21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wakristo walifanywa kuona kwamba wakati ulikuwa karibu, mambo walipashwa<br />

kutendea wen<strong>za</strong>o yalipaswa kufanywa kwa upesi. Umilele ulionekana kufunguliwa mbele<br />

yao. Roho wa Mungu alitoa uwezo kwa miito yao kujitayarisha kwa ajili ya siku ya Mungu.<br />

Maisha yao ya siku kwa siku ilikuwa mi laumu kwa washiriki wa kanisa wasiotakaswa.<br />

Hawa hawakutaka kusumbuliwa katika furaha yao, kutafuta fe<strong>za</strong>, na tamaa ya nguvu kwa<br />

ajili ya heshima ya kidunia. Ndipo wakapinga imani ya kiadventisti.<br />

Wapin<strong>za</strong>ni wakajitahidi kupinga uchunguzi kwa kufundisha kwamba mambo ya unabii<br />

yalitiwa muhuri. Kwa hiyo Waprotestanti wakafuata nyayo <strong>za</strong> washiriki wa kanisa la Roma.<br />

Makanisa ya Waprotestanti wakadai kwamba sehemu kubwa ya Maandiko matakatifu--yale<br />

yanayotoa nuru kwa Neno la Mungu, sehemu ile inayofaa <strong>za</strong>idi kwa wakati wetu,<br />

haikuwe<strong>za</strong> kufahamika. Wachungaji wakasema kwamba Danieli na Ufunuo vilikuwa vitabu<br />

vya siri isiyowe<strong>za</strong> kufahamika kwa wanadamu.<br />

Lakini Kristo aliongo<strong>za</strong> wanafunzi wake kwa maneno ya nabii Danieli, “Yeye<br />

anayesoma afahamu.” Matayo 24:15. Na kitabu cha Ufunuo kinapaswa kufahamika.<br />

“Ufunuo wa Yesu Kristo aliopewa na Mungu aonyeshe watumishi wake maneno<br />

yaliyopaswa kuwa upesi... Heri anayesoma nao wanaosikia maneno ya unabii huu, na<br />

kushika maneno yaliyoandikwa ndani yake; kwa maana wakati ni karibu.” Ufunuo 1:1-3,<br />

matoleo ya herufi <strong>za</strong> italics.<br />

“Heri anayesoma” kunakuwa na wale hawatasoma; na “nao wanaosikia” hapo kuna<br />

wengine wanaokataa kusikia kitu cho chote juu ya mambo ya unabii; “na kusikia maneno<br />

yaliyoandikwa ndani yake” wengi wanakataa kusikia mafundisho katika Ufunuo; hakuna<br />

kati ya hawa anayewe<strong>za</strong> kudai mibaraka iliyoahidiwa.<br />

Namna gani watu husubutu kusingizia kwamba Ufunuo ni siri inayopita fahamu ya<br />

wanadamu? Ni siri iliyofunuliwa, kitabu kilichofunuliwa. Ufunuo unaongo<strong>za</strong> mawazo kwa<br />

Danieli. Wote wawili wanaonyesha mafundisho makubwa juu ya mambo makubwa kwa<br />

mwisho wa historia ya dunia. Yoane aliona hatari, vita, na kukombolewa kwa mwisho kwa<br />

watu wa Mungu. Aliandika mambo ya ujumbe wa mwisho unaopasa kukamilisha mavuno<br />

ya dunia, au kwa gala la mbinguni au kwa moto wa uharibifu, ili wale wanaogeuka kutoka<br />

kwa mabaya hata kwa ukweli waweze kufundishwa juu ya hatari na mapigano yanayo kuwa<br />

mbele yao.<br />

Sababu gani, basi, juu ya ujinga huu unaoenea sana juu ya sehemu kubwa hii ya<br />

Maandiko matakatifu? Ni matokeo ya juhudi iliyokusudiwa ya mfalme wa gi<strong>za</strong> kwa kuficha<br />

watu yale yanayofunua madanganyifu yake. Kwa sababu hii, Kristo Bwana wa Ufunuo huu,<br />

kwa kuona mbele ya wakati vita juu ya fundisho la Ufunuo, akatanga<strong>za</strong> baraka kwa wote<br />

watakaowe<strong>za</strong> kusoma, kusikia, na kushika unabii.<br />

141

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!