21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 3. Gi<strong>za</strong> la Kiroyo Katika<br />

Mtume Paulo alisema kwamba siku ya Kristo haingepaswa kuja “ila maasi yale yafike<br />

mbele, na mtu yule wa kuasi akafunuliwe, mwana wa uharibifu, yeye mpin<strong>za</strong>ni na<br />

kujionyesha mwenyewe juu ya yote yanayoitwa Mungu ao kuabudiwa, hata kuketi ndani ya<br />

hekalu la Mungu akijionyesha mwenyewe kama yeye ndiye Mungu”. Na <strong>za</strong>idi, “Maana siri<br />

ya uasi hata sasa inatenda kazi”. 2 Watesalonika 2:3,4,7. Hata kwa tarehe ile ya mwanzo<br />

mtume aliona, makosa kuingia kimya polepole, yale yangetayarisha njia kwa ajili ya Kanisa<br />

la Kipapa.<br />

Pole pole, “siri ya uasi” ikaendesha kazi yake ya Kudanganya. Desturi <strong>za</strong> kipagani<br />

zikapata njia <strong>za</strong>o katika kanisa la Kikristo, zilipozuiwa wakati wa mateso makali chini ya<br />

upagani; lakini wakati mateso yalipokoma, ukristo ukaweka kando unyenyekevu wa Kristo<br />

kwa ajili ya fahari ya mapadri wa kipagani na watawala. Kugeuka kwa jina tu kwa<br />

Constantini ukaleta furaha kubwa. Sasa kazi ya maovu ikaendelea kwa upesi. Upagani,<br />

ulionekana kushindwa kabisa.. Mafundisho yake na mambo ya uchawi yakaingia katika<br />

imani ya waliojidai kuwa wafuasi wa Kristo.<br />

Mapatano haya kati ya upagani na ukristo yakatokea katika “mutu wa <strong>za</strong>mbi”<br />

aliyetabiriwa katika unabii. Dini ile ya uwongo kazi bora ya Shetani, juhudi yake kwa kukaa<br />

mwenyewe juu ya kiti cha ufalme kwa kutawala dunia kufuatana na mapenzi yake.<br />

Ni mojawapo ya mafundisho ya Kiroma ya msingi kwamba Papa amepewa mamlaka<br />

kuu juu ya maaskofu na wachungaji (pasteurs) katika ulimwengu wote. Zaidi ya jambo hili<br />

ameitwa “Bwana Mungu Papa” na ametangaziwa kuwa asiyewe<strong>za</strong> kukosa. (Ta<strong>za</strong>ma<br />

Mwisho wa Kitabu (Nyongezo)) Madai ya namna moja yallazimishwa na Shetani katika<br />

jangwa la majaribu yangali yakiendeshwa naye kati ya Kanisa la Kirumi, na hesabu kubwa<br />

wanamtolea heshima kubwa.<br />

Lakini wale wanaoheshimu Mungu wanapigana majivuno haya kama vile Kristo<br />

alipambana na adui mwerevu: “Utaabudu Bwana Mungu wako,yeye peke utamutumikia”.<br />

Luka 4:8. Mungu hakuagi<strong>za</strong> kamwe mtu ye yote kuwa kichwa cha kanisa. Utawala wa<br />

kipapa unakuwa kinyume kabisa na Maandiko. Papa hawezi kuwa na mamlaka juu ya<br />

Kanisa la Kristo isipokuwa kwa njia ya kunyanganya. Warumi huleta juu ya Waprotestanti<br />

madai ya kwamba kwa mapenzi yao walijitenga kwa kanisa la kweli. Lakini ni wao<br />

waliacha “imani waliyopewa watakatifu mara moja tu”. Yuda 3.<br />

Shetani alijua vizuri kwamba ilikuwa kwa Maandiko matakatifu ambayo Mwokozi<br />

alishindana na mashambulio yake. Kwa kila shambulio, Kristo alionyesha ngabo ya kweli<br />

ya milele, kusema, “Imeandikwa”. Kwa kudumisha uwezo wa utawala wake juu ya watu na<br />

kuanzisha mamlaka ya Papa munyanganyi, anapaswa kuendelea kufunga, watu katika<br />

kutojua Maandiko matakatifu. Mambo ya kweli matakatifu yake yalipaswa kufichwa na<br />

komeshwa. Kwa mda wa miaka mamia ya uene<strong>za</strong>ji wa Biblia ulikatazwa na Kanisa la<br />

17

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!