21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Haya yote yalikuwa ni mapenzi ya Shetani. Amri yake ni madanganyo na makusudi yake<br />

ni kuleta uharibifu juu ya watu, kutia haya kiumbe cha Mungu, kwa kuharibu kusudi la<br />

Mungu la upendo, na kwa hiyo kuleta sikitiko mbinguni. Basi kwa mambo yake ya ufundi<br />

ya kudanganya, huongo<strong>za</strong> watu kutupa laumu juu ya Mungu, kana kwamba mateso haya<br />

yote yalikuwa matokeo ya shauri la Muumba. Wakati watu waliona dini ya Roma kuwa<br />

danganyifu, akawashurutisha ku<strong>za</strong>nia dini yote kama danganyifu na Biblia kama hadisi<br />

(uongo).<br />

Kosa la Hatari<br />

Kosa la mauti ambalo lilileta msiba wa namna hiyo kwa Ufransa lilikuwa kuitokujali<br />

kwa ukweli huu mmoja mkubwa; uhuru wa kweli unaokuwa katikati ya makatazo ya sheria<br />

ya Mungu. “Laiti ungalisikili<strong>za</strong> maagizo yangu! Ndipo salama yako ingalikuwa kama mto,<br />

na haki yako kama mawimbi ya bahari.” Isaya 48:18. Wale ambao hawatasoma fundisho<br />

kutoka kwa Kitabu cha Mungu wanaalikwa kulisoma katika historia.<br />

Wakati Shetani alitenda kwa njia ya kanisa la Roma kuongo<strong>za</strong> watu kuacha utii, kazi<br />

yake ikageuka.. Kwa kazi ya Roho wa Mungu makusudi yake yakazuiwa kufikia matumizi<br />

yao kamili. Watu hawakutafuta matokeo kwa mwanzo wake na kuvumbua asili ya taabu<br />

<strong>za</strong>o. Lakini katika mapinduzi sheria ya Mungu iliwekwa kando kwa wazi na Bara<strong>za</strong> la Taifa.<br />

Na katika Utawala wa Hofu Kuu uliofuata, kazi na matokeo yaliwe<strong>za</strong> kuonekana kwa wote.<br />

Kuvunja sheria ya haki na nzuri matunda yake inapaswa kuwa maangamizi. Roho wa<br />

Mungu wa kiasi, ambaye analazimisha uaguzi juu ya uwezo mkali wa Shetani, uliotoka kwa<br />

kiasi kikubwa, na yule ambaye furaha yake ni taabu ya watu aliruhusiwa kufanya mapenzi<br />

yake. Wale waliochagua uasi waliachiwa kuvuna matunda yake. Inchi ikajaa na <strong>za</strong>mbi.<br />

Kutoka mitaa iliyoteketezwa na miji iliyoangamizwa kilio, cha kutisha kilisikiwa cha<br />

maumivu makali. Ufransa ukatikisishwa kama kwa tetemeko. Dini, sheria, kanuni ya watu<br />

wote, jamaa, serkali, na kanisa--vyote vikashindwa na mkono mpotovu ambao uliinuliwa<br />

kupinga sheria ya Mungu.<br />

Washuhuda waaminifu wa Mungu, waliochinjwa kwa uwezo wa dini ya yule “anayotoka<br />

katika shimo pasipo mwisho,” hawakubakia kimya.” Na nyuma ya siku tatu na nusu, roho<br />

ya uhai ikatoka kwa Mungu ikaingia ndani yao, wakasimama juu ya miguu yao; woga<br />

mkubwa ukaangukia watu wote waliowata<strong>za</strong>ma.” Ufunuo 11:11. Katika mwaka 1793<br />

Bara<strong>za</strong> la Taifa la Ufransa likaweka amri <strong>za</strong> kutenga Biblia kando. Miaka mitatu na nusu<br />

baadaye, shauri la kutangua amri hizi likakubaliwa na mkutano ule ule. Watu wakatambua<br />

lazima ya imani katika Mungu na Neno lake kama msingi wa uwezo na maarifa ya wema na<br />

ubaya.<br />

Kwa habari ya “washuhuda wawili” (Maagano ya Kale na Jipya) nabii akatanga<strong>za</strong> <strong>za</strong>idi:<br />

“Wakasikia sauti kubwa kutoka mbingu ikisema kwao: Pandeni hata hapa. Wakapanda<br />

mbinguni katika wingu, adui <strong>za</strong>o wakiwata<strong>za</strong>ma.” Ufunuo 11:12. “Washahidi hawa wawili<br />

115

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!