21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

tena mateka makubwa yakaanguka mikononi mwa washindi. Kwa hiyo mara ya pili jeshi la<br />

watu hodari kwa vita, waliozoea vita, wakakimbia bila shindo mbele ya watetezi wa taifa<br />

ndogo na <strong>za</strong>ifu. Adui waliuawa na hofu kubwa isiyo ya kibinadamu. Yule aliyekimbi<strong>za</strong><br />

majeshi ya Wamidiani mbele ya Gideoni na watu miatatu wake, alinyosha tena mkono<br />

wake. Ta<strong>za</strong>ma Waamuzi 7:1925; Zaburi 53:5.<br />

Kusalitiwa kwa Njia ya Upatanishi<br />

Waongozi wa Papa mwishowe wakatumia njia ya upatanisho. Mapatano likafanya<br />

ambalo kwalo likasaliti wa Bohemia katika utawala wa Roma. Watu wa Bohemia wakataja<br />

sharti inne kwa ajili ya amani kati yao na Roma: (1) uhuru wa kuhubiri Biblia; (2) haki ya<br />

kanisa lote katika mambo mawili hayo ya mkate na divai katika ushirika na matumizi ya<br />

lugha ya kienyeji katika ibada ya Mungu; (3) Kutenga waongozi wa dini la kikristo kwa<br />

kazi zote <strong>za</strong> kidunia na mamlaka; na, (4) wakati wa kosa, hukumu ya bara<strong>za</strong> <strong>za</strong> serkali juu<br />

ya mapadri na wasiokuwa mapadri iwe sawa sawa. Hukumu <strong>za</strong> Papa zikakubali kwamba<br />

mambo mane yale yakubaliwe, “lakini haki ya kuyaele<strong>za</strong> ... inapaswa kuwa kwa bara<strong>za</strong>--<br />

katika maneno mengine, kwa Papa na kwa mfalme.” Roma ikashinda kwa unafiki na<br />

madanganyo mambo ambayo kwa njia ya vita alishindwa. Kukubalia Roma uwezo wa<br />

kutafsiri maandishi ya wafuasi wa Huss, kama juu ya Biblia, iliwe<strong>za</strong> kupotosha maana kwa<br />

kupende<strong>za</strong> makusudi yake.<br />

Hesabu kubwa ya watu katika Bohemia, kuona kwamba jambo lile lilisaliti uhuru wao,<br />

hawakuwe<strong>za</strong> kukubali mapatano. Kutopatana kukaumka, na kuletaugomvi kati yao<br />

wenyewe. Procopius mwenye cheo akashindwa, na uhuru wa watu wa Bohemia ukakoma.<br />

Tena majeshi ya waaskari ya kigeni yakashambulia Bohemia, na wale waliodumu kuwa<br />

waaminifu kwa injili wakawa katika hatari kwa mateso ya damu. Kwani walisimama imara.<br />

Wakakazwa kutafuta kimbilio katika mapango, wakaendelea kukusanyika kusoma Neno la<br />

Mungu na kujiunga katika ibada yake. Kwa njia ya wajumbe kwa siri wakatuma kwa inchi<br />

mbali mbali wakajifun<strong>za</strong> “kwamba katikati ya milima ya Alps (safu ya milima mirefu)<br />

kulikuwa kanisa la <strong>za</strong>mani, la kudumu juu ya misingi ya Maandiko, na kukataa maovu ya<br />

ibada ya sanamu ya Roma.” Kwa furaha kubwa, uhusiano wa kuandikiana ukawa kati yao<br />

na Wakristo wa Waendense furaha kubwa, (Vaudois). Msimamo imara wa injili, watu wa<br />

Bohemia wakangoja usiku kucha wa mateso yao, katika saa ya gi<strong>za</strong> kuu hata wakageu<strong>za</strong><br />

macho yao kwa upeo kama watu wanaokesha hata asubui.<br />

46

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!