatazwa na serekali, na kwa hivyo<br />

alivunja pia amri ya Mungu inayolazimisha watu kutii watawala wao. Knox akajibu kwa<br />

ujasiri: “Kama watoto wa Izraeli wote walikubali dini ya Farao ambao walikuwa watu wake,<br />

nakuuli<strong>za</strong>, Bibilia, ni dini ya namna gani ingaliwe<strong>za</strong> kuwa katika dunia? Ao kama watu<br />

wote katika siku <strong>za</strong> mitume, wangalikuwa wa dini ya wafalme wa Roma, ni dini ya namna<br />

gani ingalikuwa mbele ya uso wa dunia?”<br />

Akasema Marie: “Mnatafsiri Maandiko kwa namna ingine, na (Wakatoliki wa Roma)<br />

wanatafsiri kwa namna ingine; nitamwamini nani, na ni nani atakuwa mwamzi?”<br />

“Utamwamini Mungu, ile inasemwa wazi katika Neno lake,” akajibu Mtengene<strong>za</strong>ji. ...<br />

Neno la Mungu linakuwa wazi ndani yake lenyewe; na kama kukionekana gi<strong>za</strong> lolote katika<br />

mahali fulani, Roho Mtakatifu, asiyekuwa na mabishano kati yake mwenyewe, huele<strong>za</strong><br />

namna moja wazi <strong>za</strong>idi mahali pengine.”<br />

Kwa moyo usio na hofu Mtengene<strong>za</strong>ji shujaa, kwa ajili ya maisha yake, akaendelea na<br />

kusudi lake, hata Scotland ikapata uhuru kutoka kwa kanisa la Papa.<br />

Kuimarishwa kwa dini ya Kiprotestanti kama dini ya taifa katika Uingere<strong>za</strong> kulituli<strong>za</strong><br />

mateso lakini bila kuikomesha kabisa. Mengi katika maagizo ya Roma yaliendelea.<br />

Mamlaka ya Papa ilikataliwa, lakini mahali tu ambapo mfalme alipewa kiti kama kichwa<br />

cha kanisa. Katika ibada watu walikuwa wakingali mbali na utakatifu wa injili. Uhuru wa<br />

dini ulikuwa haujafahamika. Ijapo matatizo ya kutisha ambayo Roma ilitumia ilipata<br />

101

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!