21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Asema mtume Yakobo: “Ninyi wazini, hamujui ya kwamba kuwa rafiki ya dunia ni<br />

kuwa adui ya Mungu? Basi kila mtu anayetaka kuwa rafiki ya dunia anageuka kuwa adui ya<br />

Mungu.” Yakobo 4:4.<br />

Mwanamke (Babeli) yule “amevikwa nguo ya rangi ya <strong>za</strong>mbarau na nyekundu,<br />

amepambwa kwa <strong>za</strong>habu, na mawe ya bei kubwa, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha<br />

<strong>za</strong>habu mkononi mwake, kinachojaa machukizo, na machafu... Na katika kipaji cha uso<br />

wake jina limeandikwa, SIRI, BABELI MKUBWA, MAMA YA MAKAHABA.” Anasema<br />

nabii: “Nikaona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu na kwa damu ya<br />

washuhuda wa Yesu.” Babeli “ni mji ule mkubwa unaotawala juu ya wafalme wa dunia.”<br />

Ufunuo 17:4-6, 18.<br />

Mamlaka ambayo kwa karne nyingi ilidumisha uwezo juu ya wafalme wa jamii ya<br />

Wakristo wote ni Roma. Rangi ya <strong>za</strong>mbarau, na nyekundu, <strong>za</strong>habu, mawe ya bei kubwa, na<br />

lulu, vinaonyesha fahari iliyovaliwa na askofu mwenye kiburi wa Roma. Hakuna mamlaka<br />

ingine iliyowe<strong>za</strong> kutangazwa kwa kweli “amelewa kwa damu ya watakatifu” kama kanisa<br />

lile ambalo lilitesa kwa ukali wafuasi wa Kristo.<br />

Babeli inasitakiwa vilevile kwa uhusiano usio wa sheria pamoja na “wafalme wa<br />

ulimwengu.” Kwa kuachana na Bwana kupatana na wapagani kanisa la Wayahudi likawa<br />

kahaba, na Roma, katika kutafuta usaada wa mamlaka ya kidunia, inapokea hukumu ya<br />

namna moja.<br />

“Babeli ni mama ya makahaba.” Binti <strong>za</strong>ke wanapashwa kuwa makanisa yanayoshika<br />

mafundisho yake na kufuata mfano wake wa kuacha kweli ili kufanya mapatano pamoja na<br />

dunia. Ujumbe unaotanga<strong>za</strong> kuanguka kwa Babeli unapaswa kulinganishwa na makundi ya<br />

ushirika wa dini yaliyokuwa safi <strong>za</strong>mani na imegeuka kuwa potovu. Kwa hivi ujumbe huu<br />

unafuata onyo la hukumu, unapaswa kutolewa katika siku <strong>za</strong> mwisho. Kwa hiyo haiwezi<br />

kutumiwa kwa kanisa la Roma tu, kwa maana lile lilikuwa katika hali ya maanguko muda<br />

wa karne nyingi.<br />

Tena, watu wa Mungu wanaitwa kutoka katika Bebeli. Kufuatana na maandiko haya,<br />

watu wa Mungu wengi wakingali katika Babeli, Na ni katika makundi gani ya dini ambamo<br />

munakuwa sehemu kubwa ya wafuasi wa Kristo? Katika makanisa inayokiri imani ya<br />

Kiprotestanti. Kwa wakati wa kutokea kwao makanisa haya yalipata msimamo bora kwa<br />

ajili ya kweli, na mibaraka ya Mungu ilikuwa pamoja nao. Lakini wakashindwa kwa tamaa<br />

ya namna moja ileile ambayo ilikuwa uharibifu wa Israeli kuiga desturi na kujipendeke<strong>za</strong> na<br />

urafiki wa wasiomwogopa Mungu.<br />

Kujiunga Pamoja na Walimwengu<br />

Makanisa mengi ya kiprotestanti yamefuata mfano wa uhusiano pamoja na “wafalme wa<br />

dunia” makanisa ya taifa, kwa uhusiano wao na serkali; na makanisa mengine, kwa kutafuta<br />

mapendeleo ya dunia. Neno “Babeli” machafuko--linawe<strong>za</strong> kutumiwa kwa makundi haya<br />

159

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!