21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Pepo wachafu, kwa mwanzo waliumbwa pasipo <strong>za</strong>mbi, walikuwa sawasawa kwa tabia,<br />

uwezo, na utukufu pamoja na viumbe vitakatifu vile vinavyokuwa sasa wajumbe wa<br />

Mungu. Lakini walipoanguka katika <strong>za</strong>mbi, wanashiriki pamoja kwa kufezeresha Mungu na<br />

uharibifu wa watu. Kwa kuungana pamoja na Shetani katika uasi, wanashirikiana katika vita<br />

kupigana na mamlaka ya Mungu.<br />

Historia ya Agano la Kale inataja kuwapo kwao, lakini kwa wakati Yesu alipokuwa<br />

duniani pepo wachafu wakaonyesha uwezo wao kwa namna ya ajabu sana. Kristo alikuja<br />

kwa ajili ya ukombozi wa mtu, na Shetani akakusudia kutawala ulimwengu. Akafanikiwa<br />

katika kuimarisha ibada ya sanamu katika kila upande wa dunia isipokuwa Palestina. Kwa<br />

inchi ile tu ambayo haikujitoa kamili kwa mshawishi, Yesu akakuja, kunyosha mikono yake<br />

ya upendo, kualika wote kupata msamaha na amani kwake. Majeshi ya gi<strong>za</strong> yakafahamu<br />

kwamba kama kazi ya Kristo inapata ushindi, mamlaka yao ingekuwa karibu kumalizika.<br />

Kwamba watu wamekuwa na pepo mbaya inasemwa wazi katika Agano Jipya. Kwa hivi<br />

watu walioteswa si kwa sababu tu ya magonjwa ya kawaida; Kristo alifahamu kuwako kwa<br />

chanzo cha magonjwa na nguvu ya pepo wachafu. Wenye pepo wachafu kule Gadara,<br />

wenye wazimu wa hali mbaya, kujinyonga, kujitapa, kutosha povu, kukasirika, walikuwa<br />

wakijitesa wao wenyewe na kuhatarisha wote waliopaswa kuwakaribia. Kutokwa kwao kwa<br />

damu, kukabadili hali ya mwili na mawazo yenye kuhangaika yalionyesha ajabu ya<br />

kufurahisha sana mfalme wa gi<strong>za</strong>. Mumojawapo wa pepo wachafu wakutawala wanaoteswa<br />

akatanga<strong>za</strong>, “Jina langu ni Legioni: maana: Jeshi.” Marko 5:9. Katika jeshi la Roma legioni<br />

ilikuwa ya kuanzia watu elfu tatu hata elfu tano. Kwa agizo la Yesu pepo wachafu wakatoka<br />

kwa watu wao waliokuwa wanatesa, kuwaacha wanapotulia, wenye akili, na wapole. Lakini<br />

pepo wachafu wakarusha kundi la nguruwe katika bahari, na kwa wakaaji wa Gadara hasara<br />

kubwa ikazima mibaraka Kristo aliyoitoa; mponya wa Mungu akalazimishwa kutoka.<br />

Ta<strong>za</strong>ma Matayo 8:22-34. Kwa kulaumu hasara yao juu ya Yesu, Shetani akaamsha choyo<br />

cha woga kwa watu na kuwakata<strong>za</strong> kusikili<strong>za</strong> maneno yake.<br />

Kristo akaruhusu pepo wachafu kuangami<strong>za</strong> nguruwe kama laumu kwa Wayuda<br />

waliolea wanyama najisi kwa ajili ya faida. Kama Kristo hakuzuia pepo wachafu,<br />

wangalitumbuki<strong>za</strong> si nguruwe tu, bali wachungaji wao pia na wenye nguruwe ndani ya<br />

bahari.<br />

Tena, jambo hili liliruhusiwa ili wanafunzi waweze kushuhudia uwezo mkali wa Shetani<br />

juu ya wote wawili mtu na mnyama, ili wasiweze kudanganywa kwa mipango yake. Ilikuwa<br />

vilevile mapenzi yake kwamba watu walipashwa kuta<strong>za</strong>ma uwezo wake kuvunja utumwa<br />

wa Shetani na kufungua wafungwa wake. Ingawa Yesu Mwenyewe alitoka, watu<br />

waliookolewa kwa ajabu sana wakaendelea kutanga<strong>za</strong> rehema ya Mkarimu wao.<br />

Mifano mingine imeandikwa: Binti wamwanamuke wa Sirofoinike, aliyesumbuliwa<br />

vikali kwa Shetani, ambaye Yesu alifuku<strong>za</strong> kwa neno lake (Marko 7:26-30); kijana<br />

aliyekuwa na pepo ambayo mara kwa mara “kumtupa katika moto, na katika maji,<br />

215

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!