21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

kuja kwa Kristo na mahitaji yao ya kujitayarisha. Katika miji mikubwa mingine, wenye<br />

duka ya vileo vikali na wakageu<strong>za</strong> duka <strong>za</strong>o kuwa vyumba vya mikutano; nyumba <strong>za</strong><br />

michezo ya kamari zikavunjwa; makafiri na hata na wapotovu walioachwa wengi<br />

wakabadilika. Mikutano ya maombi ikaanzishwa na makanisa mbali-mbali karibu kila saa,<br />

wachuuzi wakakusanyika wakati wa jua kali kwa kuomba na kusifu. Hapo hapakuwa na<br />

wasiwasi wa kupita kiasi. Kazi yake kama ile ya Watengene<strong>za</strong>ji wa kwan<strong>za</strong> ikaamsha <strong>za</strong>miri<br />

kuliko kuchoche<strong>za</strong> tamaa tu.<br />

Katika mwaka 1833 Miller akapokea ruhusa ya kuhubiri kwa Kanisa la Baptiste. Hesabu<br />

kubwa ya wahuduma wa kanisa lake wakakubali kazi yake; ilikuwa ni kwa ukubali wao wa<br />

kawaida ambao akaendelea na kazi <strong>za</strong>ke. Akasafiri na kuhubiri bila kukoma, bila kupokea<br />

mali ya kutosha kwa ajili ya gharama ya kusafiri kwa mahali alipoalikwa, hivi kazi yake<br />

kwa ajili ya watu wote ilikuwa kodi nzito kwa mali yake.<br />

“Nyota Zitaanguka”<br />

Katika mwaka 1833 ishara <strong>za</strong> mwisho zikaonekana zilizoahidiwa na Mwokozi kama<br />

dalili ya kuja kwake kwa mara ya pili: “Nyota zitaanguka toka mbinguni.” Na Yoane katika<br />

Ufunuo akasema, “Na nyota <strong>za</strong> mbinguni zikaanguka juu ya dunia kama vile mtini<br />

unavyotupa matunda mabichi yake, wakati unapotikiswa na upepo mkubwa.” Matayo 24:29;<br />

Ufunuo 6:13. Unabii huu ulipata utimilifu wa kushanga<strong>za</strong> katika wingi wa vimondo (nyota<br />

ipitayo upesi mbinguni) vya Novemba 13, 1833, ni tamasha ya kushanga<strong>za</strong> ya nyota<br />

ambayo historia hulinda kumbukumbu yake. “Kamwe mvua haikuanguka tena kubwa<br />

kuliko vimondo vilivyoanguka juu ya dunia; mashariki, mangaribi, kaskazini na kusini,<br />

ilikuwa namna moja. Katika neno moja, mbinguni pote kulionekana katika mwendo...<br />

Tangu saa nane hata asubui, mbingu kuwa bila mawingu kabisa na kweupe, mwendo wa<br />

daima wa mianga<strong>za</strong> yenye kungaa ya ajabu ikalindwa mbinguni mwote.”<br />

Ilionekana kwamba nyota zote <strong>za</strong> mbinguni zilipatana kukutana pahali pa karibu pa<br />

opeo, na zilikuwa zikiendelea kurushwa wakati ule ule, kwa upesi wa umeme, kwa pande<br />

zote <strong>za</strong> upeo wa macho; na huku hazikuisha--maelfu kwa upesi katika njia <strong>za</strong> maelfu, kama<br />

kwamba ziliumbwa kwa ajili ya tukio lile.” “Picha halisi <strong>za</strong>idi ya mtini kuangusha tini <strong>za</strong>ke<br />

zinapopeperushwa na upepo wa nguvu, ndiyo si vyepesi kuele<strong>za</strong> tukio hili.”<br />

Katika gazeti la biashara la New York la tarehe 14, Novemba 1833, kukatokea nakala<br />

kwa ajili ya jambo hili; “Hakuna mtu wa elimu ya elimu zote (philosophe) wala mwalimu<br />

aliyetoa habari wala kuandika tukio, ninawa<strong>za</strong>, kama lile la jana asubui. Nabii miaka elfu<br />

moja mia nane iliyopita akaitabiri sawasawa, kama tukiwa kwa hatari ya kufahamu kwamba<br />

kuanguka kwa nyota hakika ni kuanguka kwa nyota,... katika maana ya pekee kwamba<br />

inawezekana kwa kweli.”<br />

Ndivyo ilivyokuwa onyesho la dalili zile <strong>za</strong> kuja kwake, kuhusu habari ambazo Yesu<br />

aliambia wanafunzi wake: “Wakati munapoona maneno haya yote, mjue ya kuwa yeye ni<br />

138

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!