21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

watawala wa ufalme. Wafalme walikuwa wahubiri, na mahubiri yalikuwa kweli aminifu ya<br />

Mungu. “Tangu wakati wa mitume hapakuwa kazi kubwa kuliko, ao maungamo mazuri<br />

<strong>za</strong>idi.”<br />

Mojawapo ya kanuni imara <strong>za</strong>idi iliyoshikwa nguvu na Luther ilikuwa kwamba haifae<br />

kutumainia uwezo wa kidunia katika kusaidia Matengenezo. Alifurahi kwamba injili<br />

ilitangazwa na watawala na ufalme; lakini wakati walipokusudia kuungana katika chama<br />

cha utetezi, akatanga<strong>za</strong> kwamba “mafundisho ya injili itatetewa na Mungu peke yake. ...<br />

Uangalifu wote wa siasa uliokusudiwa ulikuwa katika maoni yake, kwamba ulitolewa na<br />

hofu isiyofaa na shaka ya <strong>za</strong>mbi.”<br />

Kwa tarehe ya baadaye, kufikiri juu ya mapatano yaliyoazimiwa na Wafalme<br />

walioongoka, Luther akatanga<strong>za</strong> kwamba silaha ya pekee tu katika vita hii inapashwa kuwa<br />

“upanga wa Roho.” Akaandika kwa mchaguzi wa Saxony: “Hatuwezi kwa <strong>za</strong>miri yetu<br />

kukubali mapatano yaliyokusudiwa. Msalaba wa Kristo unapaswa kuchukuliwa. Hebu<br />

utukufu wako uwe bila hofu. Tutafanya mengi <strong>za</strong>idi kwa maombi yetu kuliko maadui wetu<br />

wote kwa majivuno yao.”<br />

Kutoka kwa pahali pa siri pa sala kukaja uwezo uliotetemesha ulimwengu katika<br />

Matengenezo. Huko Augsburg Luther “hakupitisha siku bila kujitoa kwa maombi kwa<br />

masaa tatu.” Ndani ya chumba chake cha siri alikuwa akisikia kumiminika kwa roho yake<br />

mbele ya Mungu kwa maneno “yanayojaa na kuabudu na hofu na matumaini.” Kwa<br />

Melanchton akaandika: “Kama sababu si ya haki, tuiache; kama sababu ni ya haki, sababu<br />

gani kusingizia ahadi <strong>za</strong> yule anaye tuagi<strong>za</strong> kulala bila hofu?” Watengene<strong>za</strong>ji wa<br />

Kiprotestanti walijenga juu ya Kristo. Milango ya kuzimu haitalishinda!<br />

83

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!