21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Upatanisho, kulitukia kwa siku ya kumi ya mwezi wa saba wa Wayuda wakati kuhani<br />

mkuu, alipokwisha kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli yote, na kwa hivyo akaondoa<br />

<strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o kutoka kwa mahali patakatifu, akaja na kubariki watu. Kwa hiyo iliaminiwa<br />

kwamba Kristo angeonekana kuja kutakasa dunia kwa kuharibu <strong>za</strong>mbi na wenye <strong>za</strong>mbi, na<br />

kubariki watu wake wanaomungojea kwa kuwapa kutokufa. Siku ya kumi ya mwezi wa<br />

saba, Siku kuu ya Upatanisho, wakati wa kutakaswa kwa mahali patakatifu, ambao katika<br />

mwaka 1844 ulianguka kwa tarehe ya makumi mbili na mbili ya Oktoba, ili<strong>za</strong>niwa kama ni<br />

wakati wa kuja kwa Bwana. Siku 2300 zingemalizika wakati wa masika, na mwisho<br />

ikaonekana kuwa wazi bila ubishi.<br />

“Kilio cha Usiku wa Manane”<br />

Maneno yakawa na hakikisho la nguvu, na “kilio cha usiku wa manane” kikasikiwa kwa<br />

maelfu ya waaminifu. Kama mawimbi, tukio hili lika<strong>za</strong>mbaa kwa nguvu toka mji kwa mji,<br />

kijiji kwa kijiji. Ushupavu ukatoweka kama baridi kali ya alfajiri kabla ya jua kutokea. Kazi<br />

ilikuwa ya namna moja na ile ya nyakati <strong>za</strong> kurudi kwa Bwana ambako miongoni mwa<br />

Israeli wa <strong>za</strong>mani walifuata ujumbe wa karipio kutoka kwa watumishi wake. Hapo kulikuwa<br />

furaha nyingi sana, lakini Zaidi uchunguzi mwingi wa moyo, ungamo la <strong>za</strong>mbi, na kuacha<br />

dunia. Hapo kulikuwa kujitoa wakfu kwa Mungu.<br />

Kwa miendo yote ya dini tangu siku <strong>za</strong> mitume, hakuna mojawapo yaliojiepusha <strong>za</strong>idi<br />

kwa upungufu wa kibinadamu na werevu wa Shetani kuliko ile iliokuwa kwa wakati wa<br />

masika ya mwaka 1844. Kwa mwito, “Ta<strong>za</strong>ma bwana arusi anakuja,” wale waliokuwa<br />

wakingojea “wakaamka, wakatengene<strong>za</strong> taa <strong>za</strong>o”; wakajifun<strong>za</strong> Neno la Mungu kwa usikizi<br />

mkuu ambao haukuwako mbele. Hawakukuwa wenye vipawa <strong>za</strong>idi, bali wenye kuwa wenye<br />

unyenyekevu <strong>za</strong>idi na wenye bidii, waliokuwa wa kwan<strong>za</strong> kutii mwito. Wakulima wakaacha<br />

mavuno yao katika mashamba, wafundi wa mashine wakaacha vyombo vyao na kwa furaha<br />

wakaenda kutoa maonyo. Makanisa kwa kawaida yakafunga milango yao juu ya ujumbe<br />

huu, na kundi kubwa la wale walioukubali wakajitenga kwao.<br />

Wasiosadiki waliokusanyika kwa mikutano ya Waadventiste wakaona uwezo wa<br />

kusadikisha ukihuzuria ujumbe, “Ta<strong>za</strong>ma, bwana arusi anakuja!” Imani ikaleta majibu kwa<br />

maombi. Kama manyunyu ya mvua juu ya inchi yenye kiu, Roho ya neema akashuka juu ya<br />

watafutao kwa bidii. Wale waliota<strong>za</strong>mia upesi kusimama uso kwa uso pamoja na Mkombozi<br />

wao wakaona furaha kubwa. Roho Mtakatifu akalainisha moyo.<br />

Wale waliokubali ujumbe wakafikia wakati ambao walitumainia kukutana na Bwana<br />

wao. Wakaomba sana mtu kwa mwen<strong>za</strong>ke. Wakakutana mara kwa mara katika mahali pa<br />

uficho kushirikiana pamoja na Mungu, na sauti ya maombezi ikapanda mbinguni kutoka<br />

mashambani na vichakani. Hakikisho la kibali cha Mwokozi yalikuwa ya lazima <strong>za</strong>idi kwao<br />

kuliko chakula cha kila siku, na kama wingu lilitia gi<strong>za</strong> katika akili <strong>za</strong>o, hawakutulia hata<br />

walipoona ushuhuda wa neema ya rehema.<br />

168

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!