21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 5. Nuru Inangaa Katika Uingere<strong>za</strong><br />

Mungu hakukubali Neno lake liharibiwe kabisa. Katika inchi mbalimbali <strong>za</strong> Ulaya watu<br />

waliosukumwa na Roho ya Mungu kwa kutafuta ukweli kama vile hazina zilizofichwa. Kwa<br />

bahati njema waliongozwa na Maandiko matakatifu, wakipendezwa kukubali nuru kwa bei<br />

yo yote itakayohitajiwa kwao wenyewe. Ingawa hawakuona vitu vyote wazi, walikuwa<br />

wakiwezeshwa kutambua mambo mengi ya ukweli yaliyozikwa ao fichwa tangu <strong>za</strong>mani.<br />

Wakati ulifika kwa Maandiko kupewa kwa watu katika lugha yao wenyewe. Dunia<br />

ilikwisha kupitisha usiku wake wa manane. Katika inchi nyingi kukaonekana dalili <strong>za</strong><br />

mapambazuko.<br />

Katika karne ya kumi na ine “nyota ya asubuhi ya Matengenezo (Reformation)” ikatokea<br />

katika Uingere<strong>za</strong>. John Wycliffe alijulikana huko college kuwa mtu wa utawa wa elimu<br />

sana. Alielemishwa na hekima ya elimu, kanuni <strong>za</strong> kanisa, na sheria ya serkali,<br />

alitayarishwa kuingia katika kazi ngumu kubwa kwa ajili ya raia na uhuru wa dini. Alipata<br />

malezi ya elimu ya vyuo, na akafahamu maarifa ya watu wa mashule. Cheo na ukamilifu wa<br />

ufahamu wake viliamuru heshima <strong>za</strong> rafiki na maadui. Adui <strong>za</strong>ke walizuiwa kutupa <strong>za</strong>rau<br />

juu ya chazo cha Matengenezo kwa kuonyesha ujinga ao u<strong>za</strong>ifu wa wale walioikubali.<br />

Wakati Wycliffe alipokuwa akingaliki huko college, akaingia majifunzo ya Maandiko<br />

matakatifu. Hata sasa Wicliffe alijifahamu kuwa mwenye hitaji kubwa, ambao hata<br />

mafundisho ya elimu yake wala mafundisho ya kanisa hayatawe<strong>za</strong> kumtoshelea. Katika<br />

Neno la Mungu aliona kile ambacho alikuwa anatafuta bila mafanikio. Hapa akamuona<br />

Kristo akitangazwa kama mteteaji pekee wa mtu. Akakusudia kutanga<strong>za</strong> ukweli<br />

aliyovumbua.<br />

Kwa mwanzo wa kazi yake, Wycliffe hakujitia mwenyewe katika upin<strong>za</strong>ni na Roma.<br />

Lakini kwa namna alivyotambua wazi <strong>za</strong>idi, makosa ya kanisa la Roma, akazidi kwa bidii<br />

kufundisha mafundisho ya Biblia. Aliona kwamba Roma iliacha Neno la Mungu kwa ajili<br />

ya desturi <strong>za</strong> asili <strong>za</strong> watu. Akashitaki bila oga upadri kwa kuwe<strong>za</strong> kuondoshea mbali<br />

Maandiko, na akataka kwa lazima kwamba Biblia irudishwe kwa watu na kwamba uwezo<br />

yake uwekwe tena ndani ya kanisa. Alikuwa mhubiri hodari na mwenye maneno ya<br />

kuamsha moyo, na maisha yake ya kila siku yalionyesha ukweli aliyohubiri. Ufahamu wake<br />

wa Maandiko, usafi wa maisha yake, na bidii yake na ukamilifu aliouhubiri yakampa<br />

heshima kwa wote. Wengi wakaona uovu katika Kanisa la Roma. Wakapokea kwa shangwe<br />

isiyofichwa kweli ambazo zililetwa waziwazi na Wycliffe. Lakini waongozi wa kiPapa<br />

wakajazwa na hasira: Mtengene<strong>za</strong>ji huyu alikuwa akipata mvuto mkubwa kuliko wao.<br />

Mvumbuzi Hodari wa Kosa<br />

Wycliffe alikuwa mvumbuzi hodari wa kosa na akapambana bila woga juu ya matumizi<br />

mabaya yaliyoruhusiwa na Roma. Alipokuwa padri wa mfalme, akawa shujaa kwa kukataa<br />

30

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!