21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

mkubwa <strong>za</strong>idi. Jerome, kwa kujinyenyekea kwa kweli, akapata thamani yake na<br />

kunyenyekea kwa mashauri yake. Chini ya kazi <strong>za</strong>o <strong>za</strong> muungano matengenezo yaka<strong>za</strong>mbaa<br />

kwa upesi.<br />

Mungu akaruhusu nuru kuanga<strong>za</strong> juu ya akili <strong>za</strong> watu hawa wateule, kuwafunulia<br />

makosa mengi ya Roma, lakini hawakupokea nuru yote ya kutolewa ulimwenguni. Mungu<br />

alikuwa akiongo<strong>za</strong> watu kutoka katika gi<strong>za</strong> ya Kanisa la Roma, na akazidi kuwaongo<strong>za</strong>,<br />

hatua kwa hatua, namna waliwe<strong>za</strong> kuichukua. Kama utukufu wote wa jua la azuhuri kwa<br />

wale waliodumu gi<strong>za</strong>ni mda mrefu, nuru kamili ingewaletea kurudi nyuma. Kwa hiyo<br />

aliifunua kidogo kidogo, jinsi ilivyowezekana kupokelewa na watu.<br />

Matengano katika kanisa likaendelea. Mapapa watatu sasa walikuwa wakishindania<br />

mamlaka. Ushindano wao ukaja<strong>za</strong> jamii ya mataifa ya Wakristo wote machafuko.<br />

Hakutoshelewa na kuvurumisha laana, kila mmoja ni kununua silaha na kupata waaskari.<br />

Kwa kweli fe<strong>za</strong> ziweko; kwa kupata hizi, <strong>za</strong>wadi, fazili, na mibaraka ya kanisa yalitolewa<br />

kwa ajili ya biashara. (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo)<br />

Pamoja na uhodari ulioongezeka Huss akapiga ngurumo juu ya machukizo yaliyo<br />

vumiliwa katika jina la dini. Watu wakashitaki Roma wazi wazi kuwa chanzo cha shida<br />

iliyoharibu miliki ya kikristo. Tena Prague ilionekana kukaribia ugomvi wa damu. Kama<br />

katika miaka ya <strong>za</strong>mani, mtumishi wa Mungu walishitakiwa kuwa “yeye mtaabishaji wa<br />

Israeli”. 1 Wafalme 18:17. Mji ukawekwa tena chini ya mkatazo, na Huss akarudishwa tena<br />

katika kijiji chake cha ku<strong>za</strong>liwa. Akasema kuanzia mahali pa kubwa sana pa wazi, kwa<br />

jamii ya Wakristo wote, kabla ya kukata roho yake kama mshuhuda kwa ajili ya ukweli.<br />

Bara<strong>za</strong> kubwa likaitwa kukutana kule Constance (Udachi wa kusini na magharibi),<br />

likaitwa kwa mapenzi ya mfalme Sigismund na mmoja wapo wa mapapa wapin<strong>za</strong>ni watatu,<br />

Yohana XXIII. Papa Yohana, ambaye tabia yake na maongozi yaliwe<strong>za</strong> kufanya uchunguzi<br />

mbaya, hakusubutu kupinga mapenzi ya Sigismund. (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo). Makusudi makuu<br />

yaliyopashwa kutimizwa yalikuwa kuponya msukosuko katika kanisa kungoa mafundisho<br />

ya imani yasiyopatana na yale yaliyotangazwa na kanisa kuwa kweli. Wapin<strong>za</strong>ni wawili<br />

hawa wa Papa wakaitwa kwenda mbele pamoja na John Huss. Wa kwan<strong>za</strong> walituma<br />

wajumbe wao. Papa John akaja na mashaka mengi, kuogopa kuhesabiwa kwa makosa<br />

ambayo yalileta haya kwa taji pia kwa ajili ya <strong>za</strong>mbi zilizo ilinda. Huku alifanya kuingia<br />

kwake katika mji wa Constance na baridi kubwa, lililofanyiwa na mapadri na maandamano<br />

ya wafuasi wa mfalme. Juu ya kichwa chake chandarua cha <strong>za</strong>habu, kuchukuliwa na<br />

waamuzi wane wakubwa. Mwenyeji (host) aliletwa mbele yake, na kupambwa kwa utajiri<br />

wa wakuu (cardinals) na watu wa cheo kikubwa vika urembo wakushanga<strong>za</strong>.<br />

Wakati ule ule msafiri mwengine alikuwa akikaribia Constance. Huss aliachana na rafiki<br />

<strong>za</strong>ke kama kwamba hawataonana tena, kufikiri vile safari yake ilikuwa ikimwongo<strong>za</strong> kwa<br />

kingingi (mti wa kufungia watu wa kuchomwa moto). Alipata hati (ruhusa ya kupita) kwa<br />

39

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!