21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Kiburi kikazidisha tamaa ya mamlaka. Heshima <strong>za</strong> juu zilizotolewa kwa Lusifero<br />

zikaleta kutokuwa na shukrani kwa Muumba. Akatamani kuwa sawa sawa na Mungu. Huku<br />

Mwana wa Mungu alikuwa Mfalme aliyekubaliwa wa mbingu, mmoja kwa uwezo na<br />

mamlaka pamoja na Baba. Katika mipango yote ya Mungu, Kristo alikuwa mshirika, lakini<br />

Lusifero hakuruhusiwa kuingia katika makusudi ya kimungu. “Sababu gani,” akauli<strong>za</strong> huyu<br />

malaika mkubwa, “inamupasa Kristo kuwa na mamlaka? Sababu gani yeye anaheshimiwa<br />

kupita Lusifero?”<br />

Manunguniko Miongoni mwa Malaika<br />

Kuacha pahali pake mbele ya Mungu, Lusifero akaendelea kutawanya manunguniko<br />

miongoni mwa malaika. Kwa maficho yasiyoelezeka,kwa kuficha kusudi lake la kweli chini<br />

ya mfano wa heshima kwa Mungu, akajika<strong>za</strong> kuamsha kutorizika juu ya sheria ambazo<br />

zilitawala viumbe vya mbinguni, kutanga<strong>za</strong> kwamba walilazimisha amri isiyohitajika.<br />

Kwani tabia <strong>za</strong>o zilikuwa takatifu, akashurtisha kwamba malaika walipashwa kutii amri <strong>za</strong><br />

mapenzi yao wenyewe. Mungu alimtendea bila haki kwa kuweka heshima kubwa juu ya<br />

Kristo. Akadai kwamba hakukusudia kujiinua mwenyewe lakini alikuwa akitafuta kulinda<br />

uhuru wa wakaaji wote wa mbinguni, ili waweze kufikia maisha ya juu.<br />

Mungu akavumilia Lusifero muda mrefu. Hakuondolewa cheo kwa kazi yake ya juu<br />

ijapo wakati alipoan<strong>za</strong> kuonyesha madai ya uwongo mbele ya malaika. Mara kwa mara<br />

akatolewa rehema ikiwa anakubali kutubu na kutii. Juhudi <strong>za</strong> namna ile ambayo upendo tu<br />

usio na mwisho ulifanya njia yakumpata asadiki ya kosa lake. Mwanzoni manunguniko<br />

haya kujulikana kule mbinguni. Lusifero mwenyewe mara ya kwan<strong>za</strong> hakufahamu tabia ya<br />

kweli ya mawazo yake. Kwa namna uchungu wake ulipohakikishwa kuwa bila sababu,<br />

Lusifero akasadikishwa kwamba madai ya Mungu yalikuwa ya haki na kwamba ilimupasa<br />

kuyaungama mbele ya wote wa mbinguni. Kama angalifanya hivi, angalijiokoa mwenyewe<br />

na malaika wengi. Kama angalipenda kurudi kwa Mungu, kutoshelewa kuja<strong>za</strong> pahali<br />

alipoagizwa, angalirudishwa katika kazi yake. Lakini kiburi kikamkata<strong>za</strong> kutii. Akashikilia<br />

kwamba hakuwa na haja ya toba, na akajitoa kabisa katika vita kuu juu ya Muumba wake.<br />

Nguvu zote <strong>za</strong> akili ya ufundi wake zikaeleke<strong>za</strong> kwa udanganyifu, kusudi malaika<br />

wamuunge mkono. Shetani akaonyesha kwamba alihukumiwa kwa uwongo na kwamba<br />

uhuru wake ukapunguzwa. Kwa masingizio ya maneno ya Kristo akapita kwa kusimamia<br />

uwongo, kushitaki Mwana wa Mungu juu ya shauri la kumfezelesha mbele ya wakaaji wa<br />

mbinguni.<br />

Wote ambao hakuwe<strong>za</strong> kuwapindua kwa upande wake akawashitaki kuwa wenye ubaridi<br />

(kutojali) kwa faida ya viumbe vya mbinguni. Akakimbilia kwa maafundisho ya uwongo<br />

juu ya Muumba. Ilikuwa ujanja wake kwa kuhangaisha malaika na maneno ya ujanja juu ya<br />

makusudi ya Mungu. Kila kitu chepesi akakifunika katika fumbo, na kwa njia ya kupotosha<br />

akatia mashaka juu ya maneno yaliyokuwa wazi kabisa kwa Mungu. Cheo chake cha juu<br />

208

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!