21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Miaka nyingi baadaye ushupavu wa dini ukainuka pamoja na matokeo ya ajabu.<br />

Akasema Luther: “Kwao Maandiko matakatifu yalikuwa lakini barua yenye kufa, na wote<br />

wakaan<strong>za</strong> kupaa<strong>za</strong> sauti, ‘Roho! Roho! ‘ Lakini kwa uhakika sitafuata mahali ambapo roho<br />

yao inawaongo<strong>za</strong>.”<br />

Thomas Munzer, alikuwa na bidii <strong>za</strong>idi miongoni mwa washupavu hawa, alikuwa mtu<br />

wa uwezo mkubwa, lakini hakujifun<strong>za</strong> dini ya kweli. “Alipokuwa na mapenzi ya<br />

kutengene<strong>za</strong> dunia, na akasahau, kama wenye bidii wote wanavyofanya, kwamba ilikuwa<br />

kwake mwenyewe ambaye Matengenezo ilipashwa kuanzia.” Hakutaka kuwa wa pili, hata<br />

kwa Luther. Yeye mwenyewe akajidai kwamba alipokea agizo la Mungu kuingi<strong>za</strong><br />

Matengenezo ya kweli: “Ye yote anayekuwa na roho hii, anakuwa na imani ya kweli, ijapo<br />

hakuwe<strong>za</strong> kuona Maandiko katika maisha yake.”<br />

Waalimu hawa wa bidii wakajifanya wenye kutawaliwa na maono, kuona kuwa kila<br />

mawazo na mvuto kama sauti ya Mungu. Wengine hata wakachoma Biblia <strong>za</strong>o. Mafundisho<br />

ya Munzer yakakubaliwa na maelfu. Kwa upesi akatanga<strong>za</strong> kwamba kutii watawala, ilikuwa<br />

kutaka kumtumikia Mungu na Beliali. Mafundisho ya uasi ya Munzer yakaongo<strong>za</strong> watu<br />

kuvunja mamlaka yote. Sherehe <strong>za</strong> kutisha <strong>za</strong> upin<strong>za</strong>ni zikafuata, na mashamba ya<br />

Ujeremani yakajaa na damu.<br />

Maumivu Makuu ya Roho Sasa Yakalemea Juu ya Luther<br />

Wana wa wafalme wa upande wa Papa wakatanga<strong>za</strong> kwamba uasi ulikuwa tunda ya<br />

mafundisho ya Luther. Mzigo huu hakupashwa lakini kuleta huzuni kubwa kwa<br />

Mtengene<strong>za</strong>ji kwamba kisa cha kweli kilipaswa kuaibishwa kwa kuhesabiwa pamoja na<br />

ushupavu wa dini wa chini <strong>za</strong>idi. Kwa upande mwengine, waongozi katika uasi<br />

walimchukia Luther. Hakukana madai yao kwa maongozi ya Mungu tu, bali akawatanga<strong>za</strong><br />

kuwa waasi juu ya mamlaka ya serkali. Katika uhusiano wakamshitaki yeye kuwa mdai wa<br />

msingi.<br />

Roma ilitumainia kushuhudia muanguko wa Matengenezo. Na wakamlaumu Luther hata<br />

kwa ajili ya makosa ambayo alijaribu kwa bidii sana kusahihisha. Kundi la ushupavu,<br />

likadai kwa uongo kwamba lilitendewa yasiyo haki, wakapata huruma ya hesabu kubwa ya<br />

watu na ku<strong>za</strong>niwa kuwa kama wafia dini. Kwa hiyo wale waliokuwa katika kupingana na<br />

Matengenezo wakahurumiwa na kusafishwa. Hii ilikuwa kazi ya roho ya namna moja ya<br />

uasi wa kwan<strong>za</strong> uliopatikana mbinguni.<br />

Shetani hutafuta kila mara kudanganya watu na kuwaongo<strong>za</strong> kuita <strong>za</strong>mbi kuwa haki na<br />

haki kuwa <strong>za</strong>mbi. Utakatifu wa uongo, utakaso wa kuiga, ungali ukionyesha roho ya namna<br />

moja kama katika siku <strong>za</strong> Luther, kugeu<strong>za</strong> mafikara kutoka kwa Maandiko na kuongo<strong>za</strong><br />

watu kufuata mawazo na maono kuliko sheria <strong>za</strong> Mungu. Kwa uhodari Luther akatetea injili<br />

kwa mashambulio. Pamoja na Neno la Mungu akapigana juu ya mamlaka ya manyanganyi<br />

76

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!