21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 39. Wakati wa Taabu<br />

“Kwa wakati ule Mikaeli atasimama, Mfalme Mkubwa anayesimama kwa ajili ya wana<br />

wa watu wako; na kutakuwa wakati wa taabu, kama usivyokuwa mbele tangu wakati taifa<br />

lilipokuwa hata wakati ule: na kwa wakati ule watu wako wataponyeshwa, kila mtu<br />

atakayeonekana ameandikwa katika kitabu.” Danieli 12:1.<br />

Wakati ujumbe wa malaika wa tatu unamalizika, watu wa Mungu watakuwa wametimi<strong>za</strong><br />

kazi yao. Wamepokea, “mvua ya mwisho” na wanajitayarisha kwa saa ya kujaribiwa<br />

inayokuwa mbele yao. Jaribu la mwisho limekwisha kuletwa duniani, na wote<br />

waliohakikishwa kuwa watiifu (waaminifu) kwa amri <strong>za</strong> Mungu wamepokea “muhuri wa<br />

Mungu aliye hai.” Ndipo Yesu anapomali<strong>za</strong> uombezi wake katika Pahali patakatifu kule juu<br />

na kusema kwa sauti kuu, “Imefanyika”.<br />

“Yeye aliye mu<strong>za</strong>limu azidi kuwa mu<strong>za</strong>limu; na mwenye uchafu azidi kuwa mchafu; na<br />

mwenye haki azidi kufanya haki; na mtakaifu azidi kutakaswa”: Ufunuo 22:11. Kristo<br />

amefanya upatanisho kwa ajili ya watu wake na amefutia mbali <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o. “Na ufalme na<br />

mamlaka, na ukubwa wa falme chini ya mbingu” (Danieli 7:27) ni karibu kutolewa kwa<br />

wariti wa wokovu, na Yesu kutawala kama Mfalme wa wafalme na Bwana wa mabwana.<br />

Wakati anapoacha Pahali patakatifu, gi<strong>za</strong> inafunika wakaaji wa dunia. Wenye haki<br />

wanapaswa kuishi machoni pa Mungu Mtakatifu pasipo mwombezi. Kizuio juu ya waovu<br />

kimeondolewa, na Shetani anakuwa na mamlaka kamili juu ya wasiotubu. Kwa mwisho<br />

Roho ya Mungu imeondolewa. Ndipo Shetani anatumbuki<strong>za</strong> wakaaji wa dunia katika taabu<br />

kubwa ya mwisho. Malaika wa Mungu wanaacha kushika kwa kuzuia pepo kali ya tamaa ya<br />

wanadamu. Ulimwengu wote utahusika katika maangamizo ya kuogopesha <strong>za</strong>idi kuliko yale<br />

ambayo yalifika juu ya Yerusalema ya <strong>za</strong>mani. Hapo kunakuwa majeshi sasa tayari,<br />

zinangoja tu ruhusa ya Mungu, kuene<strong>za</strong> ukiwa po pote.<br />

Wale wanaoheshimu sheria ya Mungu wata<strong>za</strong>niwa kuwa sababu ya mateso ya<br />

kuogopesha na umwangaji wa damu ambavyo vinaja<strong>za</strong> dunia kwa taabu. Uwezo uliofatana<br />

na onyo la mwisho umekasirisha waovu, na Shetani atachochea roho ya uchuki na mateso<br />

juu ya wote waliopokea ujumbe.<br />

Wakati kuwako kwa Mungu kuliondolewa kutoka kwa taifa la Wayuda, wakuhani na<br />

watu waliendeleya kuji<strong>za</strong>nia wenyewe kuwa wateule wa Mungu. Utumishi katika hekalu<br />

ilikuwa ikiendelea; siku kwa siku baraka ya Mungu ilikuwa ikitakiwa juu ya watu wenye<br />

kosa ya damu ya Mwana wa Mungu. Vivyo hivyo wakati hukumu isiyobadilika ya Pahali<br />

patakatifu inapokwisha kutangazwa na mwisho wa ulimwengu ulikuwa wenye kuwekwa<br />

milele, wakaaji wa dunia hawataitambua. Kawaida <strong>za</strong> dini zitakuwa zikiendeleshwa na watu<br />

wale ambao Roho ya Mungu imeondolewa; juhudi ya shetani kwa kutimi<strong>za</strong> nia <strong>za</strong>ke mbaya<br />

atachukua mfano wa juhudi ya Mungu<br />

257

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!