21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 30. Uadui wa Shetani<br />

“Na nitatia uadui katikati yako na mwanamuke, na katikati ya u<strong>za</strong>o wako na u<strong>za</strong>o wake;<br />

ataponda kichwa chako, na wewe utaponda kisingino chake.” Mwanzo 3:15. Uadui huu si<br />

wa tangu awali. Wakati mtu alipovunja sheria ya Mungu, hali yake ikawa mbaya, katika<br />

umoja na Shetani. Malaika walioanguka na watu wabaya wakajiunga katika urafiki wa<br />

kutokuwa na matumaini. Kama Mungu hakujitia kati, Shetani na mtu wangaliingia katika<br />

mapatano kumpinga Mungu wa mbinguni, na jamaa lote la binadamu lingalijiunga katika<br />

upin<strong>za</strong>nii kwa Mungu.<br />

Wakati Shetani aliposikia kwamba uadui ulipashwa kuwa kati yake na mwanamuke, na<br />

kati ya u<strong>za</strong>o wake na u<strong>za</strong>o wa mwanamuke, alijua kwamba kwa sababu yo yote mtu<br />

alipashwa kuwa mtu asiyewe<strong>za</strong> kupinga uwezo wake.<br />

Kristo alitia uadui ndani ya mtu kumpinga Shetani. Pasipo neema hii ya kugeuka na<br />

nguvu inayomfanya mpya, mtu angaliendelea kuwa mtumishi tayari daima kufanya mapenzi<br />

ya Shetani. Lakini kanuni mpya katika nafsi inaleta vita; uwezo ambao Kristo anatoa<br />

unawezesha mtu kushindana na mkorofi mkuu. Kuchukia sana <strong>za</strong>mbi badala ya kuipenda<br />

kunaonyesha kanuni kabisa kutoka juu.<br />

Uadui kati ya Kristo na Shetani ulionekana wazi namna dunia ilivyompokea Yesu. Usafi<br />

na utakatifu wa Kristo uliamsha juu yake uchuki wa wasiomuogopa Mungu. Kujikana<br />

kwake kulikuwa laumu la duhakikisho kwa wenye kiburi na wapenda anasa ya mwili.<br />

Shetani na malaika wabaya wakaungana na watu wabaya kupinga ya Mshindi wa kweli.<br />

Uadui wa namna moja unaonyeshwa kwa wafuasi wa Kristo. Ye yote anayesimama imara<br />

kwa jaribu ataamsha hasira ya Shetani. Kristo na Shetani hawawezi kupatana. Na wote<br />

wanaotaka kuishi maisha ya utawa katika Kristo Yesu watapata mateso.” 2 Timoteo 3:12.<br />

Wajumbe wa Shetani wanatafuta kudanganya wafuasi wa Kristo na kuwavuta kwa utii<br />

wao. Wanapotosha Maandiko kwa kutirni<strong>za</strong> kusudi lao. Roho iliyotia Kristo kwa mauti<br />

inaamsha waovu kuharibu wafuasi wake. Yote hii inaonyeshwa mbele katika ule unabii wa<br />

kwan<strong>za</strong>: “Na nitatia uadui katikati yako na mwanamuke, na katikati ya u<strong>za</strong>o wako na u<strong>za</strong>o<br />

wake.”<br />

Sababu gani Shetani hakutani na ushindani mkubwa? Kwa sababu askari <strong>za</strong> Kristo<br />

wanakuwa na uhusiano mdogo sana pamoja na Kristo. Zambi haiwachukizi kama<br />

ilivyomchuki<strong>za</strong> Bwana wao. Hawajitoi kwa kupigana nayo. Tabia ya mkuu wa gi<strong>za</strong><br />

imewafanya vipofu. Wengi hawajui kwamba adui wao ni mkubwa mwenye nguvu <strong>za</strong><br />

kupigana kumpinga Kristo. Hata wahuduma wa habari njema hawaoni ushaihidi wa kazi<br />

yake. Wanaonekana kutojali kuwako kwa hakika kwake.<br />

Adui Mwangalifu<br />

212

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!