21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sheria <strong>za</strong> kifalme, bara<strong>za</strong> <strong>za</strong> kawaida na maagizo ya kanisa zilizokubaliwa na mamlaka<br />

ya kidunia zilikuwa ni hatua ambazo siku kuu <strong>za</strong> kishenzi zilifikia cheo cha heshima katika<br />

dunia la Wakristo. Mpango wa kwan<strong>za</strong> wa kulazimisha watu wote kushika Siku ya kwan<strong>za</strong><br />

ya juma ilikuwa sheria iliyotolewa na Constantine. Ingawa ilikuwa kweli sheria ya kipagani,<br />

ilikazwa na mfalme akiisha kukubali dini ya Kikristo.<br />

Eusebius, kama askofu aliyetafuta upendeleo wa watawala, na aliyekuwa rafiki wa<br />

kipekee wa Constantine, akaendesha matangazo ya kwamba Kristo alihamisha Sabato na<br />

kuiweka kwa siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche). Hakuna ushuhuda wa Maandiko uliotolewa kuwa<br />

uhakikisho. Eusebius yeye mwenyewe, bila kuwa na hakikisho akatanga<strong>za</strong> uwongo wake.<br />

“Vitu vyote,” anasema, “Kila kitu kilichokuwa kazi ya kufanya kwa Sabato, hivi<br />

tumevihamisha kwa siku ya Bwana”. 2<br />

Kwa namna Kanisa la Roma lilipoimarishwa, kutukuzwa kwa Siku ya Kwan<strong>za</strong><br />

kukaendelea. Kwa wakati mfupi siku ya saba iliendelea kushikwa kama Sabato, lakini<br />

baadaye badiliko likafanyika. Baadaye Papa akatoa maagizo ya kwamba padri wa wilaya<br />

alipaswa kukaripia wanaoharibu siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche) wasilete msiba mkubwa juu<br />

yao wenyewe na kwa jirani.<br />

Amri <strong>za</strong> bara<strong>za</strong> zilizo hakikisha upungufu, wakubwa wa serkali wakaombwa sana kutoa<br />

amri ambayo ingeogopesha mioyo ya watu na kuwalazimisha kuacha kazi kwa siku ya<br />

kwan<strong>za</strong> (dimanche). Kwa mkutano wa wakubwa wa kanisa uliofanywa Roma, mipango yote<br />

ya mbele ikahakikishwa tena na kuingizwa katika sheria ya kanisa na kukazwa na wakubwa<br />

wa serikali1]<br />

Lakini ukosefu wa mamlaka ya maandiko kwa ajili ya kushika siku ya kwan<strong>za</strong><br />

(dimanche) ukaleta mashaka. Watu wakauli<strong>za</strong> haki ya waalimu wao kwa ajili ya kutia<br />

pembeni tangazo hili, “Siku ya saba ni Sabato kwa Bwana Mungu wako,” ili kuheshimu<br />

siku ya jua. Kwa kusaidia ukosefu wa ushuhuda wa Biblia, mashauri mengine yalikuwa ya<br />

lazima.<br />

Musimamizi wa nguvu wa siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche), ambaye karibu mwisho wa karne<br />

ya kumi na mbili alizuru makanisa ya Uingere<strong>za</strong>, akapingwa na washuhuda waaminifu kwa<br />

ajili ya kweli; na kwa hivi nguvu yake ilikuwa ya bure hata akatoka kwa inchi wakati moja.<br />

Wakati aliporudi, akaleta mkunjo waonyesho ambayo alidai kutoka kwa Mungu mwenyewe,<br />

iliyokuwa na agizo la kulazimisha watu kushika siku ya kwan<strong>za</strong> (dimanche), pamoja na<br />

matisho ya ajabu kuogopesha wasiotii. Maandiko haya ya damani yalisemwa wala kutajwa<br />

kuwa ya kuanguka kutoka mbinguni na kupatikana pale Yerusalema juu ya ma<strong>za</strong>bahu ya<br />

Simeona Mtakatifu, katika Golgotha. Lakini, kwa kweli yaliandikwa katika jumba kubwa la<br />

askofu kule Roma. Madanganyo na maandiko ya uwongo yalikuwa katika miaka yote<br />

yakihesabiwa ya kweli kwa watawala wa kanisa la Roma. (Ta<strong>za</strong>ma kwa Mwisho wa Kitabu<br />

(Nyongezo), hati kwa ukarasa 37.)<br />

239

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!