21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

alifanya kazi maalumu ya upatanisho katika Pahali patakatifu pa patakatifu, kwa ajili ya<br />

kusafishwa kwa Pahali patakatifu. Siku kwa siku mwenye <strong>za</strong>mbi anayetubu alileta sadaka<br />

yake na, kuweka mukono wake juu ya kichwa cha kafara, akaungama <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>ke, katika<br />

mufano kuzihamisha kutoka kwake mwenyewe hata kwa kafara isiyokuwa na kosa. Nyama<br />

basi alichinjwa. “Kwa kuwa uhai wa mwili ni katika damu.” Walawi 17:11. Sheria ya<br />

Mungu iliyovunjwa ilidai uhai wa mkosaji. Damu, inayokuwa mufano wa uhai wa mwenye<br />

<strong>za</strong>mbi ambaye kosa lake huchukuliwa kwa kafara (mnyama), ilibebwa na kuhani katika<br />

Pahali patakatifu na kunyunyizwa mbele ya pazia, nyuma ambapo palikuwa na sheria<br />

ambayo mwenye <strong>za</strong>mbi aliyovunja. Kwa ibada hii <strong>za</strong>mbi ikahamishwa katika mfano hata<br />

Pahali patakatifu. Mara zingine damu haikupelekwa katika Pahali patakatifu, lakini nyama<br />

ikaliwa na makuhani. Ibada mbili hizo zilikuwa mufano wa uhamisho wa <strong>za</strong>mbi kutoka kwa<br />

mwenye kutubu hata kwa Pahali patakatifu.<br />

Kwa namna hiyo kazi iliendelea kufanyika muda wa mwaka wote mzima. Zambi <strong>za</strong><br />

Israeli zilikuwa zikihamishwa kwa Pahali patakatifu, na kazi ya kipekee ikawa ya lazima<br />

kwa ajili ya ondoleo lao la <strong>za</strong>mbi.<br />

Siku Kuu ya Upatanisho<br />

Mara moja kwa mwaka, kwa Siku Kuu ya upatanisho, kuhani akaingia katika Pahali<br />

patakatifu pa patakatifu kwa ajili ya kutakaswa kwa Pahali patakatifu. Wana wawili wa<br />

mbuzi wakaletwa na kura ikapigwa, “kura moja ni ya Bwana na kura ingine ya A<strong>za</strong>zeli.”<br />

Walawi 16:8. Mbuzi wa Bwana akachinjwa kama sadaka ya <strong>za</strong>mbi kwa ajili ya watu, na<br />

kuhani alipashwa kuleta damu ndani ya pazia na kuinyunyi<strong>za</strong> mbele ya kiti cha rehema na<br />

pia juu ya ma<strong>za</strong>bahu ya uvumba mbele ya pazia.<br />

“Na Haruni ataweka mikono yake miwili juu ya kichwa cha yule mbuzi aliye hai, na<br />

kukiri juu yake maovu yote ya wana wa Israeli na makosa yao yote, hata <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o zote;<br />

naye ataziweka zote juu ya kichwa cha yule mbuzi aliye hai na kumutuma jangwani kwa<br />

mukono wa mutu aliye tayari, na yule mbuzi atachukua juu yake maovu yao yote mupaka<br />

inchi isiyo na watu; ataacha mbuzi kwenda <strong>za</strong>ke jangwani.” Walawi 16:21,22. Mbuzi wa<br />

A<strong>za</strong>zeli hakurudi tena katika kambi la Israeli.<br />

Ibada ilikusudiwa kwa kuvuta Waisraeli kwa utakatifu wa Mungu na machukio yake ya<br />

<strong>za</strong>mbi. Kila mutu aliombwa kuhuzunisha roho yake wakati kazi hii ya upatanisho ilipokuwa<br />

ikiendelea. Kazi zote zikawekwa kando, na Israeli alipashwa kutumia siku yenyewe katika<br />

maombi, kufunga, na kuchungu<strong>za</strong> moyo.<br />

Kiti kingine kilikubaliwa baadala ya mwenye <strong>za</strong>mbi, lakini <strong>za</strong>mbi hazikufutwa kwa<br />

damu ya kafara (mnyama); zilihamishwa kwa Pahali patakatifu. Kwa sadaka ya damu<br />

mwenye <strong>za</strong>mbi akatambua mamlaka ya sheria, akatubu kosa lake, na akaonyesha imani yake<br />

katika Mukombozi atakaye kuja; lakini hakufunguliwa kabisa kwa hukumu ya sheria. Kwa<br />

Siku ya Upatanisho kuhani mkuu, anapokwisha kupata sadaka kwa makutano, akaenda<br />

175

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!