21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Kristo” lilikuwa “tumaini la baraka.” Tito 2:13. Paulo alionyesha kwamba ufufuo utafika<br />

wakati wa kurudi kwa Mwokozi, wakati waliokufa katika Kristo * watakapofufuka, na<br />

pamoja na wahai kuchukuliwa juu kukutana na Bwana katika mawingu. “Na hivi” akasema,<br />

“tutakuwa pamoja na Bwana milele. Basi mufarijiane kwa maneno haya.” 1 Watesalonika<br />

4:17.<br />

Kule Patemo mwanafunzi mpendwa akasikia ahadi, “Ndiyo: ninakuja upesi.” Na jibu<br />

lake linasimamia ombi la kanisa. “Amina, kuja Bwana Yesu.” Ufunuo 22:20. Kati ya<br />

gere<strong>za</strong>, kigingi, mahali wanaponyongwa kwa sheria, pahali watakatifu na wafia dini<br />

waliposhuhudia kwa ajili ya kweli, kutoka kwa karne nyingi <strong>za</strong> usemi wa imani yao na<br />

tumaini.” Walipohakikishwa na ufufuo wa Yesu mwenyewe, na baadaye ufufuo wao<br />

wenyewe wakati wa kuja kwake, kwa sababu hii, “akasema mmojawapo wa Wakristo<br />

hawa,” wali<strong>za</strong>rau mauti, na wakapatikana kuwa juu yake, wa Waldenses walitun<strong>za</strong>imani ile<br />

ile, Wyccliffe, Luther, Calvin, Knox, Ridley, na Baxter walita<strong>za</strong>mia kwa imani kurudi kwa<br />

Bwana. Ndiyo iliyokuwa tumaini la kanisa la mitume, la “kanisa katika jangwa,” na la<br />

Watengene<strong>za</strong>ji.<br />

Unabii hautabiri tu namna na kusudi la kuja kwa Kristo mara ya pili, bali huonyesha<br />

ishara ambazo watu wanapashwa kujua wakati siku ile inapokaribia. “Na kutakuwa na<br />

ishara katika jua na mwezi na nyota.” Luka 21:25. “...jua litatiwa gi<strong>za</strong>, na mwezi hautatoa<br />

nuru yake, na nyota <strong>za</strong> mbingu zitaanguka, na nguvu zilizo mbinguni zitatikisika. Na wakati<br />

ule wataona Mwana wa watu akikuja katika mawingu pamoja na uwezo kubwa na utukufu.”<br />

Marko 13:24-26.<br />

Muonyeshaji (nabii) basi anaonyesha mojawapo wa ishara zitakazo tangulia kuja kwa<br />

mara ya pili: “... ta<strong>za</strong>ma, palikuwa na tetemeko kubwa la inchi, jua likakuwa jeusi kama<br />

gunia la manyoya, na mwezi wote ukakuwa kama damu.” Ufunuo 6:12.<br />

Tetemeko la inchi lililotikisa Ulimwengu<br />

Kwa kutimilika kwa unabii huu kulitokea katika mwaka 1755 tetemeko la inchi<br />

lililokuwa la kutisha <strong>za</strong>idi lililoandikwa. Lilijulikana kama tetemeko la inchi la Lisbon,<br />

likaenea Ulaya, Afrika, na Amerika. Likasikiwa Groenland, Upande wa Magharibi ya<br />

Uhindi, katika Antilles, Norvege na Swede, Uingere<strong>za</strong> na Irland, kwa eneo si chini kuliko<br />

kilometres milioni ine kwa mraba. Katika Afrika mshindo ulikuwa karibu sana wa nguvu<br />

kama katika Ulaya. Sehemu Kubwa ya Algiers (Mji mkuu wa Algeria) ikaharibiwa. Wimbi<br />

kubwa la kutisha lika<strong>za</strong>misha pwani ya Espagne na ya Afrika na kudidimiisha miji.<br />

Milima, “ingine katika milima inayo kuwa kubwa sana katika Portugal, ikatikiswa kwa<br />

nguvu sana, tangu kwa misingi yao; na ingine kati yao ikafunguka kwa vilele vyao, ambayo<br />

ilipasuka na kutengana kwa namna ya ajabu, mafungu makubwa yao kutupwa katika<br />

mabonde ya karibu. Ndimi <strong>za</strong> moto imehadiziwa kutoka kwa milima hizo.”<br />

122

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!