21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Vijana wengi wakajitoa kwa kujifun<strong>za</strong>, kuchungu<strong>za</strong> Maandiko na kujizoe<strong>za</strong> wenyewe na<br />

kazi bora ya watu wa <strong>za</strong>mani. Walipokuwa na akili yenye juhudi na mioyo hodari, vijana<br />

hawa wakapata haraka maarifa ambayo kwa wakati mrefu hakuna mtu aliwe<strong>za</strong> kushindana<br />

nao. Watu wakapata katika mafundisho mapya mambo ambayo yalileta matakwa ya roho<br />

<strong>za</strong>o, na wakageuka kutoka kwa wale waliowalea kwa wakati mrefu na maganda ya bure ya<br />

ibada <strong>za</strong> sanamu na maagizo ya wanadamu.<br />

Wakati mateso yalipoamshwa juu ya waalimu wa ukweli, wakafuata agizo hili la Kristo:<br />

“Na wakati wanapo watesa ninyi katika mji huu, kimbilieni kwa mji mwengine.” Matayo<br />

10:23. Wakimbizi wakapata mahali mlango karibu ulifunguka kwao, na waliwe<strong>za</strong> kuhubiri<br />

Kristo, wakati mwengine ndani ya kanisa ao katika nyumba ya faragha ao mahali pa wazi.<br />

Kweli ikatawanyika kwa uwezo mkubwa usio wa kuzuia.<br />

Ni kwa bure watawala wa kanisa na wa serkali walitumia kifungo, mateso, moto, na<br />

upanga. Maelfu ya waaminifu wakatia muhuri kwa imani yao kwa kutumia damu yao, na<br />

huku mateso ilitumiwa tu kupanua ukweli. Ushupavu ambao Shetani alijaribu kuunganisha<br />

hayo, matokeo yalikuwa wazi kinyume kati ya kazi ya Shetani na kazi ya Mungu.<br />

78

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!