21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Wycliffe akaonyesha kwa Papa na maaskofu wake upole na unyenyekevu wa Kristo,<br />

muonyesha wazi si kwao tu bali kwa miliki ya Wakristo wote tofauti kati yao na Bwana<br />

ambaye wanajidai kuwa wajumbe wake.<br />

Wycliffe alitumainia kabisa kwamba maisha yake yangekuwa bei ya uaminifu wake.<br />

Mfalme, Papa na maaskofu wakajiunga kwa kutimi<strong>za</strong> maangamizi yake, na ilionekana kweli<br />

kwamba kwa mda wa miezi michache ikiwezekana wangemletea kifo kwa ajili ya imani ya<br />

dini. Lakini uhodari wake ulikuwa imara.<br />

Mtu ambaye kwa wakati wote wa maisha yake alisimama imara katika kutetea ukweli<br />

hakuna mtu wakusumbuliwa kwa ajili ya adui <strong>za</strong>ke. Bwana alikuwa mlinzi wake; na sasa,<br />

wakati adui <strong>za</strong>ke walipohakikisha kupata mawindo yao, mkono wa Mungu ukamuhamisha<br />

mbali yao. Katika kanisa lake huko Lutterworth, wakati alipotaka kufanya ibada ya me<strong>za</strong> ya<br />

Bwana, akaanguka na kupinga kupoo<strong>za</strong> communion), anakauka viungo, na kwa wakati<br />

mfupi akakata roho yake.<br />

Mpinga Mbiu wa Wakati wa Sasa<br />

Mungu alitia neno la ukweli katika kinywa cha Wycliffe. Maisha yake yalilindwa na<br />

kazi <strong>za</strong>ke zikazidishwa hata msingi ukawekwa kwa ajili ya Matengenezo (Reformation).<br />

Hapakuwa mtu aliyekwenda mbele ya Wycliffe ambaye kwa kazi yake aliwe<strong>za</strong> kutengene<strong>za</strong><br />

utaratibu wake wa matengenezo. Alikuwa mpinga mbiuwa wakati wa sasa. Bali katika<br />

ukweli ambayo alioonyesha, kulikuwa umoja na ukamilifu ambao watengene<strong>za</strong>ji waliofuata<br />

hawakuzidisha, na ambao wengine hawakuufikia. Mjengo ulikuwa imara na wa kweli, hata<br />

hapakuwa na mahitaji ya kugeuzwa na wale waliokuja baada yake.<br />

Kazi kubwa ambayo Wycliffe alianzisha ni kufungua mataifa yaliyofungwa na Roma<br />

wakati mrefu iliyokuwa na msingi wake katika Biblia. Hapa ndipo chemchemi ya kijito cha<br />

mibaraka kilicho tiririka tokea <strong>za</strong>mani <strong>za</strong> miaka tangu karne ya kumi na ine. Aliye<br />

fundishwa kuona Roma kama utawala usiekuwa na kosa na kukubali heshima isiyokuwa na<br />

swali kwa heshima ya mafundisho na desturi <strong>za</strong> miaka elfu, Wycliffe akageukia mbali na<br />

mambo haya yote ili kusikili<strong>za</strong> Neno Takatifu la Mungu. Badala ya kanisa inayosema kwa<br />

njia ya Papa, alitanga<strong>za</strong> mamlaka moja tu ya kweli kuwa sauti ya Mungu inayosema kwa<br />

njia ya Neno lake. Na alifundisha kwamba Roho Mtakatifu ndiyo mtafsiri wake pekee.<br />

Wycliffe alikuwa mmoja wapo wa Watengene<strong>za</strong>ji wakubwa. Alikuwa sawa sawa na<br />

wachache waliokuja nyuma yake. Usafi wa maisha, juhudi imara katika kujifun<strong>za</strong> na kazi,<br />

uaminifu daima, na upendo kama ule wa Kristo, vilikuwa tabia ya mtangulizi wa<br />

watengene<strong>za</strong>ji wa kwan<strong>za</strong>. Biblia ndiyo iliyomfanya vile alivyokuwa. Majifunzo ya Biblia<br />

itaku<strong>za</strong> kile fikara, mawazo ya ndani, na mvuto wa roho ambao kujifun<strong>za</strong> kwengine<br />

hakuwezi. Hutoa msimamo wa kusudi, uhodari na ushujaa. Juhudi, kujifun<strong>za</strong> kwa heshima<br />

kwa Maandiko hutolea ulimwengu watu wa akili nyingi, pia na wa kanuni bora, kuliko<br />

hekima ya kibinadamu.<br />

35

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!