21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

“Naye alikuwa na pembe mbili, mfano wa Mwana-Kondoo.” Pembe mfano wa mwanakondoo<br />

inaonyesha ujana, hali ya kuwa bila kosa, upole. Miongoni mwa Wakristo wa<br />

kwan<strong>za</strong> waliokimbilia Amerika kwa ajili ya magandamizo ya kifalme na kutovumilia kwa<br />

mapadri kulikuwa wengi waliokusudia kuanzisha uhuru wa kiulimwengu na wa dini.<br />

Tangazo la uhuru linainua kweli kwamba “watu wote wameumbwa sawasawa” na<br />

wanatolewa na haki ya daima kwa “maisha, uhuru, na kutafuta furaha.”<br />

Sheria inatoa haki kwa watu ya kujitawala, kuhakikisha kwamba wajumbe<br />

waliochaguliwa kwa uchaguzi wa kupendwa na watu wote watafanya na kuamuru sheria.<br />

Uhuru wa imani ya dini ulitolewa pia. Utawala wa uchaguzi (Republicanism) ya Dini la<br />

Kiprotestanti yakawa kanuni <strong>za</strong> msingi <strong>za</strong> taifa, siri ya uwezo wake na usitawi. Mamilioni<br />

wakatafuta pwani <strong>za</strong>ke, na Amerika ikapanda kwa pahali miongoni mwa mataifa yenye<br />

uwezo mwingi <strong>za</strong>idi duniani.<br />

Lakini nyama aliyekuwa na pembe mbili, mfano wa mwanakondoo “akasema kama<br />

joka. Naye atumia uwezo wote wa mnyama yule wa kwan<strong>za</strong> mbele yake, na kufanya dunia<br />

nao wanaokaa ndani yake waabudu mnyama wa kwan<strong>za</strong>, ambaye kidonda chake cha mauti<br />

kilipona; ... akiwaambia wale wanaokaa juu ya dunia, kumfanyia sanamu yule mnyama,<br />

aliyekuwa na kidonda cha upanga, naye aliishi.” Ufunuo 13:11-14.<br />

Pembe mfano wa mwana-kondoo na sauti ya joka inaonyesha kwa mabishano. Utabiri<br />

kwamba itasema “kama joka” na kutumia “maneno kwa uwezo wote wa nyama yule wa<br />

kwan<strong>za</strong>” unatabiri roho ya kutokuwa na uvumilivu na ya kutesa. Na maneno kwamba<br />

mnyama aliyekuwa na pembe mbili “naye dunia alifanya” na wale wanaokaa ndani yake<br />

waabudu mnyama wa kwan<strong>za</strong>” inaonyesha kwamba mamlaka ya taifa hili ni kutumia nguvu<br />

kwa kushika maagizo fulani ambayo itakuwa tendo la heshima kwa utawala wa kipapa.<br />

Tendo la namna hiyo lingekuwa kinyume kwa asili ya sheria <strong>za</strong>ke <strong>za</strong> uhuru, kwa taratibu<br />

ya maneno ya kukiri Tangazo la Uhuru, na kwa sheria. Sheria inaweka tayari kwamba<br />

“Bara<strong>za</strong> kuu haitaweka sheria kupendelea makao ya dini, wala kukata<strong>za</strong> uhuru wa matumizi<br />

hiyo,” na kwamba “hakuna jaribio la dini litakalodaiwa kamwe kama sifa kwa kazi yo yote<br />

ya tumaini la watu wote chini ya mataifa ya muungano (United States). Kuvunja wazi kwa<br />

kinga hizi (mambo yanayofanya salama) <strong>za</strong> uhuru kunaonyeshwa katika mfano huu.<br />

Mnyama aliyekuwa na pembe mbili mfano wa mwana-kondooanayejitanga<strong>za</strong> kuwa safi,<br />

mtulivu-asiyeumi<strong>za</strong>-anasema kama joka.<br />

“Akiwaambia wale wanaokaa juu ya dunia, kumfanyia sanamu yule nyama.” Hapa<br />

panaonyeshwa namna ya serkali ambapo mamlaka ya kufanya sheria inadumu kwa watu,<br />

ushuhuda wa kushanga<strong>za</strong> <strong>za</strong>idi kwamba Amerika ni taifa lenye maana fulani.<br />

Lakini “sanamu kwa mnyama” ni nini? Namna gani inafanywa?<br />

Wakati kanisa la <strong>za</strong>mani lilipochafuka, likatafuta msaada wa uwezo wa kidunia.<br />

Matokeo: Kanisa la Roma (Papa), kanisa lililotawala serkali, hasa <strong>za</strong>idi sana kwa ajili ya<br />

185

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!