21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

wa ndugu. Kama Paulo fundi wa kufanya hema, kila mmoja wao alijifun<strong>za</strong> kazi fulani<br />

ambayo kwayo, kama ni lazima, kingemusaidia kwa kujitegemea mwenyewe.<br />

Vijana walipata mafundisho yao kwa wachungaji wao. Biblia ilifanywa kuwa masomo<br />

ya mhimu. Injili <strong>za</strong> Matayo na Yoane ziliwekwa katika ukumbusho, pamoja na barua<br />

nyingine. Mara zingine katika mapango ya gi<strong>za</strong> udongoni, kwa nuru ya mienge (torches),<br />

Maandiko matakatifu yaliandikwa, mstari kwa mstari. Malaika kutoka mbinguni<br />

wakazunguuka watumishi hawa waaminifu.<br />

Shetani alilazimisha mapadri wa Papa na maaskofu kuzika Neno la <strong>Ukweli</strong> chini ya<br />

machafu ya makosa na ibada ya uchawi. Lakini kwa namna ya ajabu likalindwa bila<br />

kuchafuliwa wakati wa miaka yote ya gi<strong>za</strong>. Kama safina juu ya mawimbi mazito, Neno la<br />

Mungu linashinda zoruba zinazolitisha kuliharibu. Kama vile dini yamefikia bamba la jiwe<br />

lenye <strong>za</strong>habu na fe<strong>za</strong> iliyofichwa chini upande wa juu, ni vivyo hivyo Maandiko matakatifu<br />

yanakuwa na hazina ya ukweli iliyofunuliwa tu kwa wanyenyekevu, wanaopenda kuomba<br />

Mungu alichagua Biblia kuwa kitabu cha mafundisho ya wanadamu wote kuwa ufunuo<br />

wake mwenyewe. Kila ukweli uliotambuliwa ni uvumbuzi mupya wa tabia ya Mwandishi<br />

wake.<br />

Kutoka kwa vyuo vyao katika milima vijana wengine walitumwa kujifun<strong>za</strong> katika<br />

Ufaransa ao Italia, ambapo palikuwa na nafasi kubwa <strong>za</strong>idi kwa mafundisho na uchunguzi<br />

kuliko katika inchi yao ya milima mirefu. Vijana waliotumwa walijihatarisha kwa majaribu.<br />

Walipambana na wajumbe wa Shetani waliowalazimisha mambo ya kipinga ukweli wa dini<br />

na madanganyo ya hatari. Lakini elimu yao tokea utoto ikawatayarisha kwa jambo hili.<br />

Katika vyuo po pote walipokwenda hawakuweka tumaini lao kwa kitu cho chote.<br />

Mavazi yao yalitayarishwa kama kuficha hazina <strong>za</strong>o kubwa-Maandiko. Mara kwa mara<br />

walivyowe<strong>za</strong> waliweka kwa uangalifu sehemu <strong>za</strong> maandiko njiani mwa wale ambao mioyo<br />

yao ilionekana kufunguliwa kwa kupokea ukweli. Waiiotubu na kukubali imani ya kweli<br />

walipatikana katika vyuo hii vya elimu, mara kwa mara mafundisho ya imani ya kweli<br />

ikaenea kwa chuo chote kizima. Huku waongozi wa Papa hawakuwe<strong>za</strong> kupata mwanzo wa<br />

kile walichoitwa “Upin<strong>za</strong>ni wa mafundisho ya dini”.<br />

Vijana Walifundishwa Kuwa Wajumbe (wa injili)<br />

Wakristo Wavaudois walijisikia kuwa na madaraka makuu ya kutoa nuru yao iangaze.<br />

Kwa uwezo wa Neno la Mungu walitafuta kuvunja utumwa ambao Roma ililazimisha.<br />

Wahudumu wa Wavaudois walipaswa kutumika kwa miaka tatu katika shamba la misioni<br />

kabla ya kuongo<strong>za</strong> kanisa nyumbani--chanzo cha kufaa kwa maisha ya mchungaji katika<br />

nyakati ambazo roho <strong>za</strong> watu zinajaribiwa. Vijana waliona mbele yao, si utajiri wa kidunia<br />

na sifa, bali taabu na hatari na labda mateso ya wafia dini. Wajumbe walitembea wawili<br />

wawili, kama vile Yesu alivyowatuma wanafunzi wake.<br />

26

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!