21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 8. Mbele ya Korti<br />

Mfalme mpya, Charles V, akamiliki kwa kiti cha ufalme wa Ujeremani. Mchaguzi wa<br />

Saxony ambaye alisaidia Charles kupanda kwa kiti cha ufalme, akamwomba kutotendea<br />

Luther kitu chochote mpaka wakati atakapo ruhusu kumusikili<strong>za</strong>. Kwa hiyo mfalme akawa<br />

katika hali ya mashaka na wasiwasi. Watu wa Papa hawangerizishwa na kitu chochote<br />

isipokuwa kifo cha Luther. Mchaguzi akatanga<strong>za</strong> “Mwalimu Luther anapashwa kutolewa<br />

haki (ruhusa ya usalama), ili apate kuonekana mbele ya bara<strong>za</strong> ya hukumu ya waamzi<br />

wenye elimu, watawa, na wa haki wasio na upendeleo.”<br />

Makutano wakakusanyika huko Worms. Kwa mara ya kwan<strong>za</strong> watoto wa kifalme wa<br />

Ujeremani walipashwa kukutana na mfalme wao kijana katika mkusanyiko. Wakuu wa<br />

kanisa na wa serkali na mabalozi wa inchi <strong>za</strong> kigeni wote wakakusanyika kule Worms. Bali<br />

jambo ambalo lililoamusha usikivu mwingi lilikuwa la Mtengene<strong>za</strong>ji. Charles alimuamuru<br />

mchaguzi kumleta Luther pamoja naye, kumuhakikishia ulinzi na kuahidi mazungumzo<br />

huru juu ya maswali katika mabishano. Luther akamwandikia mchaguzi: “Ikiwa kama<br />

mfalme ananiita, siwezi kuwa na mashaka huo ni mwito wa Mungu mwenyewe. Kama<br />

wakitaka kutumia nguvu juu yangu, ... Ninaweka jambo hili mikononi mwa Bwana. ...<br />

Kama hataniokoa, maisha yangu ni ya maana kidogo. ... Unawe<strong>za</strong> kuta<strong>za</strong>mia lolote kutoka<br />

kwangu ... isipokuwa kukimbia na mimi kukana maneno ya kwan<strong>za</strong>. Kukimbia siwezi, na<br />

tena kukana ni <strong>za</strong>idi.”<br />

Kwa namna habari ilienea kwamba Luther alipashwa kuonekana mbele ya bara<strong>za</strong>,<br />

msisimuko ukawa pahali pote. Aleander, mjumbe wa Papa, kwa kujulishwa hatari na<br />

akakasirika. Kuchungu<strong>za</strong> juu ya habari ambayo Papa alikwisha kutolea a<strong>za</strong>bu ya hukumu<br />

ingekuwa ku<strong>za</strong>rau mamlaka ya askofu. Na tena, <strong>za</strong>idi mabishano yenye uwezo ya mtu huyu<br />

yanawe<strong>za</strong> kugeu<strong>za</strong> watoto wa wafalme wengi kutoka kwa Papa. Akamuonya Charles juu ya<br />

kutoruhusu Luther kufika Worms na akashawishi mfalme kukubali.<br />

Bila kutulia juu ya ushindi huu, Aleander akaendelea kuhukumu Luther, kushitaki<br />

Mtengene<strong>za</strong>ji juu ya “fitina, uasi, ukosefu wa heshima, na matukano”. Lakini ukali wake<br />

ukafunua roho ambayo aliyokuwa ndani yake. “Anasukumwa na fitina na kulipisha kisasi.<br />

Kwa juhudi <strong>za</strong>idi tena Aleander akasihi sana mfalme kutimi<strong>za</strong> amri <strong>za</strong> Papa.<br />

Aliposumbuliwa sana na maombi ya mjumbe Charles akamwomba kuleta kesi yake kwa<br />

bara<strong>za</strong>. Kwa wasiwasi mwingi wale waliopendelea Mtengene<strong>za</strong>ji wakaendelea kuyatarajia<br />

maneno yakasomewa na Aleander. Mchaguzi wa Saxony hakuwa pale, lakini baazi ya<br />

washauri wake wakaandika yaliyosemwa na mjumbe wa Papa.<br />

Luther Anashitakiwa kuwa Mpinga Imani ya Dini<br />

58

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!