21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

uwanja wa inje. Kule, katika baridi kali ya wakati wa majira ya baridi, na kichwa wazi na<br />

vikanyagio, alingoja ruhusa ya Papa kuja mbele yake. Ni baada ya siku tatu <strong>za</strong> kufunga na<br />

kuungama, ndipo askofu akamtolea rehema. Na hivyo ni katika hali ya kwamba mfalme<br />

alipaswa kungoja ruhusa ya Papa kwa kupata tena alama <strong>za</strong> cheo ao kutumia uwezo wa<br />

kifalme. Gregoire, alipofurahia ushindi wake, akatanga<strong>za</strong> ya kwamba kazi yake ilikuwa ni<br />

kuangusha kiburi cha wafalme.<br />

Ni ajabu ya namna gani tofauti kati ya askofu mwenye kiburi na upole na utulivu wa<br />

Kristo anayejionyesha mwenyewe kama mwenye kuomba ruhusa kwa mlango wa moyo.<br />

Alifundisha wanafunzi wake: “Naye anayetaka kuwa wa kwan<strong>za</strong> katikati yenu atakuwa<br />

mtumwa wenu” Matayo 20:27.<br />

Namna Mafundisho ya Uongo Yaliingia<br />

Hata mbele ya kuanzishwa kwa cheo cha Papa mafundisho ya watu wapagani wenye<br />

maarifa wakapata usikizi na kutumia muvuto wao katika kanisa. Wengi waliendelea<br />

kujifungia kwa mafundisho ya maarifa zote ya kipagani na wakalazimisha wengine<br />

kujifun<strong>za</strong> elimu ile kama njia ya kuene<strong>za</strong> mvuto wao katikati ya wapagani. Ndipo makosa<br />

makubwa yakaingizwa katika imani ya Kikristo.<br />

Mojawapo miongoni mwa makosa haya makubwa ya wazi ni imani ya kutokufa kwa<br />

roho ya mtu na ufahamu wa nafsi katika mauti. Mafundisho haya yaliweka msingi ambao<br />

Roma ikaanzisha sala kwa watakatifu na ibada ya Bikira Maria. Kutokana na hiyo, uzushi<br />

juu ya mateso ya milele kwa ajili ya mtu asiyetubu, ambayo yaliingizwa mwanzoni katika<br />

imani ya Papa.<br />

Ndipo njia ikatengenezwa kwa kuingi<strong>za</strong> uvumbuzi mwingine wa kipagani, ambao Roma<br />

iliita “toharani”, na iliotumiwa kwa kuogopesha makundi ya wajinga na ya kuamini mambo<br />

ya uchawi. Usishi huu uliamini kuwako kwa pahali pa mateso ambapo roho zisizostahili<br />

hukumu ya milele, zinapaswa kuteseka juu ya malipizi ya <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o, na kutoka pale,<br />

zikiisha takaswa, zinakubaliwa mbinguni (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo).<br />

Uvumbuzi mwingine ukahitajiwa, kuwezesha Roma kupata faida kwa njia ya woga na<br />

makosa ya wafuasi wake. Huu ulitolewa na mafundishojuu ya ununuzi wa huruma<br />

(indulgences). Ondoleo nzima la <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong> sasa, zilizopita na <strong>za</strong> wakati ujao liliahidiwa kwa<br />

wale waliojitoa kwa vita vilivyofanywa na Papa kwa ajili ya kupanua mamlaka yake, kwa<br />

kulipi<strong>za</strong> adui <strong>za</strong>ke ao kuangami<strong>za</strong> wale waliosubutu kukataa mamlaka yake ya kiroho. Kwa<br />

njia ya kulipa mali katika kanisa wanawe<strong>za</strong> kujiokoa katika <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o, na pia kuokoa roho<br />

<strong>za</strong> rafiki <strong>za</strong>o zinazoteseka katika miako ya moto. Kwa njia hiyo Roma ikaja<strong>za</strong> masanduku<br />

makubwa yake na kusaidia fahari yake, anasa na uovu wa kujidai kuwa wajumbe wa Yule<br />

asiyekuwa na pahali pa kuweka kichwa chake (Ta<strong>za</strong>ma Nyongezo).<br />

Me<strong>za</strong> ya Bwana likapigwa na kafara ya ibada ya sanamu ya misa. Mapadri wa Papa<br />

wakajidai kufanya mkate na divai vya Me<strong>za</strong> ya Bwana kuwa mwili wa kweli na damu ya<br />

21

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!