21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Baada ya kuonyesha mambo ya ajabu ya kuja kwa Bwana, mfunuaji anaendelea: “kisha<br />

nikaona malaika akishuka toka mbingu, mwenye ufunguo wa shimo lisilo na mwisho, na<br />

munyororo mkubwa katika mkono wake. Akamshika yule joka mkubwa, yule nyoka ya<br />

<strong>za</strong>mani, anayeitwa Diabolo na Shetani, akamufunga miaka elfu, na akamutupa katika shimo<br />

lisilo na mwisho, na kumufunga, na kutia muhuri juu yake, asipate kudanganya mataifa<br />

tena, hata ile miaka elfu itimie; na nyuma ya hayo inapashwa afunguliwe wakati kidogo”.<br />

Ufunuo 20:1-3.<br />

“Shimo lisilo na mwisho” ni mfano wa dunia katika machafuko na gi<strong>za</strong>. Kuta<strong>za</strong>mia siku<br />

kubwa ya Mungu, Yeremia anatanga<strong>za</strong>; “Niliangalia inchi, na ta<strong>za</strong>ma, ilikuwa ukiwa, haina<br />

watu; niliangalia mbingu, nazo hazikuwa na nuru. Niliangalia milima, na ta<strong>za</strong>ma,<br />

zilitetemeka, na vilima vyote vilitikisika polepole. Nikaangalia, na ta<strong>za</strong>ma, hakuna mtu hata<br />

mmoja, na ndege zote <strong>za</strong> mbingu wamekimbia. Nikaangalia, na ta<strong>za</strong>ma, shamba lililo<strong>za</strong>a<br />

sana limekuwa jangwa, na miji yake yote ilikuwa imebomoka”. Yeremia 4:23-26.<br />

Hapa ndipo makao ya Shetani pamoja na malaika wake waovu kwa miaka 1000.<br />

Amefungiwa kwa dunia hii, hatakuwa na ruhusa ya kuingia kwa dunia zingine kwakujaribu<br />

na kusumbua wale ambao hawajaanguka kamwe. Kwa nia hii “amefungwa”. Hakuna<br />

anayebakia ambaye anawe<strong>za</strong> kutumia uwezo wake juu yake. Amekata kwa kazi ya<br />

mudanganyifu na uharibifu ambayo ilikuwa anasa yake ya pekee.<br />

Isaya alipokuwa akita<strong>za</strong>mia maangamizi ya Shetani, anapa<strong>za</strong> sauti: “Umeanguka toka<br />

mbinguni, namna gani, Ee, Lusifero, mwana wa asubui! Umekatwa hata kufika udongo,<br />

Wewe uliyeangusha mataifa! Nawe ulisema moyoni mwako: Nitapanda mbinguni,<br />

nitanyanyua kiti changu cha enzi juu kuliko nyota <strong>za</strong> Mungu: ... Nitafanana na Mkuu Sana.<br />

Kwani hivi utashushwa mpaka Hadeze, Kwa pande <strong>za</strong> mwisho <strong>za</strong> shimo. Wao wanaokuona<br />

watakuta<strong>za</strong>ma kwa kubanua sana; watakufikiria, wakisema: Huyu ndiye mtu aliyetetemesha<br />

dunia, aliyetikisa wafalme; aliyefanya dunia kama jangwa, na aliyeharibu miji yake; yule<br />

asiyefungua nyumba ya wafungwa wake? Isaya 14:12-17.<br />

Kwa mda wa miaka 6000, nyumba ya gere<strong>za</strong> ya Shetani imepokea watu wa Mungu,<br />

lakini Kristo amevunja vifungo vyake na kufungua wafungwa. Peke yake pamoja na<br />

malaika wake waovu anafahamu moyoni tokeo la <strong>za</strong>mbi: “Wafalme wote wa mataifa, wao<br />

wote wanalala katika utukufu, Kila mmoja ndani ya nyumba yake mwenyewe (kaburi);<br />

Lakini wewe umetupwa inje kutoka kaburi lako, Kama tawi linalochuki<strong>za</strong>... Hutaungwa<br />

pamoja nao katika maziko: Kwa sababu umeiharibu inchi yako, na kuua watu wako.” Isaya<br />

14:18-20. Kwa mda wa miaka 1000, Shetani ataona matokeo ya uasi wake juu ya sheria ya<br />

Mungu. Maumivu yake ni mingi sana. Sasa ameachwa kwa kufikiri sana sehemu aliyofanya<br />

tangu alipoasi na kuta<strong>za</strong>mia mbele kwa hofu kubwa kwa wakati ujao wa kutisha wakati<br />

atakapopashwa kuazibiwa.<br />

275

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!