21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Kwa namna Shetani alivyomshitaki Yakobo, ataendelea na masitaka yake juu ya watu<br />

wa Mungu. Anakuwa na taarifa sahihi ya <strong>za</strong>mbi alizokuwa wakiwajaribu nazo kutenda na<br />

anatanga<strong>za</strong> ya kwamba kwa haki hawezi kuwasamehe <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o kwani kumwangami<strong>za</strong> na<br />

malaika <strong>za</strong>ke. Anadai ya kwamba watolewe mikononi mwake kuangamizwa.<br />

Bwana anamruhusu kuwajaribu iwezekanavyo. Tumaini lao kwa Mungu, imani yao,<br />

itajaribiwa kwa ukali. Wanapo jikumbusha yalipopita, imani yao ina<strong>za</strong>ma, kwani kwa<br />

maisha yao yote wanawe<strong>za</strong> uzuri ndogo. Shetani anajaribu kuwatisha kwa mafikara kuwa<br />

kezi <strong>za</strong>o hakuna matumaini. Anatumaini pia kuharibu imani yao ili wajitoe kwa majaribu na<br />

kugeu<strong>za</strong> utii wao kutoka kwa Mungu.<br />

Maumivu Makuu ambao Mungu Atalaumiwa<br />

Kwani maumivu ambayo watu wa Mungu wanateseka nayo si hofu ya mateso.<br />

Wanaogopa ya kwamba katika kosa fulani ndani yao wenyewe watashindwa kupata<br />

utimilifu wa ahadi ya Mwokozi: “Mimi nitakulinda, utoke katika saa ya kujaribiwa iliyo<br />

tayari kufikia dunia yote”. Ufunuo 3:10. Je, wangeonekana kuthibitishwa kuwa wasiostahili<br />

kwa sababu ya makosa yao wenyewe ya tabia, ndipo jina takatifu la Mungu lingelaumiwa.<br />

Wanaonyesha kwa toba yao ya wakati uliopita wa <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o nyingi na kuomba ahadi ya<br />

mwokozi: “Ao ashike nguvu <strong>za</strong>ngu, afanye salama nami; Ndiyo afanye salama nami”.<br />

Ysaya 27:5. Ijapo kuteseka kwa mashaka na msiba, hawaachi maombezi yao. Wanaweka<br />

mshiko wa Mungu kama Yakobo alivyoweka mshiko wa Malaika; na msemo wa roho <strong>za</strong>o ni<br />

“Sitakuacha kwenda, kama haunibariki.”<br />

Zambi Zilifutiliwa Mbali<br />

Katika wakati wa taabu, kama watu wa Mungu walikuwa na <strong>za</strong>mbi zisizoungamwa<br />

kuonekana mbele yao wanapoteseka na hofu na maumivu makali, wange<strong>za</strong>mishwa. Kukata<br />

tamaa kungaliondoa imani yao, na hawangewe<strong>za</strong> kumuomba Mungu kwa ajili ya wokovu.<br />

Lakini hawakuficha maovu kwa kuyafunua. Zambi <strong>za</strong>o zimetangulia kwa hukumu na<br />

zimefutiliwa mbali, na hawatawe<strong>za</strong> kuzikumbuka.<br />

Bwana anaonyesha katika matendo yake pamoja na yale ya Yakobo ya kwamba kwa<br />

ginsi yo yote hawezi kuvumilia uovu. Wote wanaoachilia ao kuficha <strong>za</strong>mbi <strong>za</strong>o na<br />

kuziruhusu kudumu katika vitabu vya mbinguni bila kuziungama na bila kusamehewa<br />

watashindwa na Shetani. Zaidi wanapoheshimu nia wanapoishikilia, ni uhakikisho wa<br />

ushindi adui waoa. Wale wanaochelewesha matayarisho hawatawe<strong>za</strong> kuyapata wakati wa<br />

hatari, wala wakati wo wote unaofuata. Kesi <strong>za</strong> wote kama wale ni bila tumaini.<br />

Historia ya Yakobo pia ni matumaini ya kwamba Mungu hatatupa wale ambao,<br />

waliodanganywa katika <strong>za</strong>mbi, na wamerudi kwake na toba ya kweli. Mungu atatuma<br />

malaika kuwafariji wale wanaokuwa katika hatari. Jicho la Bwana ni juu ya watu wake.<br />

259

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!