21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Luther aliongozwa na Roho wa Mungu na kupelekwa mbali ya kujisikia binafsi. Huku<br />

kila mara alikuwa akitetemeka kwa matokeo ya kazi yake: “Kama ningelijua kwamba<br />

mafundisho yangu yaliumi<strong>za</strong> mtu mmoja, mtu mmoja tu, ingawa mnyenyekevu na<br />

mnyonge-lisipowe<strong>za</strong> kuwa, kwani linakuwa ni injili yenyewe--ningekufa mara kumi kuliko<br />

mimi kuikana.”<br />

Wittenberg yenyewe ilikuwa ikianguka chini ya mamlaka ya ushupavu wa dini isiyo ya<br />

akili na machafuko. Katika Ujeremani pote adui <strong>za</strong> Luther wakatwika mzigo huo juu yake.<br />

Katika uchungu wa roho akajiuli<strong>za</strong>, “Je, ni hapo basi kazi hii kubwa ya Matengenezo<br />

ilipaswa kumalizikia?” Tena, kama vile alikuwa akishindana na Mungu katika sala, amani<br />

ikaingia moyoni mwake. “Kazi si yangu, bali ni yako mwenyewe,” akasema. Lakini<br />

akakusudia kurudi Wittenberg.<br />

Alikuwa chini ya laana ya ufalme; Adui <strong>za</strong>ke walikuwa na uhuru wa kumuua, rafiki<br />

walikatazwa kumlinda. Lakini aliona kwamba kazi ya injili ilikuwa katika hatari, na katika<br />

jina la Bwana akatoka bila uwoga kupigana kwa ajili ya ukweli. Ndani ya barua kwa<br />

mchaguzi, Luther akasema: “Ninaenda Wittenberg chini ya ulinzi wa yule anayekuwa juu<br />

kuliko ule wa wafalme na wachaguzi. Sifikiri kuomba usaada wa fahari yako, wala kutaka<br />

ulinzi wako, ningependa kukulinda mimi mwenyewe. ... Hakuna upanga unaowe<strong>za</strong> kusaidia<br />

kazi hii. Mungu peke yake anapashwa kufanya kila kitu.” Katika barua ya pili, Luther<br />

akaonge<strong>za</strong>: “Niko tayari kukubali chuki ya fahari yako na hasira ya ulimwengu wote. Je,<br />

wakaaji wa Wittenberg si kondoo <strong>za</strong>ngu? Na hainipasi, kama ni lazima, kujitoa kwa mauti<br />

kwa ajili yao?”<br />

Uwezo wa Neno<br />

Makelele haikukawia kuenea katika Wittenberg kwamba Luther alirudi na alitaka<br />

kuhubiri. Kanisa likajaa. Kwa hekima kubwa na upole akafundisha na kuonya: “Misa ni kitu<br />

kibaya; Mungu huchukia kitu hiki; kinapaswa kuharibiwa. ... Lakini mtu asiachishwe<br />

kwacho kwa nguvu. ... Neno ... la Mungu linapasa kutenda, na si sisi. ...Tunakuwa na haki<br />

kusema: hatuna na haki kutenda. Hebu tuhubiri; yanayobaki ni ya Mungu. Nikitumia nguvu<br />

nitapata nini? Mungu hushika moyo na moyo ukikamatwa, umekamatika kabisa. ...<br />

“Nitahubiri, kuzungum<strong>za</strong>, na kuandika; lakini sitamshurutisha mtu, kwani imani ni tendo<br />

la mapenzi. ... Nilisimama kumpinga Papa, vyeti vya kuachiwa <strong>za</strong>mbi, na wakatoliki, lakini<br />

bila mapigano wala fujo. Ninaweka Neno la Mungu mbele; nilihubiri na kuandika--ni jambo<br />

hili tu nililolifanya. Na kwani wakati nilipokuwa nikilala, ... neno ambalo nililohubiri<br />

likaangusha mafundisho ya kanisa la Roma, ambaye hata mtawala ao mfalme<br />

hawakulifanyia mambo mengi mabaya. Na huku sikufanya lolote; neno pekee lilitenda<br />

vyote.” Neno la Mungu likavunja mvuto wa mwamusho wa ushupavu. Injili ilirudisha<br />

katika njia ya Kweli watu waliodanganywa.<br />

75

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!