21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

waliokatazwa. Kosa lao kubwa lilikuwa kwamba hawakuabudu Mungu kufuatana na<br />

mapenzi ya Papa. Kwa ajili ya “kosa hili” kila tukano na mateso ambayo watu ao Shetani<br />

waliwe<strong>za</strong> kufanya yaliwekwa juu yao.<br />

Wakati Roma ilikusudia kukomesha dini hii (secte) iliyochukiwa, tangazo likatolewa na<br />

Papa kuwahukumu kama wapingaji wa dini na kuwatoa kwa mauaji. (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo).<br />

Hawakusitakiwa kama wavivu, wasio waaminifu, ao wasio na utaratibu; lakini ilitangazwa<br />

kwamba walikuwa wenye mfano wa wenye utawa na utakatifu uliovuta “kondoo la zizi la<br />

kweli”. Tangazo hili likaita washiriki wote wa kanisa kuungana kwa mapigano yawapingaji<br />

wa dini<br />

Kama vile kuchochea tangazo hili liliachia viapo vyovyote wote waliokubali kwenda<br />

kwa vita; tangazo hili likawatolea haki kwa kila mali waliwe<strong>za</strong> kupata kwa wizi, nalika<br />

ahidi ondoleo la <strong>za</strong>mbi zote kwa yule angewe<strong>za</strong> kuua mpinga dini yeyote. Jambo hilo<br />

likavunja mapatano yote yaliyofanywa kwa upendeleo wa Wavaudois, wakakata<strong>za</strong> watu<br />

wote kuwapa msaada wowote, na kuwapa uwezo watu wote kukamata mali yao”. Andiko<br />

hii linafunua wazi wazi mungurumo wa joka, na si sauti ya Kristo. Roho ya namna moja<br />

iliyosulibisha Kristo na kuua mitume, ile ilisukuma Nero mwenye hamu ya kumwaga damu<br />

juu ya waaminifu katika siku <strong>za</strong>ke, ilikuwa kazini kwa kuondoa juu ya dunia ya wale<br />

waliokuwa wapendwa wa Mungu.<br />

Bila kuta<strong>za</strong>ma vita ya Papa juu yao na mauaji makali sana waliyoyapata, watu hawa<br />

wanaogopa Mungu waliendelea kutuma wajumbe (Missionnaires) kutawanya ukweli wa<br />

damani. Waliwindwa hata kuuwawa, lakini damu yao ilinywesha mbegu iliyopandwa na<br />

ku<strong>za</strong>a matunda.<br />

Kwa hivyo Wavaudois walishuhudia Mungu kwa karne nyingi kabla ya Luther.<br />

Walipanda mbegu ya Matengenezo (Reformation) yale yaliyoan<strong>za</strong> wakati wa Wycliffe,<br />

yakaota na kukomaa katika siku <strong>za</strong> Luther, na yanapaswa kuendelea hata mwisho wa<br />

wakati.<br />

29

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!