21.04.2023 Views

Nyakati za Ukweli

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

Fumbo la historia sio lenye giza kabisa kwa kuwa ni pazia ambayo inaficha sehemu ya shughuli za uumbaji, nguvu za kiroho na uendeshaji wa sheria za kiroho. Ni kawaida mtu kusema kwamba damu ya mashahidi ni mbegu ya Kanisa. Tunachosema hapa ni kwamba vitendo vya kibinafsi vya uamuzi wa kiroho huzaa matunda ya kijamii ... Kwa mabadiliko makubwa ya kitamaduni na mapinduzi ya kihistoria ambayo huamua hatima ya mataifa au tabia ya umri ni matokeo ya jumla ya maamuzi ya kiroho ... imani na ufahamu, au kukataa na upofu wa watu binafsi. Hakuna mtu anayeweza kunyooshea kidole chake tendo la mwisho la kiroho ambalo linasababisha usawa na kufanya utaratibu wa nje na kufanya jamii kufikiria muundo mpya ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

<strong>Nyakati</strong> <strong>za</strong> <strong>Ukweli</strong><br />

Luther akakutana na askofu wa kiburi kwa uwanja wake mwenyewe--mambo ya asili na<br />

mafundisho ya kanisa--na kuangusha kabisa majivuno yake.<br />

Askofu akapote<strong>za</strong> kujitawala kote na katika hasira akapandisha sauti, “ukane! ao<br />

nitakutuma Roma”. Na mwishowe akatanga<strong>za</strong>, katika sauti ya kiburi na hasira, “uKane, ao<br />

usirudi tena.” Mtengene<strong>za</strong>ji kwa upesi akaondoka pamoja na rafiki <strong>za</strong>ke, hivyo kutanga<strong>za</strong><br />

wazi kwamba asingoje kwake kwamba atakana. Hili si jambo ambalo askofu alilokusudia.<br />

Kutoka kwa Luther Sasa, akaachwa peke yake pamoja na wasaidizi wake, wakata<strong>za</strong>mana<br />

wao kwa wao na huzuni kwa kushindwa kusikota<strong>za</strong>miwa katika mipango yake.<br />

Makutano makubwa yaliyokuwa pale wakawa na nafasi ya kulinganisha watu wawili<br />

hawa na kuhukumu wao wenyewe roho iliyoonyeshwa nao, vivyo hivyo na nguvu na ukweli<br />

wa nia <strong>za</strong>o. Mtengene<strong>za</strong>ji, munyenyekevu, mpole, imara, kwa kuwa na ukweli kwa upande<br />

wake; mjumbe wa Papa, mwenye kujisifu, mwenye kiburi, mpumbavu, bila hata neno moja<br />

kutoka kwa Maandiko, lakini wa juhudi ya kupandisha sauti, “uKana, ao utumwe Roma.”<br />

Kuokoka Toka Augsburg<br />

Rafiki <strong>za</strong> Luther wakasihi sana kwamba hivi ilikuwa bure kwake kubakia, heri kurudi<br />

Wittenberg bila kukawia, na lile onyo halisi lifuatwe. Kwa hiyo akaondoka Augsburg kabla<br />

ya mapambazuko juu ya farasi, akisindikizwa na mwongozi moja tu aliyetolewa na<br />

mwamuzi. Kwa siri akafanya safari yake katika njia <strong>za</strong> gi<strong>za</strong> <strong>za</strong> mji. Maadui, waangalifu tena<br />

wauaji, walikuwa wakifanya shauri la kumuangami<strong>za</strong>. <strong>Nyakati</strong> hizo zilikuwa <strong>za</strong> mashaka na<br />

maombi ya juhudi. Akafikia mlango katika ukuta wa mji. Ulifunguliwa kwa ajili yake, na<br />

pamoja na mwongozi wake akapita ndani yake. Kabla mjumbe kupata habari ya safari ya<br />

Luther, alikuwa mbali ya mikono ya watesi wake Kwa habari ya kutoroka kwa Luther<br />

mjumbe akajazwa na mshangao na hasira. Alitumaini kupokea heshima kubwa kwa ajili ya<br />

mambo angatendea mtu huyu anaye sumbuake kanisa. Katika barua kwa Frederick,<br />

mchaguzi wa waSaxony, akashitaki Luther kwa ukali, kuomba kwamba Frederick amtume<br />

Mtengene<strong>za</strong>ji Roma ao amfukuze kutoka Saxony.<br />

Mchaguzi alikuwa hajafahamu sana mafundisho ya mtengene<strong>za</strong>ji, lakini alivutwa sana<br />

kwa nguvu na usikivu wa maneno ya Luther. Frederick akaamua kuwa, mpaka wakati<br />

mtengene<strong>za</strong>ji atahakikisha kuwa na kosa. Frederick akawamlinzi wake katika jibu kwa<br />

mjumbe wa Papa akaandika: “Tangu Mwalimu Martino alipoonekana mbele yenu huko<br />

Augsburg, mungepashwa kutoshelewa. Hatukutumainia kwamba mungemulazimisha<br />

kukana bila kumsadikisha kwamba alikuwa na makosa. Hakuna wenye elimu hata mmoja<br />

katika utawala wetu aliyenijulisha ya kwamba mafundisho ya Martino yalikuwa machafu,<br />

yakupinga Kristo ao ya kupinga ibada ya dini.” Mchaguzi aliona kwamba kazi ya<br />

matengenezo ilihitajiwa kwa sisi akafurahi kuona mvuto bora ulikuwa ukifanya kazi yake<br />

katika kanisa.<br />

54

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!