21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

yote ya shamba imekauka kwa sababu furaha imekauka katika wana wa watu”. “Wanyama<br />

wanamlio wa huzuni makundi ya mifungo yanaf<strong>za</strong>ika, sababu nawana malisho.... Maji ya<br />

mito yamekauka, na moto umekula malisho ya jangwa”. Joel 1:11,12, 18-20.<br />

Mapigo haya si ya mahali pote, lakini yatakuwa mapigo ya kutisha <strong>za</strong>idi isiyofahamika<br />

kamwe. Hukumu zote zilizotangulia kufungwa kwa rehema zilikuwa zikichanganyika na<br />

rehema. Damu ya Kristo imelinda mwenye <strong>za</strong>mbi kwa kiasi kamili cha kosa lake; lakini<br />

kwa hukumu ya mwisho, hasira si ya kuchanganywa na rehema. Wengi watatamani ulinzi<br />

wa rehema ya Mungu ambayo walikuwa wakii<strong>za</strong>rau.<br />

Wakati wanapoteseka na kusumbuliwa, wakati wanapoteseka na njaa, watu wa Mungu<br />

hawataachwa kuangamizwa. Malaika watawatolea mahitaji yao. “Atapewa chakula chake;<br />

maji yake hayatakosekana”. “Mimi, Bwana, nitawasikia, mimi, Mungu wa Israeli,<br />

sitawaacha”. Isaya 33:16; 41:17.<br />

Lakini kwa maonyo ya kibinadamu itaonekana ya kwamba watu wa Mungu<br />

wangepashwa upesi kutia muhuri kwa ushuhuda wao kwa damu yao, kama walivyofanya<br />

wafia dini mbele yao. Ni wakati wa maumivu makuu ya kutisha. Waovu wameshangilia.<br />

“Imani yenu inakuwa wapi sasa? Sababu gani Mungu hawaokoi kwa mikono yetu kama<br />

munakuwa kweli watu wake”? Lakini wanaongojea wanakumbuka Kristo alipokufa juu ya<br />

msalaba wa Kalvari. Kama Yakobo, wote wanashindana na Mungu.<br />

Makundi ya Malaika Wanalinda<br />

Malaika wanatua kwa wale waliolinda neno la uvumilivu la Kristo. Wameshuhudia shida<br />

yao na wamesikia maombi yao. Wanangojea neno la Mkuu wao kuwanyakua kwa hatari<br />

yao. Lakini wanapashwa kungojea wakati mrefu kidogo. Watu wa Mungu wanapashwa<br />

kunywa kikombe na kubatizwa kwa ubatizo. Matayo 20:20-23. Lakini kwa ajili ya wateule<br />

wakati wa taabu utafupishwa. Mwisho utakuja upesi kuliko watu wanavyota<strong>za</strong>mia.<br />

Ingawa amri ya kawaida imeweka wakati washika amri wanapowe<strong>za</strong> kuuawa, adui <strong>za</strong>o<br />

kwa sababu zingine wataharakisha amri na kujaribu kuondoa maisha yao. Lakini hakuna<br />

mtu anayewe<strong>za</strong> kupita walinzi waliotua kuzunguka kila nafsi aminifu. Wengine<br />

walishambuliwa wakati wa kukimbia kwao kutoka mijini, lakini panga zilizoinuliwa juu yao<br />

zikavunjika kama majani makavu. Wengine wakalindwa na malaika katika hali ya watu wa<br />

vita.<br />

Katika vi<strong>za</strong>zi vyote viumbe vya mbinguni wamekamata sehemu ya juhudi katika mambo<br />

ya watu. Wamekubali kukaribisha na wanadamu, kutenda kama viongozi kwa wasafiri<br />

wajinga, wakafungua milango ya gere<strong>za</strong> na kuweka huru watumishi wa Bwana. Wakaja<br />

kusukuma jiwe kwa kaburi la Mwokozi.<br />

Malaika wanazuru mikutano ya waovu, kama walivyokwenda Sodomo, kuhakikisha<br />

kama wamepitisha mpaka wa uvumilivu wa Mungu. Bwana, kwa ajili ya wachache<br />

263

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!