21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 27. Mabadiliko ya Kweli<br />

Popote Neno la Mungu lilipohubiriwa kwa uaminifu, matokeo yaliyofuata ni ya<br />

kushuhudia asili yake ya kimungu. Wenye <strong>za</strong>mbi walijisikia <strong>za</strong>miri <strong>za</strong>o kuamka. Hakikisho<br />

la kosa likashikilia nia <strong>za</strong>o na mioyo yao. Walikuwa na utambuzi wa haki ya Mungu, na<br />

wakapa<strong>za</strong> sauti: “Nani atakayeniokoa na mwili huu wa kufa?” Waroma 7:24. Kama vile<br />

msalaba ulivyofunuliwa, waliona kwamba hakuna kitu kingine bali tabia nzuri tu <strong>za</strong> Kristo<br />

ziliwe<strong>za</strong> kupatanisha kwa ajili ya makosa yao. Kwa damu ya Yesu walikuwa na “ondoleo la<br />

<strong>za</strong>mbi zile zilizopita.” Waruma 3:25.<br />

Roho hizi zikaamini na zikabatizwa na wakasimama kwa kutembea katika upya wa<br />

uzima, kwa imani ya Mwana wa Mungu kwa kufuata hatua <strong>za</strong>ke, kuonyesha tabia yake, na<br />

kujitakasa wao wenyewe kama yeye ni mutakatifu. Vitu walivyokuwa wakichukia sasa<br />

wakavipenda, na vile walivyokuwa wakipenda wakavichukia. Mwenye kiburi akawa mpole,<br />

mtu asiyefaa na wa kujivuna akawa wa maana na mnyenyekevu. Mlevi akawa mwenye<br />

busara, mpotovu akawa mtakatifu. Wakristo hawakutafuta “kujipamba kwa kusuka nywele,<br />

na kuvaa vitu vya <strong>za</strong>habu, ao kuvaa mavazi; lakini ... katika mapambo yasiyoharibika, ndiyo<br />

roho ya upole na utulivu iliyo ya damani kubwa mbele ya Mungu.” 1 Petro 3:3,4.<br />

Maamsho yaliamshwa na miito ya upole kwa mwenye <strong>za</strong>mbi. Matunda yalionekana<br />

katika roho zilizojitenga si kwa kujikana mwenyewe bali wakafurahi kwamba walihesabiwa<br />

kustahili kuteswa kwa ajili ya Kristo. Watu wakaona badiliko katika wale waliotanga<strong>za</strong> jina<br />

la Yesu. Ni vile mambo yalivyokuwa katika miaka ya kwan<strong>za</strong> iliofuata nyakati <strong>za</strong> uamsho<br />

wa dini.<br />

Lakini maamsho mengi ya nyakati <strong>za</strong> kisasa yanaonyesha tofauti kubwa. Ni kweli<br />

kwamba wengi wanatanga<strong>za</strong> toba, na wengi wanaingia ndani ya makanisa. Hata hivyo<br />

matokeo si ya namna kama ya kushuhudia imani kwamba hapo kumekuwa na maendeleo ya<br />

kulingana ya maisha ya kiroho ya kweli. Nuru ambayo inawaka kwa muda ikafa kwa upesi.<br />

Maamsho ya watu wengi mara nyingi yanaamsha sikitiko, hupende<strong>za</strong> watu kwa kitu<br />

kinachokuwa kipya na cha kwan<strong>za</strong>. Kwa hivyo wale waliogeuka wanakuwa na haja kidogo<br />

kusikili<strong>za</strong> kweli ya Biblia. Isipokuwa hudumu ya kanisa inakuwa na kitu cha tabia ya ajabu,<br />

kama si vile, haina mvuto kwao.<br />

Kwa kila roho iliyogeuka kweli uhusiano kwa Mungu na kwa vitu vya milele utakuwa ni<br />

kitu kikubwa chakuzungumuziwa katika maisha. Ni pahali gani katika makanisa ya watu<br />

wengi ya leo kunapatikana roho ya kujitoa kwa Mungu? Waliogeuka hawaache kiburi na<br />

mapendo ya dunia. Hawakubali tena kuikana nafsi na kufuata Yesu mpole na mnyenyekevu<br />

kuliko mbele ya toba yao. Utawa karibu kutoka kwa wengi wa makanisa.<br />

Ijapo imani ilipunguka mahali pengi sana, kunakuwa wafuasi wa kweli wa Kristo katika<br />

makanisa haya. Kabla ya kufika kwa hukumu <strong>za</strong> Mungu <strong>za</strong> mwisho, kutakuwa katikati ya<br />

194

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!