21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Sura 21. Kuteswa kwa Aijili ya Mwenendo wa<br />

Mpumbafu ao Mjinga<br />

William Miller na wasaidizi wake walitafuta kuamsha walimu wa dini kwa tumaini la<br />

kweli la kanisa na mahitaji yao ya maarifa makubwa ya kikristo. Walitumika pia kwa<br />

kuamsha wasiogeuka kwa toba na mabadiliko. “Hawakujaribu kutubisha watu kwa dini<br />

fulani. Walitumika bila uchaguzi w makundi ao dini fulani. ” Akasema Miller, “Nilifikiri<br />

kusaidia wote. Niliwa<strong>za</strong> kwamba Wakristo wote wangefurahi katika kuta<strong>za</strong>mia kuja kwa<br />

Kristo, na kwamba wale hawakuwe<strong>za</strong> kuona kama mimi hawangekosa kupenda wale<br />

waliopashwa kukubali kwa moyo mafundisho haya, sikuwa<strong>za</strong> kwamba kungewe<strong>za</strong> kuwa na<br />

lazima ya mikutano ya kuachana... Hesabu kubwa ya wale waliogeuka chini ya kazi <strong>za</strong>ngu<br />

walijiunga na makanisa mbalimbali iliyokuwako.”<br />

Lakini kwa sababu waongozi wa dini walipinga juu ya mafundisho ya Adventiste,<br />

walikatalia washiriki wao haki ya kuhuzuria kuhubiri juu ya kuja kwa Yesu mara ya pili.<br />

Wala hata kusema kwa ajili ya tumaini lao katika kanisa. Waaminifu walipenda kanisa <strong>za</strong>o.<br />

Lakini walipoona haki yao kwa kuchungu<strong>za</strong> mambo ya unabii unakanwa, waliona<br />

kwamba uaminifu kwa Mungu unawakata<strong>za</strong> kuwatii. Kwa hiyo waliona kwamba walikuwa<br />

na haki kujitenga. Wakati wa kipwa cha mwaka 1844 karibu elfu makumi tano wakatoka<br />

kwa makanisa.<br />

Katika makanisa mengi, kwa miaka nyingi kuongezeka kulikuwako lakini kwa kidogo<br />

kufuatana na matendo ya dunia iloyolingana na upungufu kwa maisha ya kiroho. Lakini kwa<br />

mwaka ule kulikuwa ushuhuda wa upunguo mkubwa ndani ya makanisa yote ya inchi.<br />

Jambo lilielezwa sana kwa magazeti na mimbarani.<br />

Bwana Barnes, mwandishi wa maelezo na mchungaji wa mojawapo wa makanisa<br />

makubwa ya Philadelphia, “akasema kwamba ... Sasa hakuna maamsho, hapana kugeuka,<br />

hakuna kuonekana sana kwa maendeleo katika neema katika walimu, na hakuna anayekuja<br />

kwa mafundisho yake kwa kuzungum<strong>za</strong> juu ya wokovu wa roho <strong>za</strong>o...kunakuwa<br />

kuongezeka kwa akili ya kidunia Ni vile inakuwa katika makanisa yote.”<br />

Katika mwezi wa Februari wa mwaka ule ule, Mwalimu Finney wa Oberlin College<br />

akasema: “Kwa kawaida, makanisa ya Kiprotestanti ya inchi yetu, yanavyoonekana,<br />

yalikuwa ao baridi ao adui ya matengenezo yote ya tabia na usafi vya wakati huu ... ubaridi<br />

wa kiroho unatawala karibu kote kwa wingi wa kutisha; kwa hiyomagazeti ya dini ya inchi<br />

yote yanashuhudia ile. ...Kwa wingi sana washiriki wa kanisa wanatawaliwa na mtindo<br />

wakisasa (mode),yanaunga mkono mwovu katika makundi ya anasa, katika michezo, katika<br />

furaha. ... Makanisa kwa kawaida yanakuwa kwa huzuniyenye kurudia kwa ushenzi.<br />

Yalikwisha kwenda mbali ya Bwana na amekwisha kujiondoa mwenyewe kwao.’‘<br />

Binadamu Anakataa Nuru<br />

156

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!