21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

wa Mungu” wakaheshimiwa <strong>za</strong>idi kuliko mbele. Katika mwaka 1804 Chama cha Biblia cha<br />

Uingere<strong>za</strong> na inchi <strong>za</strong> kigeni kikatengenezwa, kikafuatwa na matengenezo ya namna hii juu<br />

ya bara la Ulaya. Katika mwaka 1816 chama cha Biblia cha Waamarica kikaimarishwa.<br />

Biblia ikatafsiriwa tangu hapo katika mamia mengi ya lugha na matamko. (Ta<strong>za</strong>ma<br />

Nyongezo).<br />

Mbele ya mwaka 1792, uangalifu kidogo ukatolewa kwa watu waliopasha kwenda<br />

kufundisha na inchi <strong>za</strong> kigeni. Lakini karibu ya mwisho wa karne ya kumi na mnane<br />

mabadiliko kubwa yakafanyika. Watu wakawa hawatoshelewi na kufuata akili <strong>za</strong> binadamu<br />

na wakapatwa na lazima ya ufunuo wa mambo ya kimungu na dini ya hakika. Tokea wakati<br />

huu kazi <strong>za</strong> ujumbe wa kigeni zikapata maendeleo kuliko mbele. (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo.)<br />

Maendeleo katika ufundi wa uchapishaji ulisaidia sana kwa maenezi ya Biblia. Kupotea<br />

kwa upendeleo usio na haki wa <strong>za</strong>mani na ubaguzi wa taifa na mwisho wa uwezo wa<br />

ulimwengu, askofu wa Roma kukafungua njia kwa mwingilio wa Neno la Mungu. Sasa<br />

Biblia ikachukuliwa kwa kila sehemu ya dunia.<br />

Kafiri Voltaire akasema: “Nachoka kusikia kukariri kwamba watu kumi na mbili<br />

walianzisha dini ya kikristo.” Nitawaonyesha kwamba mtu mmoja anatosha kwa<br />

kuiangami<strong>za</strong>” (N.B Missine,sentence). Mamilioni ya watu wakajiunga katika vita juu ya<br />

Biblia. Lakini ni mbali kwa kuiangami<strong>za</strong>. Mahali palikuwa mia kwa wakati wa Voltaire,<br />

sasa panakuwa vitabu ama nakala mamia ya maelfu ya Kitabu cha Mungu. Katika maneno<br />

ya Mtengene<strong>za</strong>ji wa mwanzo, “Biblia ni chuma cha mfinyanzi iliyomali<strong>za</strong> nyundo nyingi.”<br />

Chochote kitu kilichojengwa juu ya mamlaka ya mtu kitaangushwa; lakini kile ambacho<br />

kilijengwa juu ya mwamba wa Neno la Mungu, kitasimama milele<br />

116

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!