21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

nayo aliaahidi kumlinda. Akashikilia ukweli kwa nguvu na kutoa ushuhuda wa kutokubali<br />

maovu ya waongozi wa dini. Akashurutishwa kuchagua au kukana mafundisho yake ao<br />

kuuwawa, akakubali kifo cha wafia dini.<br />

Neema ya Mungu ikamsaidia. Mda wa juma ya kuteseka kabla ya hukumu ya mwisho,<br />

amani ya mbinguni ikajaa rohoni mwake. “Ninaandika barua hii”, akasema kwa rafiki,<br />

“katika gere<strong>za</strong> langu, na mkono wangu katika minyororo, kuta<strong>za</strong>mia hukumu yangu ya kifo<br />

kesho. ... Wakati, kwa msaada wa Yesu Kristo, tutakutana tena katika amani ya kupende<strong>za</strong><br />

sana ya maisha yajayo, mtajifun<strong>za</strong> namna gani Mungu wa rehema amejionyesha mwenyewe<br />

mbele yangu, namna gani ya kufaa amenisaidia katikati ya majaribu na mashindano yangu.”<br />

Ushindi Ulioonekana Mbele<br />

Katika gere<strong>za</strong> hii ya chini ya ngome aliona ushindi wa imani ya kweli. Katika ndoto <strong>za</strong>ke<br />

aliona Papa na maaskofu wakifuta picha <strong>za</strong> Kristo alizofananisha kwa ukuta <strong>za</strong> kanisa<br />

ndogo huko Prague. “Njozi hii ilimsumbua: lakini kesho yake akaona wapaka rangi wengi<br />

walikuwa wakitumika katika kurudisha picha hizi katika hesabu kubwa na rangi zenye<br />

kung’aa. ... Wapaga rangi, ... wakazungukwa na makutano mengi, wakasema kwa nguvu,<br />

Sasa Papa na maaskofu waje; hawatayafuta tena kamwe!” Akasema Mtengene<strong>za</strong>ji, “Sura ya<br />

Kristo haitafutwa kamwe. Walitamani kuuharibu, lakini utapakaliwa tena, upya katika<br />

mioyo yote na wahubiri bora kuliko mimi mwenyewe.”<br />

Kwa wakati wa mwisho, Huss akapelekwa mbele ya bara<strong>za</strong>, mkutano mkubwa na<br />

kungaa--mfalme, watoto wa kifalme, makamu (deputes) ya kifalme, wakuu (cardinals)<br />

maaskofu-mapadri, na makundi makubwa.<br />

Alipoitwa juu ya hukumu yake ya mwisho, Huss akatanga<strong>za</strong> makatao yake kuwa hata<br />

kana. Kwa kukazia macho mfalme ambaye kwa haya neno lake la ahadi halikutimizwa<br />

kamwe, akatanga<strong>za</strong>: “Nilikusudia, kwa mapenzi yangu, nionekane mbele ya bara<strong>za</strong> hili,<br />

chini ya ulinzi wa watu wote na imani ya mfalme anayekuwa hapa.” Sigismuna akageuka<br />

uso kwa haya, namna macho ya wote yaligeuka kumwangalia.<br />

Hukumu ilipokwisha kutangazwa, sherehe ya haya ikaan<strong>za</strong>. Tena akaombwa kukana.<br />

Huss akajibu, kwa kugeukia watu: “kwa uso gani, basi, napaswa kuangalia mbinguni?<br />

Namna gani nawe<strong>za</strong> kuangalia makutano haya ya watu ambao nimewahubiri injili kamilifu?<br />

Sivyo; ninaheshimu wokovu wao <strong>za</strong>idi kuliko mwili huu <strong>za</strong>ifu, ambayo sasa unaamriwa<br />

kufa.” Mavazi ya ukasisi yakavuliwa moja kwa moja, kila askofu kutamka laana wakati<br />

alipokuwa akitimili<strong>za</strong> sehemu yake ya sherehe. Mwishowe, “wakaweka juu ya kichwa<br />

chake kofia ao kofia ya kiaskofu ya umbo la jengo la mawe ya kartasi, ambapo sanamu <strong>za</strong><br />

kuogofya <strong>za</strong> pepo mbaya zilipakwa rangi, na neno “Mzushi mkuu” yenye kuonekana kwa<br />

mbali mbele. “Furaha kubwa kuliko,” akasema Huss, “nitavaa taji la haya kwa ajili ya jina<br />

lako, o Yesu. Kwa ajili yangu ulivaa taji la miiba.”<br />

41

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!