21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

ao katika vipaji vya nyuso <strong>za</strong>o; na kwamba mtu asiweze kununua wala kuu<strong>za</strong> asipokuwa na<br />

chapa ile, ao jina la mnyama yule, ao hesabu ya jina lake.” Ufunuo 13:16,17. Malaika wa<br />

tatu anaonya: “Mtu akiabudu mnyama na sanamu yake, na kupokea chapa katika kipaji cha<br />

uso wake, ao katika mkono wake, yeye atakunywa mvinyo ya ga<strong>za</strong>bu ya Mungu.”<br />

“Mnyama” wa hiyo ibada inayolazimishwa ni wa kwan<strong>za</strong>, ao ya mfano wa chui, nyama<br />

wa Ufunuo 13--Kanisa la Roma (Papa). “Sanamu kwa mnyama” ni mfano wa namna ile ya<br />

Dini ya Kiprotestanti iliyokufuru ambayo itasitawi wakati makanisa ya Waprotestanti<br />

yanapotafuta msaada wa mamlaka ya serkali kwa ajili ya mkazo wa mafundisho ya kanuni<br />

<strong>za</strong>o. “Chapa ya nyama” inaendelea kuelezwa.<br />

Wale wanaoshika amri <strong>za</strong> Mungu wanakuwa tofauti na wale wanaoabudu mnyama na<br />

sanamu yake na kupokea chapa yake. Uchungaji wa sheria ya Mungu, kwa upande moja, na<br />

mvunjo wake, kwa upande mwengine, utafanya tofauti kati ya waabudu wa Mungu na<br />

waabudu wa mnyama.<br />

Tabia ya kipekee ya mnyama na ya sanamu yake ni kuvunja amri <strong>za</strong> Mungu. Asema<br />

Danieli, juu ya pembe ndogo, kanisa la Roma (Papa): “Atafikiri kugeu<strong>za</strong> nyakati na sheria.”<br />

Danieli 7:25.R.V. Paulo akataja mamlaka ya namna moja “mtu yule wa kuasi” (2<br />

Watesalonika 2:3), aliyejiinua mwenyewe juu ya Mungu. Ila tu kwa kugeu<strong>za</strong> sheria ya<br />

Mungu kanisa la Roma (Papa) liliwe<strong>za</strong> kujiinua lenyewe juu ya Mungu. Mtu ye yote<br />

ambaye angeshika sheria kwa kufahamu kama ilivyogeuzwa angekuwa anatoa heshima<br />

kubwa kwa sheria <strong>za</strong> Papa, chapa cha utii kwa Papa pahali pa Mungu.<br />

Kanisa la Roma (Papa) limejaribu kugeu<strong>za</strong> sheria ya Mungu. Amri ya ine imebadilika<br />

hivi kama kuruhusu kushika siku ya kwan<strong>za</strong> badala ya siku ya saba kama Sabato. Badiliko<br />

la kusudi, la kufikiri linaonyeshwa: “Atafikiri kugeu<strong>za</strong> nyakati na sheria.” Badiliko katika<br />

amri ya ine kabisa linatimi<strong>za</strong> unabii. Hapa uwezo wa Papa unajiweka mwenyewe kwa wazi<br />

juu ya Mungu. Waabudu wa Mungu watatofautika kwa kipekee kwa kushika kwao kwa<br />

amri ya ine, alama ya uwezo wake wa kuumba. Waabudu wa mnyama watatofautika kwa<br />

kufanya nguvu ili kupasua ukumbusho wa Muumba, kuinua sheria ya Roma. Ilikuwa kwa<br />

ajili ya Jumapili (siku ya kwan<strong>za</strong>) kama “siku ya Bwana” ambayo mafundisho ya kanisa la<br />

Roma yalitetea kwa mara ya kwan<strong>za</strong> madai yake ya kiburi. (Ta<strong>za</strong>ma Mwisho wa kitabu,<br />

Nyongezo). Lakini Biblia inaonyesha siku ya saba kuwa siku ya Bwana. Akasema Kristo:<br />

“Basi, Mwana wa watu ndiye Bwana wa sabato vilevile.” Marko 2:28. Uta<strong>za</strong>me tena Isaya<br />

58:13; Matayo 5:1719. Maneno yanayotangazwa mara kwa mara kwamba Kristo aligeu<strong>za</strong><br />

Sabato yamekataliwa na maneno yake mwenyewe.<br />

Kimya Kamili wa Agano Jipya<br />

Waprotestanti wanatambua “kimya kamili cha Agano Jipya kadiri hakuna agizo lo lote<br />

wazi kwa ajili ya Sabato (Jumapili, siku ya kwan<strong>za</strong> ya juma) wala kanuni halisi kwa<br />

kushikwa kwake zinazohusiana nayo.”<br />

187

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!