21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Miller akaendelea na uchunguzi wa mambo ya unabii, wakati wa usiku wote pamoja na<br />

wakati wa mchana zikatolewa kwa majifunzo ambayo sasa yalionekana kuwa ya maana<br />

kubwa. Katika sura yanane ya Danieli hakuwe<strong>za</strong> kupata dalili kwa mahali halisi pa kuanzia<br />

siku 2300; malaika Gabrieli, ingawa aliagizwa kwa kufahamisha Danieli njozi, akamupa tu<br />

sehemu ya maelezo. Kwa sababu mateso ya kutisha ilifaa kuanguka juu ya kanisa ilikuwa<br />

haikufunuliwa kwa njozi ya nabii, hakuwe<strong>za</strong> kuvumilia tena. Danieli “akazimia, na<br />

kugonjwa siku chache.” “Nikashangaa kwa maono,” akasema, “lakini hakuna<br />

aliyeyafahamu.” Danieli 8:27.<br />

Lakini Mungu akaagi<strong>za</strong> mjumbe wake, “Fahamisha mtu huyu maono.” Kwa kutii,<br />

malaika akarudi kwa Danieli, kusema: “Nimekuja sasa ili nikupe akili upate kufahamu ...<br />

kwa sababu hii elewa maneno haya na kufahamu maono.” Jambo moja la maana katika sura<br />

ya 8 liliachwa bila kufasiriwa, yaani, siku 2300; kwa hiyo malaika, kwa kuendelea na<br />

maelezo yake, akaele<strong>za</strong> sana juu ya wakati:<br />

“Mda wa majuma makumi saba umeamriwa juu ya watu wako na juu ya mji wako<br />

mtakatifu... Ujue basi na kufahamu ya kuwa tangu kuwekwa amri ya kutengene<strong>za</strong> na<br />

kujenga Yerusalema hata mupakaliwa, masiya mkubwa, yatakuwa majuma saba na majuma<br />

makumi sita na mawili; njia kuu itajengwa tena, na ukuta, hata katika nyakati <strong>za</strong> taabu. Na<br />

nyuma ya majuma makumi sita na majuma mawili massiah atakataliwa mbali, lakini ni<br />

kwake mwenyewe: ... Naye atafanya agano la nguvu pamoja na wengi kwa juma moja: na<br />

kwa nusu ya juma atakomesha kafara na toleo.” Danieli 8:16; 9:22,23, 24-27.<br />

Malaika alitumwa kwa Danieli kwa kuele<strong>za</strong> jambo aliloshindwa kufahamu “Hata<br />

mangaribi na asubui ya siku elfu mbili mia tatu; ndipo Pahali patakatifu patasafishwa.”<br />

Maneno ya kwan<strong>za</strong> ya malaika ni haya, “Mda wa majuma makumi saba umeamriwa juu ya<br />

watu wako na juu ya mji wako.” Neno umeamriwa kwa halisi maana yake “atakatiliwa<br />

mbali.” Majuma makumi saba, miaka 490, ilipaswa kukatiliwa mbali kuwekwa kando kwa<br />

ajili ya Wayahudi.<br />

Mda wa <strong>Nyakati</strong> Mbili Zilian<strong>za</strong> Pamoja<br />

Lakini kukatiliwa mbali kwa nini? Hivi siku 2300 zilikuwa ni mda tu wa wakati<br />

uliotajwa katika sura 8, majuma makumi saba yanapaswa basi kuwa sehemu ya siku 2300.<br />

<strong>Nyakati</strong> mbili hizo zinapaswa kuan<strong>za</strong> pamoja, majuma makumi saba tangu “kuwekwa amri”<br />

ya kutengene<strong>za</strong> na kujenga Yerusalema. Kama tarehe ya amri hii ingewe<strong>za</strong> kupatikana,<br />

ndiyo ingekuwa mwanzo wa uhakika wa siku 2300.<br />

Katika sura ya saba ya Ezra amri inapatikana, ilitolewa na Artasasta, mfalme wa Persia,<br />

katika mwaka 457 B.C. Wafalme watatu katika kuanzisha na kutimi<strong>za</strong> amri, wakaifanya<br />

kwa utimilivu uliotakiwa na unabii kwa kutia alama ya mwanzo wa mwaka 2300. Kukamata<br />

miaka 457 B.C., wakati amri ilipotimia, kama tarehe ya “amri”, kila hatuwa ya majuma<br />

makumi saba ikaonekana katika kutimilika. (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo.)<br />

135

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!